Jay master
JF-Expert Member
- Dec 2, 2017
- 716
- 804
KAMA namba ya simu aliyoitumia aliinunua mpya maalum kwa kutolea taarifa iyo na baada ya hapo akaitupa utampataje,,,,namba ya smu ulotumia na email vinaweza kusaidia kujua wewe ni nan!
labda u delete email na namba ya cm ufanye manuva wa badilishe apewe mbibi kolomije huko!
halafu records zote zifutwe!
Jamhuri wanakosea sana, hizi tuhuma zinazotolewa wanatakiwa wazichunguze kabla ya kuchukua hatua, tena hilo wanatakiwa walifanye kwa siri na endapo wakijirizisha ndio wachukue hatua.Kumbe mimi nikitoa thread ya uongo INASHTAKIWA JF? Kuna watu wameituhumu OilCom tena siku chache zilizopita
Kwa mwenendo huu lazima iangukie pua.Naona kama serikali inaelekea tena kuangukia pua ikiwa nyuma ya mgongo wa oilcom
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] hapa tu ndo chuki ya wananchi juu ya serikali inapoanziaga.,maana wao ndo wangeungana na jamii forum kuwashtaki oilcom sasa badala yake wao ndo wanaungana na oilcom kuikandamiza jamii forum.Kwa mwenendo huu lazima iangukie pua.
Jf najiunga na emailnamba ya smu ulotumia na email vinaweza kusaidia kujua wewe ni nan!
labda u delete email na namba ya cm ufanye manuva wa badilishe apewe mbibi kolomije huko!
halafu records zote zifutwe!
Mkuu naomba link ya kesi za mkuu TL nifuatilie namna anavyodadavua mambo kisheria.maskini shaidi[emoji16][emoji16][emoji16] hapoangekutana na lissu angepewa na maji ya kunywa kabisa , lissu I miss u kwakweli urudi mapema namiss zile danadana zako kwa mashaidi uchwara[emoji16]
Endapo kama ana ushshid hakuna sababu ya kuogopa. Kwani mbona ilithibiitishwa kuwa kuna wizi wa mafuta bandarini?Mimi ningekuwa yule mtoa thread ,simu ningeitupilia mbali na account siitumii tena
Kwa uwezo wa Mungu JF itashinda