Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Hako kalimpiga na rungu Kanumba amekufa na yake moyoniii sema wanakaziba ziba ili kaonekane hakana hatiaa ingekua US kangeozea jela sema Tanzania kila sehemu rushwaa
Kama kuna Eye witness akatowe ushahidi huu mahakamani. Kanumba is no more ni nyota iliyozimika.
Masahihisho Kanumba hakufia nyumbani kwake bali alifia kwenye nyumba aliyopanga Sinza Vatican
nyumba uliopanga kisheria ni nyumbani kwako. una ruhusa ya kupaita kwako.
Kasome kwenye kamusi Tenant, Propeitor na Land lord
sina hakika na spelling za mwenye propert.
Ahahahah ahahh hayo ndo maisha ya BONGO CELEBRITIES, wanaishi maisha ya kifahari WANAKUFA MASKINI.
aaaah dogo acha kukompliketisha mambo since no difference it makes nyumba unailipia kodi its yours mpaka utakapo hama, hata ardhi husemekana ni mali ya serikali lakini mtu akinunua kipande cha ardhi hukiita chake mpaka serikali itakapoamua otherwise.
unataka kusema nini labda? kwamba kila mtu ajenge au? wewe umejenga? alafu hapa swala sio kujenga au kupanga, ila pale mtu alipopanga apaiteje, jibu anapaita kwake, binafsi nimepanga na nikitoka kzn naenda nyumbani kwangu, sio kwa mwenye nyumba, nikipata mgeni namwambia karibu nyumbani kwangu hapa ndipo napoishi simpeleki kwa mwenye nyumba ndio amkaribishe, mwenye nyuma nikishampa kodi yake anapita hivi, akija kwangu shurti abishe hodi na nimkaribishe kwanza ndio aingie.HARUHUSIWI kuingia kwangu bila ruhusa yangu. kwa kifupi aliyejenga nyumba ni mmiliki wa nyumba mimi niliyepanga ndie mwenye nyumba. kujenga nyumba ni hatua tu za maisha na sio wote wenye uwezo huo.
TEAM KANUMBA hatukubali mpaka bibie afie jela, maana mwenyew kanumbe wetu kafa yeye kutwa yupo instagram anajipiga ma selfies, roho zinatuuma katuulia jembe letu mbwa huyu
Usihukumu na usipende kupita kiasi ukasahau hata wewe unaweza kupatwa na mkasa ule, Lulu hakupiga risasi wala kisu jiulize mtu anadondoka kutoka gorofani na anapona Kanumba kala mweleka tu kwenye floor kafa hapohapo, Think big
unataka kusema nini labda? kwamba kila mtu ajenge au? wewe umejenga? alafu hapa swala sio kujenga au kupanga, ila pale mtu alipopanga apaiteje, jibu anapaita kwake, binafsi nimepanga na nikitoka kzn naenda nyumbani kwangu, sio kwa mwenye nyumba, nikipata mgeni namwambia karibu nyumbani kwangu hapa ndipo napoishi simpeleki kwa mwenye nyumba ndio amkaribishe, mwenye nyuma nikishampa kodi yake anapita hivi, akija kwangu shurti abishe hodi na nimkaribishe kwanza ndio aingie.HARUHUSIWI kuingia kwangu bila ruhusa yangu. kwa kifupi aliyejenga nyumba ni mmiliki wa nyumba mimi niliyepanga ndie mwenye nyumba. kujenga nyumba ni hatua tu za maisha na sio wote wenye uwezo huo.
Lulu alimkatili Kanumba aisee sasa hivi tungekua tunaangalia filamu kibaooo
Mkuu kibongobongo nyumba ya kupanga si yako. Ni ya aliyejenga yaani BABA MWENYE NYUMBA.
Yaani lulu bwana......mwanaume kakasirika yy anamsukuma badala yakumpa kitu roho inapenda.