Nadhani neno sahihi lilitakiwa kuwa 'nyumba alokuwa akiishi'...binamu ushaanza mambo yako yale ya kuwamarginalize watu wanao comment.Ndo hawa hawa wanakaa kwenye nyumba za kupanga miaka kumi hawataki kuama anasahau hata kujenga kibanda, ivi unajua kuna watu maisha yao yote wamejiwekea wao ni watu wa kupanga hadi wanakufa? Ndo maana nasema ELIMU nzuri binamu.
Nadhani neno sahihi lilitakiwa kuwa 'nyumba alokuwa akiishi'...binamu ushaanza mambo yako yale ya kuwamarginalize watu wanao comment.
Ila kimsingi nyumba ya kupanga sio yako..ni ya baba mwenye nyumba...
.acha roho mbaya.dunia mapito haya.apangalo mola binadamu hawezi pingaYaan mi tokea hapo sikapendi ka Lulu bora kangededi kenyewe tu mfyuuuuuuuuu
.acha roho mbaya.dunia mapito haya.apangalo mola binadamu hawezi pinga
waheshmiwa hawawezi kukubali kiutamu chao kiende jela...TEAM KANUMBA hatukubali mpaka bibie afie jela, maana mwenyew kanumbe wetu kafa yeye kutwa yupo instagram anajipiga ma selfies, roho zinatuuma katuulia jembe letu mbwa huyu
Ni baba yake lulu mzee kimemeta ndo kamfanyia mpango mwanae, nasikia mzee ni auditor na yupo vzur , fununu zinasema yeye ndo aliyesababisha lulu atoke
kumbe dingi yupo vizuri, nilimuona kwenye gazeti moja la udaku anaonekana chokest kumbe wanamsingizia....
Nasikia lulu alizaliwa nje ya ndoa, na huyo baba ana mke na watoto, ila kimemeta yupo vzur we ushamuona baba lulu anahangaika na mwanae kumuomba hela kama akina baba flani na mama flani? Inshort baba yake lulu ni msomi na mwenye uwezo wake mzur tu, ni auditor
aaah kumbe eeeh haya udaku udakuni na haka kadogo kake ni ka huyo huyo baba lulu?Nasikia lulu alizaliwa nje ya ndoa, na huyo baba ana mke na watoto, ila kimemeta yupo vzur we ushamuona baba lulu anahangaika na mwanae kumuomba hela kama akina baba flani na mama flani? Inshort baba yake lulu ni msomi na mwenye uwezo wake mzur tu, ni auditor
Yaani lulu bwana......mwanaume kakasirika yy anamsukuma badala yakumpa kitu roho inapenda.
Naomba uninong'oneze mimi tu,endapo ingekuwa imekutokea wewe umemuona jamaa kashika panga halafu kakasirika,hivi ni kweli ungempa mzigo kiroho safi?
"Nlikuwepo":bolt:
.he kumbe mamako ndo kakutuma?Kamshauri mama yako
.he kumbe mamako ndo kakutuma?
Kamuulizee mmeo
mie hizo muvi za jambazi anavua viatu hua siangaliagi labda initokee tu nimepanda kidia one ndo sina jinsi