Kesi namba 456 ya 2016 JamiiForums vs Jamhuri, Kisutu: Maxence Melo ahukumiwa Mwaka jela au faini ya Tsh. Mil 3. Mwenzake aachiwa huru

Wameomba rufani. Hii itakwenda mpaka CA maana hgh court sioni jaji mwenye ujasiri wa kutoa hukumu ya haki!
 
Maswali yangu ni katika ku-expose uhalali au kukosekana kwa uhalali wa hukumu.
 
Huu ni thread muhimu sana kwa leo labda na miaka ijayo mapaka hii hukumu ibatilishwe. Maxence Melo
 
Hukumu za kipuuzi tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi kesi zenye flavor ya kisiasa Mahakimu wanaosimamia sheria siku hizi ni wachache sana. Wengi wanatoa hukumu kwa uoga au kujipendekeza kwa serikali. Hata mwanasheria Mkuu siku hizi anakuwa guarded sana kwenye kuongelea ukweli pale haki isipotendeka. Anaongea kama anaibembeleza serikali imsikilize. Just call a spade spade.

Kwa mfano akiongelea suala la ukosefu wa haki katika kuwanyima dhamana watu. Aliongea utafikiri anaiposa serikali.
 
... mnatakiwa kuwa smart kweli kweli Mkuu. Otherwise hoja zikiwa dhaifu bora msiende maana High Court ikienda kukazia hukumu imekula kwetu mazima.
Majaji wenyewe wapo humu,watasaidia kuiweka vizuri.
 
Kweli waweke namba tuchangie hata kwa visent vyetu tulivyopata kwa kuuza alkasusu.

idumu jf.


Naunga mkono hoja.Huwa tunachangia wanasiasa tu,tunaacha huyu anayetoa mchango mkubwa huo.Ilitakiwa tumsadie hats gharama za mawakili
 
kama una hukumu tuwekee hapa tutoe maoni ya rufaa
 
Maswali yangu ni katika ku-expose uhalali au kukosekana kwa uhalali wa hukumu.
Utaratibu hauko hivyo. Subiri hukumu itoke maadam inatuhusu sote wana Jf utaisoma alafu utatapa uhalali gani huyu hakimu alitumia kumhukumu jamaa yetu.
 
Hukumu ya subordinate court siyo precedent
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata kama amelipa, kuna ubaya gani tukimrefund jamaa yetu?
Ili kuonyesha solidarity ni vizuri hiyo pesa ikachangwa na kuziba pengo la ilikotoka kulipa faini. Tupe account number au namba ya simu haraka.

Tiba
 
Wekeni utaratibu michango ianze. Mil tatu si kitu tuko wengi sana humu.

Shida sio m3 shida ni jamaa kukutwa na hatia so bila kukata rufaa itamaanisha amekubali so faini ni kama onyo kwa hio from here onwards mko open to the world
 
Naanza kutia shaka kama kweli kama akili zako ziko timamu!
 
Beware mkuu. Hali ni tete, maoni sahv tunawambia tu baadhi ya marafiki, tena kwa kuangalia kama anaaminika. Usithubutu kukosoa au kulaumu publicly.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…