Kesi namba 456 ya 2016 JamiiForums vs Jamhuri, Kisutu: Maxence Melo ahukumiwa Mwaka jela au faini ya Tsh. Mil 3. Mwenzake aachiwa huru

Huyo sajenti anayemueskot Mello hapo mahakamani(aliyepo mbele ya Mello) na huyo Koplo aliyepo nyuma ya Mello ni member wazuri tu humu, utekelezaji tu wa majukum ya kazi(Maelekezo) ya viongozi, ila wanatamani Sana kumwambia Mello akaze kamba asirudi nyuma, JF mbele kwa mbele
 
Katukanwa matusi gani?Who is him by the way?
Tuache na Jf yetu kama unaona mambo ya ukweli wanayoandika watu ni matusi.Una bahati mie si moderator ningekupiga life ban

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio ujue hao vikaragosi wana anakili za sisimi, wanaponda halafu bado wanashinda humuhumu, halafu huyo kibwengo hajui hata kesi inahusu nini
 
nahofia hii hukumu inaweka precedent ya kufungua pandora box kwa serkali dhidi ya uhuru wa kutoa na kupata habari. ukubwa wa tatizo utakuwa pale hii njia rafiki ikiachwa, haijuliukan itabuniwa inayodhibitiwa kias gani. isije kuwa yale ya paka kumbana chumban ukiwa humo humo!
 
Tutachanga tu hata buku buku kuliko kuharibu image ya jf.Hizo kesi ndizo zimeifanya jf kuwa maarufu zaidi
 
POLEMKUU SIJUU HUYU ALIEKUJA NA KUTOKA KILASIKU AKAACHIWA HURU NAE ANALIPWA.AMA
 
Tutachanga tu hata buku buku kuliko kuharibu image ya jf.Hizo kesi ndizo zimeifanya jf kuwa maarufu zaidi
Naunga Mkono iwekwe a/c tuchangie jamani hata hizo milioni 3 zilizolipwa kwenye faini
au urudi ule utaratibu wa kupewa beji, za Diamond, Platinum nk
Jf inaendeshwa kwa pesa la sivyo isingekuwepo hewani, au hata malipo ya Mawakili kutetea hiyo kesi
 
Naunga Mkono iwekwe a/c tuchangie jamani hata hizo milioni 3 zilizolipwa kwenye faini
au urudi ule utaratibu wa kupewa beji, za Diamond, Platinum nk
Jf inaendeshwa kwa pesa la sivyo isingekuwepo hewani, au hata malipo ya Mawakili kutetea hiyo kesi
Milioni 3 ni watu elf 3 wakichanga buku buku yatosha.Jf pekee ndo platform huru angalau wawezapata habari kamili zisizochujwa unachuja mwenyewe tofauti na huko kwingine unapata cooked information
 
Hivi kwa kesi hii Melo anaweza kugombea ubunge na uraisi?
Kisheria Mtu aliyefungwa zaidi ya miezi 6 hawezi gombea Uongozi kisiasa Udiwani, Ubunge nk
Max amelipa faini badala ya kifungo lkn amekata rufaa huenda ikaclear hilo la adhabu na akawa huru
Maxcense asigombee uongozi wa kisiasa kwani JF itasambaratika, tumewaona wengi walioingia huko wamezimika kutetea ukweli
 
Naamini ipo siku udhalimu na ukandamizaji huu utafika mwisho. Mungu akiwa upande wetu wanaJF ni nani aliye juu yetu? Hakuna.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…