You "always hate" while hata wewe hauja reveal utambulisho wako? Walk the talk kwa kua na verified account.I always hate anonymous identity! Watu wameitumia vibaya JF ! I think [emoji848]
I always hate anonymous identity! Watu wameitumia vibaya JF ! I think [emoji848]
Hata tukitoa taarifa za ukweli kiasi gani kama watawala hawataki zijulikane kwa maslahi yao binafsi zitageuzwa na zitaonekana kuwa ni uongo na uzushi tu.Nafikiri kama wenyewe hawa walioimshitaki walivyompa shitaka la kuwekea ngumu upelelezi usifanyike kama kifungu cha 22(1)Cyber crimes Act,2015. Members wawe wanatoa taarifa za ukweli hasa wanapokuwa wanafichua madudu yanayohusu maslahi ya umma.
Ilikuwa haina haja ya kuuliza swali kama hili ikiwa Uzi huu umeusoma kwa makini!Ina maan kwa uamuzi huu polisi akiomba taarifa zozote na kumhusu yeyote lazima apewe siyo?
Kwanza kabisa nikuwele sawa mkuu hii hukumu sio precedence sababu RMC sio Higher court of records.Wana Jamii Forum,
Wengi mtakuwa mmeshasikia au kusoma juu ya hukumu katika kesi ya Jamii Forum, ambapo Maxence Mello amehukumiwa kulipa faini ya Tshs 3m au kifungo cha mwaka mmoja. Faini imelipwa.
Wengi wameshindwa kuelewa athari za hii hukumu, na wanaiona katika mapana ya hukumu au faini ya Stsh 3 tu, ambayo hata wengine wameita pesa ya mfukoni.
Lakini suala la kujiuliza ni kama tunaelewa athari za hukumu hii kwa JF hapo mbeleni. Kimsingi, hukumu hii inaweza kuweka precedent kwamba kila wakati serikali isipofurahishwa na thread au post ya mwana JF, inawataka JF kutoa taarifa za mtu aliyeanzisha hiyo thread au kuweka hiyo post.
Sasa najua JF ilianzishwa kwa namna ambayo ilitaka kuzuia suala la JF kulazimishwa kutoa taarifa binafsi za wana JF. Lakini hukumu haitambui hili, kitu ambacho kinamweka Maxence na Jamii Forums katika hali mbaya sana.
Sasa hii ni vita ya Watanzania waote katika kupigania uhuru wa kutoa maoni, hatupaswi kuwaachia JF na Mexence peke yao. Kama kuna uwezekano wa kuikatia rufaa hii hukumu tufanye hivyo, na ikiwezekana utaratibu uwekwe wale wote wenye mwamko wa uhuru wa kutoa maoni tuchangie gharama za kuhakikisha uhuru wa Watanzania kutoa maoni kupitia JF haukomeshwi na watawala wachache wanaopenda kukandamiza uhuru wa kutoa maoni.
JF imekuwa mwiba mchungu sana kwa nia dhalimu za wale wote wenye mwelekeo wa kufinya haki za binadamu, unyanyasaji wa watu, utawala wa mabavu na kutofuata sheria, ufisadi, dhuruma na ukandamizaji wa uhuru wa kujieleza. Hatuwezi kukaa kimya dhidi ya vita hii, ni vita yetu, sio vita ya Macence Mello na JF, ni vita ya Watanzania wote wenye kupenda maendeleo na utandawazi. Hii ndio nafasi nzuri ya kuonyesha loyalty yetu kwa JF.
Tatizo ni namna kesi yenyewe ilivyoisha Mkuu, hawa Madhalimu wa Sisiemu sasa wanaweza kufanya lolote ili kupata taarifa zako. Si wameshinda kesi?Bora kesi ilivyoisha....Tugange yajayo
Just somehow... Tushukuru kwa hatua ya awali but something must be done otherwise huko tuendapo kutakua kugumuzu zaidi kwetu na kwao pia.im glad this shyt is over
Kama ni za kweli polisi wakiomba Ip address ya member ataenda mahakamani atathibitisha. Na wala mmiliki wa Jf hataingia matatizoni.Hata tukitoa taarifa za ukweli kiasi gani kama watawala hawataki zijulikane kwa maslahi yao binafsi zitageuzwa na zitaonekana kuwa ni uongo na uzushi tu.
Chamsingi tuwe tunajadili maswala ya mahusiano na vichekesho tu.
Au tuwe tunawasema vibaya wapinzani tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kweli kwa akili yako unafikiri hiyo ndio nia ya serikali dhidi ya JF katika huhumu hii? Kama ni hivyo wewe ni mtu wa kuhurumiwa sana.Hizi issue za kusema where we dare to talk openly halafu kuna wakati tunaandika habari za uwongo au uzushi kwa nia za kisiasa au kuchafua watu si sahihi. Inafaa anayeandika habari awe na uhakika. Sio kuchafua tu watu au taasisi. Tunaharibu wenyewe.
Okay Mkuu, nashukuru kwa ufafanuzi. Mimi sio mwanasheria. Kwa hiyo ina maana JF bado inaweza kukataa kutoa taarifa za mtoa thread au post na serikali ikawafikisha tena mahakamani independently ya hii hukumu, na hiyo ikawa ni kesi mpya tena inayojitegemea?Kwanza kabisa nikuwele sawa mkuu hii hukumu sio precedence sababu RMC sio Highier court of records.
Pili kwa usalama wa Jf kama mtu anataka kuibua skendo au tukio flani basi awe na uhakika na anchokiandika.
Sababu hii sheria Cyber crimes Act,2005.Ni moto wa kuotea mbali na watu wawe makini sana. Hasa watu kama wewe wenye Id fakes alafu mnataka kutumia jukwaa vibaya.