Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,271
- 1,052
go back to post number 10!Jamani hii haijakaa vizuri habari haielezi ukweli wa matukio.
then PM me ili nikupe form za application ya kuwa moderator!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
go back to post number 10!Jamani hii haijakaa vizuri habari haielezi ukweli wa matukio.
Wazee wa mahakama wameitaka mahakama kutomtia hatiani na achiliwe huru Zombe, kwa kile walichodai kuwa Zombe hakuwa eneo la tukio la mauhaji.Jamani any update?
Wazee wa mahakama wameitaka mahakama kutomtia hatiani na achiliwe huru Zombe, kwa kile walichodai kuwa Zombe hakuwa eneo la tukio la mauhaji.
Huu ni upuuzi, ripoti ya marehemu Lema ilimtaja Zombe kabisa jinsi alivyohusika! bado wanamtetea nini huyu?
Leo asubuhi nimesoma Gazeti la habari leo na kukuta kichwa cha habari kinasema ''Zombe Apumua'' nilipoingia ndani zaid ya habari hiyo nikaona jinsi wazee wa baraza walivyosema juu ya zombe na mshitakiwa wa 13 kuwa hawana hatia ila wengine saba wana hatia. sasa hapa wana jf wenzangu hasa mlioko huko nyumbani napenda kujua kama wazee wa baraza wana influence kubwa ya kufanya zombe aachiwe huru. na pia jaji aanaweza kupuuza waliyosema wazee?
Tatizo ni mfumo mbovu wa mahakama zetu au wanasheria wetu.Waendesha mashtaka wamefanya kusudi kutomuhusisha Zombe na mauaji kwani kila walipokuwa wanaendesha kesi walikuwa wakitumia neno 'inaonekana Zombe amehusika'.Katika kiswahili neno Kuonekana inamaanisha ni kwa macho lakini kimazingira Zombe hakuwepo kule polini yalipofanyika mauaji hivyo dhana ya inaonekana inatoweka kabisa na kufanya wazee wa baraza watoe hekima yao.Walimu wa sheria waelekezeni vizuri vijana wenu jinsi ya kutunga na kutetea kesi mahakamani ndio maana tunasikia eti waendesha mashitaka wamekosea jinsi ya kumfungulia kosa Amartus LIUMBA na kusababisha kuachiwa huru na mahakama,kama si polisi kumkamata tena na kumfungulia kesi nyingine LIUMBA angekuwaa anapeta uswahilini.Kazi tunayo!
Na inabidi kulitafakari wka makini sana kwani kuna tofauti kubwa kati ya ushahidi uliotolewa mahakamani na ushabiki unaendelea kwenye mahakama zetu huku mitaaniALELUYA!
JE HILI LA WAZEE WA BARAZA TUNALITAFAKARI VIPI?
Leo asubuhi nimesoma Gazeti la habari leo na kukuta kichwa cha habari kinasema ''Zombe Apumua'' nilipoingia ndani zaid ya habari hiyo nikaona jinsi wazee wa baraza walivyosema juu ya zombe na mshitakiwa wa 13 kuwa hawana hatia ila wengine saba wana hatia. sasa hapa wana jf wenzangu hasa mlioko huko nyumbani napenda kujua kama wazee wa baraza wana influence kubwa ya kufanya zombe aachiwe huru. na pia jaji aanaweza kupuuza waliyosema wazee?
Naona muelekeo ni kama wa kesi ya O. J. Simpson kwa tuhuma za mauaji ya mke wake Nikole mwaka 1994. Simpson alishinda kesi ile nzito japo rufaa ilimtia hukumu ndogo.
Sina kumbukumbu nzuri wanaokumbuka wanaweza kunisaidia.
Mambo ya Zombe kwa mujibu wa sheria yetu bado ni mazuri tuu.
Ili utiwe kosa litendeke, lazima kuwepo kwa mambo mawili, 1 'mens reus.'- nia ya kutenda koso na 2.'actus reus' -kitendo chenyewe cha kutekeleza kosa.
Kwa sheria yetu ni jukumu la jamuhuri kuthibitisha hayo mawili bila mashaka, kitu ambacho hakikuthibitishwa kwa Zombe.