Bwana Barubaru ebu nimnukuu Judge Masatu kwenye The Citizen ya leo. "In the absence of the actual perpetrators, the case against the accused remains that of strong suspicion, which is not sufficient to obtain a conviction". Haina maana kwamba washitakiwa hawakuhusika na mauaji ya wafanyabiashara na teksi dreva ila ushahidi haukutosha. Tena Judge Masatu anaendelea kusema; " The circumstantial and direct evidence, of course, do not link the second accused (Mr. Bageni) with the actual killings of the victims. What is clear is that it establishes that he was present at Pande Forest and might have been privy to the killings and knew who commited them. Anaedelea " I have established that the second accused (Bageni) was present at the scene of the crime but did not prevent the commission of the crime but there is no evidence that he procured, aided or abbeted any of the other accused persons in committing the murders". Oh lala! Kina Zombe wameshinda kesi ya mauaji kwa vile hakuna ushaidi wa kutosha kwamba walihusika lakini hata Judge mwenyewe anakiili kwamba wengine kama Bageni walikuwepo na walishuhudia tukio hilo! Kushinda kesi mahakamani ni jambo moja. Kushinda kesi mioyoni mwa umma (hearts and minds) ni jambo lingine. Kuna mtu/watu waliwauwa kina Chigumbi na wenzake na Zombe na genge lake walihusika kwa namna moja au nyingine.