Kesi ya Abdallah Zombe: Mashitaka, hatia, hukumu na yanayojiri

Kesi ya Abdallah Zombe: Mashitaka, hatia, hukumu na yanayojiri

28th June 2009, 01:33 AM
Pundamilia07
user_online.gif

Pundamilia07 pundamilia@rocketmail.com Edit
JF Senior Expert Member
red_left.png
red.png
red_right.png
green_left.png
green.png
green_right.png
Join Date: Mon Oct 2007
Posts: 1,220
Thanks: 1,143
Thanked 676 Times in 409 Posts
Rep Power: 24
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif



icon1.gif
Re: Wazee wa Baraza na kesi Ya Zombe
"Abdallah Zombe, mtuhumiwa aliyehukumiwa kabla ya hukumu"

Kosa kubwa, Media inaripoti Zombe tu kana kwamba hakuna washtakiwa wengine. Hii inawapotosha wananchi wengi hasa wasiopenda kufuatilia kwa undani juu ya kesi hii. Kuna baadhi hawajui kabisa kama Zombe anakabiliwa kesi hii pamoja na askari wengine kadhaa. Media zimeharibu mwendo mzima wa kesi kwa kuiita 'kesi ya Zombe'
__________________
'Tough times never last but tough people do' Dr. Robert Schuller


Nilihisi kuwa hii kesi inaharibiwa mwennendo wake kwa kutaka kushinikiza Zombe apatikane na hatia ilhali hakuwa mshtakiwa muhimu katika kesi ile. Prosecution imajiingiza kwenye matata kwa kushindwa kuthibitisha kesi dhidi ya watuhumiwa wote.
Nitazidi kulia na vyombo vya habari.
Wengi hawataki kujua hili!
 
i nadhani wamevuna walichopanda na waandishi wa TZ ni wa hovyo hovyo
 
Hakika kila siku nimekuwa nasema kazi yetu sisi waandishi ni KUELIMISHA, KUIPASHA JAMII NA KUIBURUDISHA JAMII. Na wala hatutakiwi kabisa kuiamulia jamii ifate sisi kile tunachotaka.



Hakika ningependa kusema kuwa vyombo vya habari hususan magazeti YAMEUMBUKA KWENYE KESI YA ZOMBE. HII YOTE INATOKANA WENGI WA WAHARIRI KUTOKUWA NA TAALUMA SAHIHI YA HABARI AU KUTAWALIWA NA TAMAA YA FEDHA NA KUSHABIKIA UPANDE MMOJA BILA KUJUA SHERIA INAPIMA USHAHIDI WA PANDE ZOTE NA KUTOA HUKUMU.


HAKIKA WAANDISHI UCHWARA WA TANZANIA MTAIPELEKA PABAYA NCHI. SASA MMESHA MJENGEA ZOMBE NA WENZAKE MAADUI KATIKA JAMII.
Maneno yako yapo juu ya mstari, aidha Watz wengi nao ni wavivu wa kusoma mambo kwa kina.
 
Hapa TZ hakuna waandishi wa habari ila wapo wambea na wazandiki,wadaku wa mambo ya watu tuu.Hawajuhi lolote katika uandishi isipokuwa kuomba tips kila waitwapo na mafisadi,hata maudhui ya taaluma wameipotosha kwa kupewa rushwa ndogondogo.Yaani imefikia mmbea wa habari wa TZ hasipopewa hongo basi atakuchukia na kukuharibia jina lako kwa kila jamii kisa choo hajakiona.Adhabu kubwa itawafikia waandishi na mafarisayo kwa kuaharibu habari njema na kutia utumbo wao ili waweze kwenda ******,aibu kubwa.Angalia habari zao nyingi ni kusikia mtu kamchungulia mwenzie ******,kakamatwa ugoni,kavunja yai la kuku yaani utumbo mtupu,hakuna waandishi hapa ila uozo tuu.
 
zombe ana nafasi kubwa sana kuyashitaki magazeti yote yaliyokuwa yanaandika upendeleo katika kesi yake

Zombe yashitaki magazeti uyadai fidia ya mamilioni ya fedha kwa kosa la kukukashifu na kukudhalilisha katika jamii iwe fundisho kwao na upate kiinua mgongo chako. Na umaarufu ulioupata ugombee ubunge.
 
zombe ana nafasi kubwa sana kuyashitaki magazeti yote yaliyokuwa yanaandika upendeleo katika kesi yake

Zombe yashitaki magazeti uyadai fidia ya mamilioni ya fedha kwa kosa la kukukashifu na kukudhalilisha katika jamii iwe fundisho kwao na upate kiinua mgongo chako. Na umaarufu ulioupata ugombee ubunge.
 
Bwana Barubaru ebu nimnukuu Judge Masatu kwenye The Citizen ya leo. "In the absence of the actual perpetrators, the case against the accused remains that of strong suspicion, which is not sufficient to obtain a conviction". Haina maana kwamba washitakiwa hawakuhusika na mauaji ya wafanyabiashara na teksi dreva ila ushahidi haukutosha. Tena Judge Masatu anaendelea kusema; " The circumstantial and direct evidence, of course, do not link the second accused (Mr. Bageni) with the actual killings of the victims. What is clear is that it establishes that he was present at Pande Forest and might have been privy to the killings and knew who commited them. Anaedelea " I have established that the second accused (Bageni) was present at the scene of the crime but did not prevent the commission of the crime but there is no evidence that he procured, aided or abbeted any of the other accused persons in committing the murders". Oh lala! Kina Zombe wameshinda kesi ya mauaji kwa vile hakuna ushaidi wa kutosha kwamba walihusika lakini hata Judge mwenyewe anakiili kwamba wengine kama Bageni walikuwepo na walishuhudia tukio hilo! Kushinda kesi mahakamani ni jambo moja. Kushinda kesi mioyoni mwa umma (hearts and minds) ni jambo lingine. Kuna mtu/watu waliwauwa kina Chigumbi na wenzake na Zombe na genge lake walihusika kwa namna moja au nyingine.
 
Kwa bahati mbaya mi si mwanasheria wala si mwandishi wa habari. Najiuliza Nikitarajia jibu lenu wanajamii. Hivi ile tume ya rais chini ya jaji Kipenka ilimdananya rais? Manake nahisi waandishi wetu inawezekana walimhukumu Zombe na wenzake kwa kuwa tayari Tume ya jaji Kipenka ilishawahukumu kiaina. Kipenka ni Jaji, na Masati ni Jaji. Jaji na Jaji wanapotofautiana, kwanini waandishi wetu wasikengeuke? Tusiwalaumu bure waandishi wetu! Natoa hoja!
 
Bwana Barubaru ebu nimnukuu Judge Masatu kwenye The Citizen ya leo. "In the absence of the actual perpetrators, the case against the accused remains that of strong suspicion, which is not sufficient to obtain a conviction". Haina maana kwamba washitakiwa hawakuhusika na mauaji ya wafanyabiashara na teksi dreva ila ushahidi haukutosha. Tena Judge Masatu anaendelea kusema; " The circumstantial and direct evidence, of course, do not link the second accused (Mr. Bageni) with the actual killings of the victims. What is clear is that it establishes that he was present at Pande Forest and might have been privy to the killings and knew who commited them. Anaedelea " I have established that the second accused (Bageni) was present at the scene of the crime but did not prevent the commission of the crime but there is no evidence that he procured, aided or abbeted any of the other accused persons in committing the murders". Oh lala! Kina Zombe wameshinda kesi ya mauaji kwa vile hakuna ushaidi wa kutosha kwamba walihusika lakini hata Judge mwenyewe anakiili kwamba wengine kama Bageni walikuwepo na walishuhudia tukio hilo! Kushinda kesi mahakamani ni jambo moja. Kushinda kesi mioyoni mwa umma (hearts and minds) ni jambo lingine. Kuna mtu/watu waliwauwa kina Chigumbi na wenzake na Zombe na genge lake walihusika kwa namna moja au nyingine.
.

ByaseL,

Mimi sipingani kabisa na hukumu ya Jaji. kwa bahati mimi nina taaluma zote mbili za Sheria na uandishi wa habari.

Nilichobainisha mimi ni kuwa WAANDISHI WA HABARI WA MAGAZETI YA HUKO TANZANIA YALISHA MUHUKUMU ZOMBE NA ENZAKE KUWA NI WAUAJI NALAZIMA WAFUNGWE, NA WALITAKA JAJI AWE KAMA RUBBER STAMP TU. SASA HIYO NI KINYUME CHA MAADILI YA UANDISHI.

Mwandishi anatakiwa kuripoti au kuandika kitu vile kilivyo bila kuongeza au kupunguza au kueleza yale matakwa yake. sasa waandishi wa huko Tanzania waliya muhukumu. sasa nikizungumza kisheria. Zombe ana nafasi nzuri sana kuyashitaki magazeti hao na kudai fidia.

hakika sheria inataka uthibitisho pasipo shaka yoyote kuwa walifanya tendo hilo. Na kwa maamuzi ya jaji kutokana na ushahidi ulioletwa na serikali walishindwa kuthibitisha ushiriki wao katika mauaji hayo.
 
Let hope that God will do something on this. If its true they didnt kill anyone. Damu ya mtu haiendi hivi hivi.

These guys will regret to free him with confindence that he is clean while not.
 
wabongo bwana mara wote sasa mnamshabikia ZOMBE?kazi ipo tanzania yani huu usingizi sijui kama tutaamka,ngoja nikatandike box langu mie nshachoka na hizi blaah blaaaah.
 
Hakika kila siku nimekuwa nasema kazi yetu sisi waandishi ni KUELIMISHA, KUIPASHA JAMII NA KUIBURUDISHA JAMII. Na wala hatutakiwi kabisa kuiamulia jamii ifate sisi kile tunachotaka.

Hakika mwandishi makini anatakiwa asiegemee upande wowote wa shilingi ili kutoa nafasi kwa wasomaji wawe huru kuamua. Na unapokuja kwenye issue yoyote aliyokuwepo kwene vombo vya sheria kama mahakama, waandishi wanatakiwa waandike kile tu kinachozungumzwa na hawapaswi hata kidogo kuongeza au kupunguza kitu. Hicho ingawa ni kinyume cha maadili ya kiuandishi vile vile ni kinyume cha Sheria za nchi za mwenendo wa mahakama.

Nikirudi kwenye kesi ya ZOMBE. Hakika waandishi karibu wa magazeti yote huko Tanzania walisha amua kumtia Zombe hatiani na kuionyesha jamii kuwa yeye ni muuaji na walisahau kabisa kuwa kuna taratibu za kimahakama na kisheria za kuthibitisha tendo zima.

Hakika hivi sasa bila shaka huko Tanzania wengi watalalama kuona kuwa jaji Masati amekosea au amependelea. Hiyo yote inatokana na vyombo vya habari kumuhuku,u Zombe kwa jamii kuwa yeye muuwaji.

Hakika ningependa kusema kuwa vyombo vya habari hususan magazeti YAMEUMBUKA KWENYE KESI YA ZOMBE. HII YOTE INATOKANA WENGI WA WAHARIRI KUTOKUWA NA TAALUMA SAHIHI YA HABARI AU KUTAWALIWA NA TAMAA YA FEDHA NA KUSHABIKIA UPANDE MMOJA BILA KUJUA SHERIA INAPIMA USHAHIDI WA PANDE ZOTE NA KUTOA HUKUMU.

Ingawa upande wa Serikali una nafasi ya kukata Rufaa, lakini nae zombe ana nafasi kubwa sana kuyashitaki magazeti yote yaliyokuwa yanaandika upendeleo katika kesi yake ikiwa pamoja na kuita kesi ya Zombe na wenzake badala ya kuita kesi ya watuhumiwa wa mauaji ya wafanabiashara wa morogoro.

HAKIKA WAANDISHI UCHWARA WA TANZANIA MTAIPELEKA PABAYA NCHI. SASA MMESHA MJENGEA ZOMBE NA WENZAKE MAADUI KATIKA JAMII.


Nasriyah Saleh Al-Nahdi.
Doha.
Qatar


wewe inaonekana hujui hata nini maana ya mwenendo wa kesi na mashtaka. Waandishi wa habari hawana kosa na wako sahihi kwa sababu walikuwa wanaripoti case proceedings (mwenendo wa kesi) na siyo mashtaka. kama wangeandika mashtaka, hapo kuna cha kuwalaumu lakini walikuwa wanaandika ambacho hata wewe ukiwa unapita barabarani unakisikia jaji akiongea tena kwenye vipaza sauti.

Kingine nikushauri tu kwamba, wakati haya yanajiri sisi tulio majirani tunajua nini kilitokea, kwa hiyo mshangao wa jamii ni kuona uamuzi wa mahakama unakuja kinyume, ingawa hakuna anayeweza kupingana na uamuzi wa mahakama, labda kukata rufaa.

Kwa hiyo ndugu yangu, waandishi hawana hatia, walichokuwa wanakiandika ni sahihi kwa ni ni kile kinachotamkwa hadharani pale mahakamani na waandishi wanakaribishwa ili kuelewesha umma mwenendo wa kesi. Na wala siyo kesi ya zombe tu ambayo waandishi wamekuwa wakiifuatilia kila hatua, kuna ile ya Kasusura na zingine.
 
wabongo bwana mara wote sasa mnamshabikia ZOMBE?kazi ipo tanzania yani huu usingizi sijui kama tutaamka,ngoja nikatandike box langu mie nshachoka na hizi blaah blaaaah.

hapo ndo utajua watanzania halisi waliyo. Siku zote kila mtu alikuwa ansema oh..zombe haponi...lakini leo eti wanajifanya...oh...zombe hakuwa na hatia....oh..mara jaji sijui katenda haki...na ushenzi mwingine mwingi.

Nadhani watanzania walio wengi wenye mawazo ya kinafiki na kigeu geu kama wanaomsapoti zombe leo humu JF ni punguani.
 
.

ByaseL,

Mimi sipingani kabisa na hukumu ya Jaji. kwa bahati mimi nina taaluma zote mbili za Sheria na uandishi wa habari.

Nilichobainisha mimi ni kuwa WAANDISHI WA HABARI WA MAGAZETI YA HUKO TANZANIA YALISHA MUHUKUMU ZOMBE NA ENZAKE KUWA NI WAUAJI NALAZIMA WAFUNGWE, NA WALITAKA JAJI AWE KAMA RUBBER STAMP TU. SASA HIYO NI KINYUME CHA MAADILI YA UANDISHI.

Mwandishi anatakiwa kuripoti au kuandika kitu vile kilivyo bila kuongeza au kupunguza au kueleza yale matakwa yake. sasa waandishi wa huko Tanzania waliya muhukumu. sasa nikizungumza kisheria. Zombe ana nafasi nzuri sana kuyashitaki magazeti hao na kudai fidia.

hakika sheria inataka uthibitisho pasipo shaka yoyote kuwa walifanya tendo hilo. Na kwa maamuzi ya jaji kutokana na ushahidi ulioletwa na serikali walishindwa kuthibitisha ushiriki wao katika mauaji hayo.

Jamani acha kuwa na mawazo potofu, nani kakwambia mwandishi wa habari ni mahakama?? Wao wameandika mwenendo wa kesi na siyo kutoa hukumu...ebo!!!

Muache unafiki..... kwani angehukumiwa kunyongwa wewe hapa ungetapika vingine na siyo hayo unayo sema leo, pumbafu kabisa nyie!!
 
Kwa bahati mbaya mi si mwanasheria wala si mwandishi wa habari. Najiuliza Nikitarajia jibu lenu wanajamii. Hivi ile tume ya rais chini ya jaji Kipenka ilimdananya rais? Manake nahisi waandishi wetu inawezekana walimhukumu Zombe na wenzake kwa kuwa tayari Tume ya jaji Kipenka ilishawahukumu kiaina. Kipenka ni Jaji, na Masati ni Jaji. Jaji na Jaji wanapotofautiana, kwanini waandishi wetu wasikengeuke? Tusiwalaumu bure waandishi wetu! Natoa hoja!

naomba ujue kuwa tume yoyote inayoundwa lazima ie na ADIBU ZA REJEA. na kwa tume kama hio nafikiri ilikua na malengo yafuatayo: 1. kujuwa kama kweli waliouwawa walikuwa majambazi au wafanyabiashara? 2.kujuwa mazingira yaliowafanya wauwawe ( je walipambana na polisi au walikamatwa na kuuwawa) 3.maoni ya tume.

sasa naomba ujuwe kuwa maoni haya au hata taarifa ya tume hii haiwezi hata kidogo kutumika kama ushahidi au hata kielelezo mahakamani.

Ili kesi iweze kusimama lazima polisi wafanye uchunguzi wao, kisha ushahidi huo uwakilishwe ofisi ya DPP. nae akikubali basi kesi inafunguliwa.

aandishi inawabidi waandike kile kinachosemwa na sio kuongeza au kupunguza jambo. Suala la maamuzi katika habari linabaki kwa msomaji au msikilizaji wa habari hiyo.

Mwandishi aruhusiwi hata kidogo kuiamulia jamii. Kwa kufanya hivyo ni kinyume cha Katiba ya Tanzania ( uhuru wa kupata habari) na kinyume cha maadili a uandishi.
 
[quoteJamani acha kuwa na mawazo potofu, nani kakwambia mwandishi wa habari ni mahakama?? Wao wameandika mwenendo wa kesi na siyo kutoa hukumu...ebo!!!

Muache unafiki..... kwani angehukumiwa kunyongwa wewe hapa ungetapika vingine na siyo hayo unayo sema leo, pumbafu kabisa nyie!!] [/quote]


Sheria ni msumeno. unakata pande zote.

Hebu pata nakala ya hukumu ya Jaji masati ya jana kisha soma magazeti yameripoti nini kwa jamii utaona ninachobainisha.

Pole sana
 
inawezekna tunakuwa na ujinga wa kufikiri, mimi sioni ni wapi hao waandishi wa habari walipoumbuka, hata kama wewe ulikuwa hujuhi kufanya uchunguzi wa haya mambo ya mahuaji, hii kwsi ilikuwa hiko open kabisa kwa ushahidi wa kimazingira na kivitendo, waandishi walikuwa wakiriport kilichokuwa sahihi kabisa kwamba zombe. lema na wengineo wamehusika kwa asilimia 100, kuwaua hao wafanya biashra wa madini, labda swali la kujiuliza hao jamaa walikuwa Sinza na waliondoka na polisi, walifikaje pale kwenye msitu wa pande na kupata mahuti huko
tatizo lililojitokeza sio waandishi bali ni serikali yako ya Kikwete na utendaji wake mbovu, uwezi kugharamia mamilioni ya pesa za walipa kodi kisha unapeleka kesi mahakamani isiyokuwa na ushahidi wa kutosha
 
Back
Top Bottom