Kesi ya Afande sakata la binti wa Yombo yafutwa, hatokabiliwa na shtaka lolote dhidi yake

Kesi ya Afande sakata la binti wa Yombo yafutwa, hatokabiliwa na shtaka lolote dhidi yake

ilikua kesi rahisi mno. kwake kushinda manake hata angesimama kizimbanj angesema vijana niliowatuma hawakuwa wale ni wengine
niliwatuma vijana sita warefu waliojazia na sio wale

hakimu anafuta kesi
Acha utoto, umedhawahi kusikia neno 'investigation'?
Unadhani kama upelelezi ungefanyika kweli na wale vijana wa yule mama wabakaji wakatoa ushirikiano asingefungwa. Mawasiliano ya simu zingechukuliwa printouts, wahuni wangeeleza their side of the story na lile mama Jambazi Afande lingesema upande wake then cross-examination yaani pangechimbika na mama lenu hilo lingeumbuka.
 
Hapo angetiwa hatiani kwa kula njama ya kufanya uhalifu, ushahidi ni kauli yake hiyo

View attachment 3128927
Adhabu ni ndogo sana hailingani na miaka wanayofungwa wabakaji kwa TZ plus hii ilikuwa ni gang-rape pamoja na kosa la ufiraji(ulawiti). Yaani wamelindwa kiaina na hii ni nguvu ya jimama jambazi Afande na system ya nchi inayolipa nguvu hilo Limavady jambazi Afande.
The whole shit is fvcking ridiculous.
 
ilikua kesi rahisi mno. kwake kushinda manake hata angesimama kizimbanj angesema vijana niliowatuma hawakuwa wale ni wengine
niliwatuma vijana sita warefu waliojazia na sio wale

hakimu anafuta kesi
Maana yake angekiri kuwatuma hao vijana warefu tofauti na hao wakafanye uharifu?

Unajua hata ABC za Sheria?
 
Maana yake angekiri kuwatuma hao vijana warefu tofauti na hao wakafanye uharifu?

Unajua hata ABC za Sheria?
walio mshtaki wangeambiwa waka
Acha utoto, umedhawahi kusikia neno 'investigation'?
Unadhani kama upelelezi ungefanyika kweli na wale vijana wa yule mama wabakaji wakatoa ushirikiano asingefungwa. Mawasiliano ya simu zingechukuliwa printouts, wahuni wangeeleza their side of the story na lile mama Jambazi Afande lingesema upande wake then cross-examination yaani pangechimbika na mama lenu hilo lingeumbuka.
unaonekana mtoto mdogo sana kwenye sheria watu wanapangua kesi za ubakaji ,mauwaji ndan ya dkk sifuri alaah wewe unasema nn bwana mdogo
 
Sheria ni kitu Cha ajabu sana 😂😂#Aliyasema mwalimu nyerere
 
ilikua kesi rahisi mno. kwake kushinda manake hata angesimama kizimbanj angesema vijana niliowatuma hawakuwa wale ni wengine
niliwatuma vijana sita warefu waliojazia na sio wale

hakimu anafuta kesi
Itabidi waje kuthibitisha anachokisema, nawalioko gerezani wataletwa kutoa ushahidi, hawezi kuchomoka kama aliwatuma kweli.
 
Back
Top Bottom