Acha utoto, umedhawahi kusikia neno 'investigation'?ilikua kesi rahisi mno. kwake kushinda manake hata angesimama kizimbanj angesema vijana niliowatuma hawakuwa wale ni wengine
niliwatuma vijana sita warefu waliojazia na sio wale
hakimu anafuta kesi
Unadhani kama upelelezi ungefanyika kweli na wale vijana wa yule mama wabakaji wakatoa ushirikiano asingefungwa. Mawasiliano ya simu zingechukuliwa printouts, wahuni wangeeleza their side of the story na lile mama Jambazi Afande lingesema upande wake then cross-examination yaani pangechimbika na mama lenu hilo lingeumbuka.