NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
Hospital watoto walipimwa ikaonekana hawajaingiliwa kwa vyovyote dokta akatimuliwa akaitwa mwingine kuandika PF3 kuwa waliingiliwa akafanya hivyo muziki usio na mchezaji ukaendelea.
Naomba nikanushe kwa herufi kubwa 'UWONGO' huu hata kama nitakuwa nimeenda kinyume na taaluma na maadili yangu kama Daktari. Sentensi niliyonukuu hapo juu ni UONGO mkubwa! Wakati inatokea hii issue nilikuwa bado nafanya kazi Muhimbili National Hospital, watyoto hawa walichunguzwa katika kitengo cha upasuaji watoto (Paeditric Surgery) chini ya Daktari ambaye namfahamu sana...na ni 'very senior' na anaheshimika Muhimbili kimaadili na mshika dini.
Kwa kesi ya kubaka, details zinakuwa
punguza povu MJINI CHAI,sheria kweli zipo lkn zinafuatwa nchini humu?km kweli we ni great thnker utakubaliana nami kwamba ktk mambo mengne vitu km sheria na taratibu huwekwa pembeni na kutumia akili ya kibinadamu kufikia maamuzi muafaka,hii kesi hebu itazame kibinadamu zaidi na c kisheria zaidi.
Akili mbovu hata humu Jf wamo.....Maamuzi ya Mahakama zote siyo ushahidi tuu?.........mna matatizo gani nyie Someni mwenendo wa Kesi ndio mutajua mbivu na mbichi.............!!!!!!!!
Naomba nikanushe kwa herufi kubwa 'UWONGO' huu hata kama nitakuwa nimeenda kinyume na taaluma na maadili yangu kama Daktari. Sentensi niliyonukuu hapo juu ni UONGO mkubwa! Wakati inatokea hii issue nilikuwa bado nafanya kazi Muhimbili National Hospital, watyoto hawa walichunguzwa katika kitengo cha upasuaji watoto (Paeditric Surgery) chini ya Daktari ambaye namfahamu sana...na ni 'very senior' na anaheshimika Muhimbili kimaadili na mshika dini.
Kwa kesi ya kubaka, details zinakuwa kwenye faili na si PF3 kama muandishi anavyotaka kutuaminisha, PF ni Police Form inayomsaidia mtu kupata matibabu hospitali na haina details za nini amegundulika nacho mgonjwa. Details za kwenye faili ndio hutumika mahakamani wakati wa kutoa ushaidi (na sio PF3).
Daktari aliyewachunguza watoto ndiye yeye aliyeawapokea walipoletwa hospitali, aliyejaza faili, na ndiye aliyetoa ushahidi mahakani. With my own eyes, nilimuona akilia wakati alipokuwa anachunguza wale watoto kwa extent ya UHARIBIFU ambao baadhi ya watoto walipata kwa kuingiliwa over and over again..
Watoto dhahiri kwa ripoti ya Daktari walibakwa...nani aliwabaka? Hilo ndilo swali la kujiuliza!
Yaani huwa nikiona thread inayomhusu Babu seya huwa nasikitika sana. Lkn naamini kabisa mtu aliyewafanyia kitendo hicho hakika kuna siku atapigwa mapigo ya kutosha na Mungu. Mtu mnyonge siku zote mtetezi wake ni Mungu.
wacha tusubiri mkuu japo naamini hawatatoka zaid ya kupunguziwa adhabu,km tetes zilizopo ni za kweli basi kaz ipo!kuna wa2 wako juu ya sheria nchi hii,japo na hili unaweza kupingaNakubaliana nawe......lkn kumbuka ya kuwa mahakama pamoja na sheria hutegemea sana umejieleza vipi juu ya kesi unayoiendesha.....plus ushahidi uliopo juu yako....hivyo kama unatoa maelezo/utetezi ambao kila msikilizaji akiupima anajiridhisha ya kuwa umefanya kosa je unataka mahakama ifanye nini juu ya mtu huyo?.......Ushahidi uliletwa mahakamani......Maelezo yao yanaonyesha walitenda kosa.........Mazingira nayo yanathibitisha..........Watoto wamebakwa...........Mahakama ifanye nini?.....Labda kwa hiki kinachoendelea sasa kitawanusuru Nasikia wametubia na kumuomba mkulu awahurumie kama mkuu wa Anga na si vinginevyo kama mnavyotaka kupotosha.........ndipo mahakama imeagizwa ipitie upya kuwanunusuru...........Nelly nely upo mkuuuuuuu..........
yaani sungura anamuomba fisi amsaidie kuwaokoa wanae mikonon mwa simba??Nakubaliana nawe......lkn kumbuka ya kuwa mahakama pamoja na sheria hutegemea sana umejieleza vipi juu ya kesi unayoiendesha.....plus ushahidi uliopo juu yako....hivyo kama unatoa maelezo/utetezi ambao kila msikilizaji akiupima anajiridhisha ya kuwa umefanya kosa je unataka mahakama ifanye nini juu ya mtu huyo?.......Ushahidi uliletwa mahakamani......Maelezo yao yanaonyesha walitenda kosa.........Mazingira nayo yanathibitisha..........Watoto wamebakwa...........Mahakama ifanye nini?.....Labda kwa hiki kinachoendelea sasa kitawanusuru Nasikia wametubia na kumuomba mkulu awahurumie kama mkuu wa Anga na si vinginevyo kama mnavyotaka kupotosha.........ndipo mahakama imeagizwa ipitie upya kuwanunusuru...........Nelly nely upo mkuuuuuuu..........
hilo nalo nenoRiwa je kama ndio walibakwa au walidanganywa, je nani aliwabaka?
Huyo Dr alifanya DNA akakuta ya hao wanaume ndani ya watoto?
Au wengine waliwatenda kama rituals au paedo. Na wakawasingizia hawa?
Sababu ni kwamba y wengi TZ haijawaingia kuwa wapo guilty?
I hope siku moja tutajua ukweli.
Hivi huyo rafiki Dr ulikuwa nae alipokuwa anawachunguza?
Alisema wazazi wa watoto walikuwepo nao?
Je wapo wapi sasa? Walirudi check-up kuona kama wapo wanapona vizuri?
Je ni wewe unaamini kila kitu alichokuambia, embu weka story hapa alisema ilikuwaje nataka nijue as wengi hatukuwa kotini?
Kwa hiyo walikuta evidence wakapima dna na ndio kuwakamata? Thank you
wacha tusubiri mkuu japo naamini hawatatoka zaid ya kupunguziwa adhabu,km tetes zilizopo ni za kweli basi kaz ipo!kuna wa2 wako juu ya sheria nchi hii,japo na hili unaweza kupinga
Kitu kilichoniumiza sana ni pale Mwl aliyetajwa kuwa alikuwa anawapeleka watoto kwa Babu Seya kisha wakati akitoa ushahidi wake Mwl aliiambia mahakama kwamba kamwe asihusishwe kwenye mambo ambayo hajawahi kufanya kwani yeye ni mlokole na hajawahi kuona wala kuwapeleka watoto kwa Babu Seya. Mahakama ikamuona hana hatia ikamwachia huru. Swali kama kulikuwa na Mwl aliyekuwa akiwapeleka watoto hao kwa Babu Seya ni Mwl yupi huyo kama huyu hakuwa na hatia japo mwanzo alionekana ndiye, tena aliiumbua mahakama kuwa hajawahi kusikia kitu kama hicho. Hospital watoto walipimwa ikaonekana hawajaingiliwa kwa vyovyote dokta akatimuliwa akaitwa mwingine kuandika PF3 kuwa waliingiliwa akafanya hivyo muziki usio na mchezaji ukaendelea.
mzurimie..Riwa je kama ndio walibakwa au walidanganywa, je nani aliwabaka?
Huyo Dr alifanyaDNA akakuta ya hao wanaume ndani ya watoto?
Au wengine waliwatenda kama rituals au paedo. Na wakawasingizia hawa?
Sababu ni kwamba y wengi TZ haijawaingia kuwa wapo guilty?
I hope siku moja tutajua ukweli.
Hivi huyo rafiki Dr ulikuwa nae alipokuwa anawachunguza?
Alisema wazazi wa watoto walikuwepo nao?
Je wapo wapi sasa? Walirudi check-up kuona kama wapo wanapona vizuri?
Je ni wewe unaamini kila kitu alichokuambia, embu weka story hapa alisema ilikuwaje nataka nijue as wengi hatukuwa kotini?
Kwa hiyo walikuta evidence wakapima dna na ndio kuwakamata? Thank you
mia mkuu!yanayo mkuta babu seya yanaweza kumkuta yoyote anaye angalia na kusoma uzi huu. familia nzima kulala na wadodo wa sehemu moja hainiingi akilini. mia
sidhan km unazungumza toka moyoni mwako mjini chai,hivi hata km n mwanao kafanyiwa hvyo na akapatkana m2 wa kusingiziwa kesi ndo utamalzia hasira kwake?kwann uctafte muhusika?otherwise uwe umechonga kesi!!!Unaweza kupinga??!!!!.......kuna Wa2 wako juu ya sheria??!!!!........Umefikiria nini?........Sheria ni Msumeno hukata mbele na nyuma........Nawasikitikia wale watoto maana baadhi yao wamepata maambukizi ya vvu.....Fidia ya 2M si chochote....Fikiria mmoja wao angekua ni ndugu yako wa Damu.......
Binafsi toka mwanzo wa kuifahamu kesi hii iliyojaa kila aina ya mbwembwe na umaarufu kwa sababu ya washtakiwa wenyewe siku zote na kwa mtazamo wangu na upande wa pili unisamehe ila imani yangu ni kwamba pale hakuna kesi zaidi ya siasa chafu na visasi vya kila aina,chuki na ubinafsi wa nafsi ndio vilivyofanya paka leo hii familia ya Nguza Viking ikiteseka bila sababu.Yashasemwa mengi sana kuwa kuna mlono wa mtu pale na hata ukiangalia mwenendo mzima wa kesi utakubaliana nami pasipo shaka kuwa pale kuna ujanja unaofanyika ingawa ni ngumu na siwezi kutibitisha moja kwa moja ila rai yangu na maombi yangu juu yao waweze kuwa huru tena na kama walifanya kweli basi uhuru wao hakika hautadumu huku uraiani...Mtazamo wangu binafsi.
Yaani huwa nikiona thread inayomhusu Babu seya huwa nasikitika sana. Lkn naamini kabisa mtu aliyewafanyia kitendo hicho hakika kuna siku atapigwa mapigo ya kutosha na Mungu. Mtu mnyonge siku zote mtetezi wake ni Mungu.