Kesi ya Babu Seya na wanae - Ukweli ni upi haswa?

Kesi ya Babu Seya na wanae - Ukweli ni upi haswa?

Huo ni ujinga but mbona sijaona mahala papi katajwa naona jina la nguza tu babu say then mbona victims wana majina mawili tu watanzania kweli hao?
 
haya maelezo ya kupangwa kabisa 7yrs nyuma hapawezi himili mtanange wa mtu mzima ingegundulika siku 2 kwa ukaaji wao.

hii kesi tangu mwanzo huwa siiamini hasa baada ya kufungwa wale majanki na wakakutwa hawana hatia. (akiye plani tukio alitaka familia nzima iozee jela)

ntakuwa wa 3 kutoka mwisho kuamini hili
 
Back
Top Bottom