MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,701
- 71,056
Basi wamesamehewa tuwape benefit of dought ingawa Mahakama iliwatia hatiani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Well trained! Ndo maana maneno yao yanafanana fanana. Anyway not a big deal nowInawezekana walikuwa trained kusema hayo. Hii kesi ina ukakasi mwingi sana. Ila tungeamini maamuzi ya mahakama na hawa wabakaji wangeendelea kukaa huko.
Mmhh2010 mmoja wa vibinti hivyo nilimuona Mt. Vernon,NY nikiambiwa baadae kuwa alifika huko baada ya kuwa sehemu ya mashahidi na kutenda vyema!!!
Mimi nitakua wa pili kutoka mwisho.. Yaani ukiamini wewe Mimi ndiyo nitafuatia.haya maelezo ya kupangwa kabisa 7yrs nyuma hapawezi himili mtanange wa mtu mzima ingegundulika siku 2 kwa ukaaji wao.
hii kesi tangu mwanzo huwa siiamini hasa baada ya kufungwa wale majanki na wakakutwa hawana hatia. (akiye plani tukio alitaka familia nzima iozee jela)
ntakuwa wa 3 kutoka mwisho kuamini hili
Aiseee... Ila Mungu yupo!2010 mmoja wa vibinti hivyo nilimuona Mt. Vernon,NY nikiambiwa baadae kuwa alifika huko baada ya kuwa sehemu ya mashahidi na kutenda vyema!!!
Hata kama TLS nzima ingewatetea, MAELEKEZO kutoka juu yangeshinda tu!Hivi Inamaana hawa akina Babu Seya hawakuwa na Mawakili wa kuwatetea hadi Wakatiwa hatiani kwa Ushahidi wa Kubumba?
Walitetewa na jopo la mawakili wasomi wakiongozwa na Wakili Msomi Mabere Marandu wakashindwa kesi.Wakakata rufaa wakashindwa tena.Hivi Inamaana hawa akina Babu Seya hawakuwa na Mawakili wa kuwatetea hadi Wakatiwa hatiani kwa Ushahidi wa Kubumba?
Nimejikuta natoka machozi ya uchungu wa mzaziAm totaly confused
Vile vile anaweza kuamuru ufungwe hata kama Huna kosaSasa kama Rais anaweza kufuta hukumu zilizotolewa na mahakama inakuaje basi tunasema mahakama ni mhimili wa dola ulio ulio huru?
Wacheni matusi yanayotokana na ujinga wenu. Nia ayke ni kutaka kuwaonyesha wafuata mkombo kama wewe kuwa hawakusingiziwaWameachiwa we tako linakuwashia nini?
Acha kuwaombea mabaya kila MTU na njia yakeBabu sea kama ni kwl alifanya hyo baasi laana itamtafuna mpaka atakopokufa kuwa huru kwake huenda ikawa adhabu kubwa sana