Pale COA walitetewa na Mabere Marando!Hivi Inamaana hawa akina Babu Seya hawakuwa na Mawakili wa kuwatetea hadi Wakatiwa hatiani kwa Ushahidi wa Kubumba?
stupid mama yako. Kwa nini umemtukanaYa ambatanishe yapeleke polisi wakamatwe tena//// stupidly
Duuuuuu .2010 mmoja wa vibinti hivyo nilimuona Mt. Vernon,NY nikiambiwa baadae kuwa alifika huko baada ya kuwa sehemu ya mashahidi na kutenda vyema!!!
Ahsante sana Kiongozi., sijaelewa ukakasi wa hili swala unatokea wapi ikiwa Marando ni miongoni mwa Mawakili wazuri na wazoefu!Pale COA walitetewa na Mabere Marando!