Kesi ya Babu Seya na wanae - Ukweli ni upi haswa?

Sawli, kwanini pw2 alikuwa anatoa harufu mbaya?
Jibu, nilimwona jana akiwa na shilling mia mbili.
Hivi hapakuwa na maelezo mengine kabla ya jibu hilo?.


Mkuu:
Mtoto kama huyo kuwa na pesa Tshs: 200 ambazo hajapewa na mzazi/mtu anayefahamika nyumbani ni chanzo tu cha kupelekea uchunguzi zaidi kwa mzazi yeyote aliye makini kwa mtoto wake.
 

Hivi nikigundua mwanangu kafanyiwa unyama kama huo nikienda kiripoti polisi kisha naondoka kwenda kuwatafuta wahanga wengine kabla sijamkamata mtuhumiwa?, halafu iweje hao ndugu wote wafanye kosa la aina moja?
 
Tuletee na majina ya watu waliouawa na wafungwa wengine waliopewa msamaha jana. Ni wafungwa wengi waliopewa msamaha sio hao akina Babu Seya peke yao. Sijui utafika wapi kwa kuwakomalia hao wafungwa wawili ilhali idadi ya waliopewa msamaha ni zaidi ya wafungwa mia sita.
 
Kwa ushahidi huu,walalamikiwa walikuwa wamekamatika,na jamhuri ilishadhibitisha pasi na shaka yeyote ya kuwa kosa lilitendeka.

Ila wameshasamehewa,na maisha yanaendelea.
Mkuu kesi hii ilikuwa ya kupikwa.
 
Pambafu mwenyewe, mbona hii habari inazunguka kwenye mitandao na ipo miaka mingi tu wewe ndio unaiona leo, shwain mkubwa.
Nimeiona ila mimi si mjinga kama wewe! Angekuwepo binti yako ungemuweka pia? Unataka waishije kwenye jamii baada ya hapo? Hujui ethics za kuandika habari inayomhusu mtoto wa chini ya miaka 18? Pambaffffff! na tusi kubwa zaidi!
 
Mkuu:
Mtoto kama huyo kuwa na pesa Tshs: 200 ambazo hajapewa na mzazi/mtu anayefahamika nyumbani ni chanzo tu cha kupelekea uchunguzi zaidi kwa mzazi yeyote aliye makini kwa mtoto wake.
Wazee pia tusisahau,200 ya wakati wa Chinga mtu ulikuwa unakunywa chai na change inabaki so ilikuwa hela kubwa kidogo.
 
Mahakama ya Africa ....wangeadhirika wengi....wajanja wamewahi kuwatoa kufunika kombe...na hapo ujuwe hao so maskini tena !
 
Umechanganyikiwa nini.
 
Hukumu ilikazia kwenye nini hasa?....medical report nilivyoilewa inasema the hymen and anus evidence claimed were intact?... Ushahidi wa watoto ni wa kukariri kama ngonjera. wanasheria tuelimisheni.
 
Mbona kama hayo maneno yanafana fananatu isijekuwa walikaririshwa.
 
Utakua umepaliwa,
Usiwe unakunywa maji kwa pupa
.......hahahah hamna cha kuliza hapo,hawa ndiyo wale wanaongalia Korean wenyewe wanaita sijui dream sijui movie machozi yakawatiririka.
 
Hivi Inamaana hawa akina Babu Seya hawakuwa na Mawakili wa kuwatetea hadi Wakatiwa hatiani kwa Ushahidi wa Kubumba?
lilikua agizo la mwenye ameshika mpini[emoji17][emoji17][emoji17]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…