Kesi ya Babu Seya na wanae - Ukweli ni upi haswa?

Kesi ya Babu Seya na wanae - Ukweli ni upi haswa?

Muda kamwe ndio kila kitu.Sijui kama Babu Seya alilawiti au hakulawiti.

Ila nafsi yangu inanishuhudia ni ngumu baba na mwanaye kulawiti hasahasa kwa mtu mwenye akili timamu.

Nafurahi kaachiwa ila ipo siku ukweli itajulikana.
Huwezi jua jambo la mtu moyoni.

Nilipo kuwa nikisoma ushahidi wa hyo kesi....mwili wote ulisisimka jinsi ushahidi ulivyo tolewa....

Hadi nikahisi walikuwa labda wanatekeleza masharti ya mganga wao ili ktk mziki wao labda waendelee kuwa maarufu.....kweli nifikia kuwaza mbali sana.
 
Magufuli anachunguza sana hafanyi mambo kienyeji kaona wamebambikiwa akasema toooa wakatoka watu wenye roho mbaya hawtaki papy nguza awe nje

Magufuli anachunguza sana hafanyi mambo kienyeji kaona wamebambikiwa akasema toooa wakatoka watu wenye roho mbaya hawtaki papy nguza awe nje
dc369ae59b4cac769fb0ff15dbad9f38.jpg
 
Naomba mjadala huu ufungwe Kwa maslahi ya familia ya babu Seya ili wapate nafasi ya kupumzika na kufurahia msamaha! Tusiirudishe familia hii kwenye kwenye "kesi katika mitandao ya kijamii"
Kama walikuwa wamekosa basi wamesamehewa kisheria na jamii iwasamehe pia. Kama walikuwa wameonewa basi na wao wawasamehe kabisa waliowaonea ili wajisikie huru! Ukisamehe unakuwa huru! Hii itasaidia maisha kuendelea! Naomba mods wasaidie kufunga hii mijadala hapa jf Kwa manufaa ya familia husika inayohitaji kupumzika!

Uko sawa mkuu lakini hali hii inaweza kujirudia hata kwako. Tusiwe watu wakusamehe vitu vya aina hii.
 
Achen kuamini case za kubambikizwa.
Unasemajeeee?

Kubambikizwa?

Na nani hasa na kwa kipi walichomfanyia mtu mpska awabambikizie kesi familia nzima.?

Inamaana hata majaji wetu walinunuliwa kutoa hukumu kama hiyo yenye kumaliza familia nzima ya mzee nguza?

Watanzania hatuna roho mbaya na ubaya kiasi cha KUBAMBIKIZIA kesi kubwa kama hiyo tena kwa familia nzima.
 
Hapo kwa mwalimu ndio ilileta shaka. Kama ni kweli vipi mwalimu aachiwe huru. Ila hili jambo hakuna anayejuwa ukweli tunatumia kila mtu uwezo wake wakufikiri. Sio jambo la kawaida mtu na family yake wafanye wote ushenzi huu pamoja ni strange real. Tanzania hii isivyokuwa na siri hata hao watoto wangejulikana leo. Ukweli ngumu kuelewa nyuma ya hili janga. Warudi nyumbani wakae kimya tu isije ikawapa matatizo. Mungu anajuwa yote na wao wenyewe.
Inaonekana mwalimu aligeuka kuwa shahidi, kama ni mfuatiliaji wa kipindi cha forensic files utaelewa, Kuna mazingira inambidi mtuhumiwa anakuwa shahidi vinginevyo kushinda kesi inakuwa ngumu.
 
watoto 10 hawawezi kufanyiwa matendo hayo kirahisi namna hivyo.......hata kama si mwanasheria ukisoma hayo maelezo ya watoto unaona jinsi ulivyokosa mashiko....
 
"nafikiria ndani ya box.,kwa nini watu wajichoshe kukusanya watoto 10..awafundishe uwongo wa kumsingizia Babu Seya..!?

'ilhali Seya wangeweza kwenda jela kwa 'teknik' nyingi tu rafiki..tena za siri zaidi.!'

'maswali ya mawakili huwa ni 'hatari' pasua kichwa.Wakili Msomi Mabere Nyaucho Marando na jopo lake nzima hawakumwakilisha vyema Babu Seya?'

Ibara ya 45 ndio imemtoa,upepo ukibadilika;atarejea tena.!!
Mkuu hongera kwa kuongea ukweli mchungu...

BINAFSI SIPINGI KUACHIWA KWAO ILA NACHOPINGA NI DHANA YA KUWA WALIONEWA NA KUSINGIZIWA NA KUBAMBIKIZWA KESI KISA MAPENZI...

hoja mtaani nyepesi ni kuwa alitembea na mama salma kikwete kisha jk akaamua kumfanyizia na akamfunga bab seya....Mbaya zaidi akamtungia wimbo...

sasa ukiwakumbusha kuwa jk hakumfunga babu seya kafungwa na mkapa mwaka 2004 ndio wanabaki wanashangaa...

na ukiwakumbusha kuwa jk hakuwa kipenzi cha mkapa kiasi kwamba wakakaa na kupanga kumfanyizia mbaya wake nao wanazidi kushangaa.

Ukweli ni kuwa walibaka na makosa walifanya na ukweli mwingine ni kuwa WAMEOMBA MSAMAHA WA DHATI NA WANASTAHILI KUSAMEHEWA....

ila ukweli mchungu kwa wana siasa hasa wa upinzani ni kuwa RAIS KATUMIA KATIBA KUWAACHIA WABAKAJI ILA HAJATUMIA KATIBA KUWAZUIA WANASIASA KUFANYA MIKUTANO YA HADHARA.
 
watoto 10 hawawezi kufanyiwa matendo hayo kirahisi namna hivyo.......hata kama si mwanasheria ukisoma hayo maelezo ya watoto unaona jinsi ulivyokosa mashiko....
kuna wakati una akili sana...
 
Unasemajeeee?

Kubambikizwa?

Na nani hasa na kwa kipi walichomfanyia mtu mpska awabambikizie kesi familia nzima.?

Inamaana hata majaji wetu walinunuliwa kutoa hukumu kama hiyo yenye kumaliza familia nzima ya mzee nguza?

Watanzania hatuna roho mbaya na ubaya kiasi cha KUBAMBIKIZIA kesi kubwa kama hiyo tena kwa familia nzima.
Hii kesi imekatiwa rufaa nyingi sana...na majaji wamebaki na same rulling...
Imefanyiwa judicial review..imebaki hivyohivyo
Hawa jamaa walilawiti kutokana na ushahidi..sema wanasiasa wetu wanapenda kiki zisizo na maana
 
Mwaka 2008 niliishi nyumba moja na jaama aliyekutana na hawa jamaa gerezani na kwa maelezo yake walikuwa marafiki. Alikuwa anasimulia mengi ambayo siwezi eleza hapa kwa faida ya pande zote.
Then huna hata haja ya kupost ulichoandika
 
Wakongo ni washenzi sana nyie hamuwajui tu...kama umewahi kuishi nao mtaa mmoja utaelewa nachokisema hapa.
Kwenye uharifu nipo tayari kumtetea mtu yeyote lakini sio mkongo hasa hasa linapokuja swala la ngono.
Wale jamaa walibaka kiukweli sema ndo hivyo tena Katiba inampa nguvu raisi kusamehe kosa lolote.
Ulikuwepo wakati wanabaka au ni majungu tu.
 
Back
Top Bottom