Kesi ya Babu Seya na wanae - Ukweli ni upi haswa?

Kesi ya Babu Seya na wanae - Ukweli ni upi haswa?

Mbona ipo kwenye ilani ya UKAWA mwaka jana? Na sahizi tungekuwa tumepata nchi zaidi Babu Seya tunaye kitaa zamani.
Miaka kama saba iliyopita, Mchungaji mmoja Mtu wa makamu, alinisimulia Mkasa wa "Majambazi" waliokuja nyumbani kwake kutaka kumuua maeneo ya Kinondoni. Lakini Kimiujiza "Majambazi" hawa wakashikwa na Usingizi wakakutwa asubuhi na Majirani, "Kumbe hawakuwa Majambazi" bali wale watu wa kazi ambao Wamarekani wanawaita Pigs na Tanzania tunawaita "Mbwa"

Kisa cha Kutaka Kumtoa Roho Baba wa watu, Ilikuwa Binti mmoja Mrembo aliyekuwa na Uhusiano na Ndugu wa Kuzaliwa wa Mheshimiwa saaaana, aliamua kuachana na Maisha hayo. Na kwa sababu ya Vitisho akahamia kwa Familia ya huyu Mchungaji. Sasa mchungaji huyu akawa anapokea Vitisho kuwa ati yeye ndiye aliyemchukulia huyu Bwana mwanamke wake na akaambiwa ataonyeshwa ya Mtema kuni. Baada ya Vitisho kutosaidia ndio hiyo siku ya tukio wakatumwa hao, "Majambazi"

Sasa Nimesikia Kuwa Issue ya Babu Seya na Kina Mramba na Yona, Ni Visasi vya Kiaina hiyo Je Ni kweli?

Pia Nikasikia Kwa wale waliopendwa wakipatikana na matatizo Basi walikuwa wanakufa Kisanii na maiti zao hewa kuzikwa Kisanii under the smoke screen of secrecy!
 
Kwa huuu upepo wa nchi yang tz kuzungumzia jambo kama hili hadharan uhakikishe acount yako haipumui chin ya bilion 7...
 
Mimi ningekuambia Ukweli je utanilipia Mil 7 na kuninusuru na Cyber crime? Ukiona hadi Lema NA Lissu wameufyata tambua Imbombo ngafu(Kinyakyusa), Midimu{Kisukuma),Migume(Kisumbwa),Amang'ana Makong'u...
 
Sio kila kitu ni lazima kukijua kwa undani! Umeshaambiwa ni chungu so usilazimishe kumeza!
 
Mwaka huu kama si hazina kukusanya milion saba saba basi mahabusu za polisi na magereza yatajaa wafungwa.
 
Kila mtenda maovu must be brought to JUSTICE, either directly or impliedly !

-Kaveli-
 
Nimerudia kusoma zaidi ya mara tatu lakini sijaambulia kitu anyway "koyaga nalyo"
 
Ukipata jibu ni PM na mm nijue ila ngoja niende nasikia TCRA WORKING A HEAD
 
Seya ana kesi ya kulawiti watoto. Ni kesi ngumu na kama alikutwa na hatia acha aendelee kukaa jela. Hatutaki watu wa namna hii kwenye jamii yetu. Kawaambie wazazi wa wale watoto au watoto wenyewe Leo sababu wameshajitambua kama wataelewa hizi porojo zako.

Kwa story za mitaani Tz kila mtu Anatembea na mke/mme wa mtu, kila mtu ni muuza unga na kila mtu ni shoga. Ndiyo story za mitaani, sio za kutilia maanani
 
Seya alikuwa kati ya Watu wanaompinga Rais José Kabila huko kwao ndipo akakimbilia tanzania bila kujua kuwa rais José Kabila amewekwa na hao hao Tz
Kwa hiyo ameruka majivu amekanyaga moto
Hatima yake iko mikononi mwa Serikali ya Congo drc
 
Seya alikuwa kati ya Watu wanaompinga Rais José Kabila huko kwao ndipo akakimbilia tanzania bila kujua kuwa rais José Kabila amewekwa na hao hao Tz
Kwa hiyo ameruka majivu amekanyaga moto
Hatima yake iko mikononi mwa Serikali ya Congo drc
Tchafyaa
 
hii kesi hatma yake ilikuwa nini? na watuhumiwa wako wapi siku hizi?
 
BABU SEYA ALIONEWA WIVU, AKABAMBIKWA KESI YEYE NA WANAWE.

Kwangu mimi kama binadamu ninaye jali utu wa mtu, babu Seya na Mwane Papii kocha waling'aa sana kwenye tasnia ya mziki na wakaanza kuonewa gere, ndipo mbinu chafu zilipo sukwa kiufundi ilikumpoteza kwenye anga na soko la mziki Tanzania. Na ndio maana watoto wengine waliachwa huru wakabaki wawili hasawale wenye nyota ya uimbaji.

Hii michezo ya kuoneana gere na kudhalilisha utu wa mtu tena kizazi chote ni fedheha kwa Taifa, ndio maana huwa na sema kesi nyingi ni za kupachika na hasa zinatengenezwa ili kuua vipaji vya watu. Wasanii wanajua mchezo wote ila hawawezi kuuusema ukweli maana wanaogopa na wamegawanyika makundi mawili. Wengine ooh alitembea na demu wa kigogo, wenye ukweli wako kimya.

Tangu lini kukawa na kesi ya kulawiti tena watoto wenyewe wanashindwa hata kueleza ukweli, waliona hiyo ndio njia ya kumuangusha Nguza vicking. Leo imekuwa tabia mtu akiibuka na kung'aa kwenye tasnia yoyote ana bambikwa kesi ya kubaka au kulawiti au jambazi au Gaidi ili mradi kumuangushia gemu lake ambalo Mungu ana mwinua...Basi nikaamuka kutoka ndotoni, tafazali anayweza kutafsiri hii ndoto anisaidie kukoment.
 
  • Thanks
Reactions: ovi
Subiri watoto wako siku moja wakilawitiwa (God forbid). Nakuhakikishia utaota ndoto tofauti na hii.
 
BABU SEYA ALIONEWA WIVU, AKABAMBIKWA KESI YEYE NA WANAWE.

Kwangu mimi kama binadamu ninaye jali utu wa mtu, babu Seya na Mwane Papii kocha waling'aa sana kwenye tasnia ya mziki na wakaanza kuonewa gere, ndipo mbinu chafu zilipo sukwa kiufundi ilikumpoteza kwenye anga na soko la mziki Tanzania. Na ndio maana watoto wengine waliachwa huru wakabaki wawili hasawale wenye nyota ya uimbaji.

Hii michezo ya kuoneana gere na kudhalilisha utu wa mtu tena kizazi chote ni fedheha kwa Taifa, ndio maana huwa na sema kesi nyingi ni za kupachika na hasa zinatengenezwa ili kuua vipaji vya watu. Wasanii wanajua mchezo wote ila hawawezi kuuusema ukweli maana wanaogopa na wamegawanyika makundi mawili. Wengine ooh alitembea na demu wa kigogo, wenye ukweli wako kimya.

Tangu lini kukawa na kesi ya kulawiti tena watoto wenyewe wanashindwa hata kueleza ukweli, waliona hiyo ndio njia ya kumuangusha Nguza vicking. Leo imekuwa tabia mtu akiibuka na kung'aa kwenye tasnia yoyote ana bambikwa kesi ya kubaka au kulawiti au jambazi au Gaidi ili mradi kumuangushia gemu lake ambalo Mungu ana mwinua...Basi nikaamuka kutoka ndotoni, tafazali anayweza kutafsiri hii ndoto anisaidie kukoment.
Hii kweli ni ndoto, Tena ya mchana kweupee ! Zéro ushahidi !
 
Back
Top Bottom