Kesi ya Babu Seya na wanae - Ukweli ni upi haswa?

Kesi ya Babu Seya na wanae - Ukweli ni upi haswa?

Ushahidi wote uliopo ni kwamba ni kweli hao Nguza na wanawe walifanya huo ufirauni. Sijui sababu yao ya kufanya hivyo ilikuwa nini. Wanaharakati wa haki za watoto na za binadamu walishiriki pia kwenye hiyo kesi, na kuna mafaili ya kutisha sana. Watoto waliofanyiwa hivyo wapo na walitoa ushahidi, ambao kisheria ili kulinda haki za mtoto aliyelawitiwa na kumkinga dhidi ya unyanyapaa, haipaswi kufanywa hadharani na wala majina yao hayatolewi kwenye vyombo vya habari. Mafaili ya Muhimbili walikopimiwa hao watoto na ripoti za madaktari zipo. Yaani hii ilikuwa soo, hawakuwa na jinsi ya kukwepa.

Na huy si wa kwanza. Miaka ya mwisho ya 1980's alitokea fundi mshona nguo akiitwa Ali Maumba, alikuwa akiwafanyia watoto mchezo huohuo, na alilawiti zaidi ya 100, ila wengine wazazi wao waliwazuia wasijitokeze ili kukwepa aibu kwa familia zao. Ile kesi Maumba alihukumiwa kifungo, lakini alipokata rufaa alishinda kutokana na ushahidi "dhaifu" wa madaktari. Na ile kesi ya Maumba hadi leo inatumika kama reference ya kuwakumbusha madaktari umuhimu wa "ushahidi wa kitaaluma" (expert witness) kuandikwa vizuri. Rafiki zangu wanaharakati wamei-cite mara nyingi sana kwenye papers zao.

Hii ya kina Babu Seya, wanasheria walijaribu sana wakakosa pa kutokea. Na hata wakati wa rufaa, haikuwezekana, akaendelea kubaki hatiani.

Hizo habari za kuwasingizia kina nani sijui ni uvumi tu, kungekuwa na ukweli tungeshapata japo chembe ya ushahidi. Hao mnaowataja wakati huo hawakuwa na mamlaka yoyote dhidi ya mahakama, na hata katika kesi hakuna wakili au yeyote aliyeleta ushahidi wa kuwahusisha. Kama ni rushwa, sijui ni rushwa gani watu wangetembeza kila mahali kuanzia kwa watoto wa shule ya msingi, walimu wao, wenyeviti wa serikali za mitaa, askari polisi kwenye posts hadi kwa waendesha mashtaka, wanaharakati wa haki za watoto, mawakili, wafanyakazi wa idara za hospitali (wauguzi, watu wa records, maabara,madaktari, ili ati wote wafoji habari zinazoendana), hakimu mkazi kisutu, majaji wa mahakama kuu, majaji waheshimiwa sana wa mahakama ya rufaa, woote hao utawahonga vipi? Kazi ya ku-organize na ku-stage plot kama hii ni kubwa na haiwezi kuwa siri, lazima ziwepo flaws, hata kama ni fiction unatunga wasomaji wataona tu uongo ulipo!

Kwa hiyo sioni cha kujadili kuhusu Babu Seya na wanawe, alipata haki yake ya fair trial, akawa convicted, na sheria ikachukua mkondo wake. Akatumia pia haki yake ya appeal, nako hatukusikia malalamiko ya unfair trial, akabakia guilty as charged. Basi.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]umejitahid sana kuandika lakin nmeona upo usingizini pale uliposema hiyo rushwa gani ilotumika kuwahonga watu wote ulowataja, hujajua nguvu ya serikali bado ndo maana umeyasema hayo uloyasema. Sasa kwa taarifa yako nguvu ya serikali ni mara 100 zaid ya hivo virushwa ulivovitaja taja
 
Ushahidi wote uliopo ni kwamba ni kweli hao Nguza na wanawe walifanya huo ufirauni. Sijui sababu yao ya kufanya hivyo ilikuwa nini. Wanaharakati wa haki za watoto na za binadamu walishiriki pia kwenye hiyo kesi, na kuna mafaili ya kutisha sana. Watoto waliofanyiwa hivyo wapo na walitoa ushahidi, ambao kisheria ili kulinda haki za mtoto aliyelawitiwa na kumkinga dhidi ya unyanyapaa, haipaswi kufanywa hadharani na wala majina yao hayatolewi kwenye vyombo vya habari. Mafaili ya Muhimbili walikopimiwa hao watoto na ripoti za madaktari zipo. Yaani hii ilikuwa soo, hawakuwa na jinsi ya kukwepa.

Na huy si wa kwanza. Miaka ya mwisho ya 1980's alitokea fundi mshona nguo akiitwa Ali Maumba, alikuwa akiwafanyia watoto mchezo huohuo, na alilawiti zaidi ya 100, ila wengine wazazi wao waliwazuia wasijitokeze ili kukwepa aibu kwa familia zao. Ile kesi Maumba alihukumiwa kifungo, lakini alipokata rufaa alishinda kutokana na ushahidi "dhaifu" wa madaktari. Na ile kesi ya Maumba hadi leo inatumika kama reference ya kuwakumbusha madaktari umuhimu wa "ushahidi wa kitaaluma" (expert witness) kuandikwa vizuri. Rafiki zangu wanaharakati wamei-cite mara nyingi sana kwenye papers zao.

Hii ya kina Babu Seya, wanasheria walijaribu sana wakakosa pa kutokea. Na hata wakati wa rufaa, haikuwezekana, akaendelea kubaki hatiani.

Hizo habari za kuwasingizia kina nani sijui ni uvumi tu, kungekuwa na ukweli tungeshapata japo chembe ya ushahidi. Hao mnaowataja wakati huo hawakuwa na mamlaka yoyote dhidi ya mahakama, na hata katika kesi hakuna wakili au yeyote aliyeleta ushahidi wa kuwahusisha. Kama ni rushwa, sijui ni rushwa gani watu wangetembeza kila mahali kuanzia kwa watoto wa shule ya msingi, walimu wao, wenyeviti wa serikali za mitaa, askari polisi kwenye posts hadi kwa waendesha mashtaka, wanaharakati wa haki za watoto, mawakili, wafanyakazi wa idara za hospitali (wauguzi, watu wa records, maabara,madaktari, ili ati wote wafoji habari zinazoendana), hakimu mkazi kisutu, majaji wa mahakama kuu, majaji waheshimiwa sana wa mahakama ya rufaa, woote hao utawahonga vipi? Kazi ya ku-organize na ku-stage plot kama hii ni kubwa na haiwezi kuwa siri, lazima ziwepo flaws, hata kama ni fiction unatunga wasomaji wataona tu uongo ulipo!

Kwa hiyo sioni cha kujadili kuhusu Babu Seya na wanawe, alipata haki yake ya fair trial, akawa convicted, na sheria ikachukua mkondo wake. Akatumia pia haki yake ya appeal, nako hatukusikia malalamiko ya unfair trial, akabakia guilty as charged. Basi.

Asante mkuu,
Na akija Rais mwingine atamrudishia kifungo chake.
 
Picha linaanza
...video za waafrika wakilawiti watoto zinaonekana marekani...
Linaendelea..
.....video inaonesha wanaongea kiswahili...
.....balozi za nchi za afrika mashariki zinaulizwa kama zitatambua rafudhi ya lugha inayoongea inatokea nchi gani...
.....inagundulika video hizo ni kutoka Tanzania....
.....wasanii nguza vick na familia yake wanahusishwa...
Picha linaendelea...
Utata wa kesi mahakamani
.....polisi wasema wamewahoji watoto ushahidi haujitoshelezi kuwafungulia kesi
......mara ushahid wa video kuoneshwa mahakamani
......mahakama kuchagua watu mahalumu kuitizama video ya ulawiti..waandishi wa habari kuzuiliwa..
......Babu seya kufungwa maisha

CHAKUSHANGAZA
Walisema video ilikutwa marekani inasambaa babu seya akifanya yake, chakushangaza mpaka leo hakuna mtanzania hata mmoja aliyewahi kusema ameiona hiyo video ya uchafu
Video ilipotea kama ndege ya malaysia....
THE END
 
Katika mambo ambayo nina mpango wa kuyafanya in 2008 ni kuwatembelea hawa mabwana huko gerezani walipo na nitajitahidi kadri ya uwezo wangu kuujua upande wao wa hii story na kuwaletea hapa. Kwa mazingira yetu ya bongo yalivyo,kama agizo limetoka juu, najua kila kitu kinawezekana coz kila mtu anataka kulinda kitumbua chake.
Ulipowatembelea ulipata ukweli wa matendo yake??
 
Picha linaanza
...video za waafrika wakilawiti watoto zinaonekana marekani...
Linaendelea..
.....video inaonesha wanaongea kiswahili...
.....balozi za nchi za afrika mashariki zinaulizwa kama zitatambua rafudhi ya lugha inayoongea inatokea nchi gani...
.....inagundulika video hizo ni kutoka Tanzania....
.....wasanii nguza vick na familia yake wanahusishwa...
Picha linaendelea...
Utata wa kesi mahakamani
.....polisi wasema wamewahoji watoto ushahidi haujitoshelezi kuwafungulia kesi
......mara ushahid wa video kuoneshwa mahakamani
......mahakama kuchagua watu mahalumu kuitizama video ya ulawiti..waandishi wa habari kuzuiliwa..
......Babu seya kufungwa maisha

CHAKUSHANGAZA
Walisema video ilikutwa marekani inasambaa babu seya akifanya yake, chakushangaza mpaka leo hakuna mtanzania hata mmoja aliyewahi kusema ameiona hiyo video ya uchafu
Video ilipotea kama ndege ya malaysia....
THE END
Ongeza: akisaidiwa na mwalimu wa shule hiyo kuwapata wasichana, baadaye mwalimu huyo hajulikani yuko wapi
 
Picha linaanza
...video za waafrika wakilawiti watoto zinaonekana marekani...
Linaendelea..
.....video inaonesha wanaongea kiswahili...
.....balozi za nchi za afrika mashariki zinaulizwa kama zitatambua rafudhi ya lugha inayoongea inatokea nchi gani...
.....inagundulika video hizo ni kutoka Tanzania....
.....wasanii nguza vick na familia yake wanahusishwa...
Picha linaendelea...
Utata wa kesi mahakamani
.....polisi wasema wamewahoji watoto ushahidi haujitoshelezi kuwafungulia kesi
......mara ushahid wa video kuoneshwa mahakamani
......mahakama kuchagua watu mahalumu kuitizama video ya ulawiti..waandishi wa habari kuzuiliwa..
......Babu seya kufungwa maisha

CHAKUSHANGAZA
Walisema video ilikutwa marekani inasambaa babu seya akifanya yake, chakushangaza mpaka leo hakuna mtanzania hata mmoja aliyewahi kusema ameiona hiyo video ya uchafu
Video ilipotea kama ndege ya malaysia....
THE END
duuuu, kumbe walisemaga kuna video tena..?
 
Ongeza: akisaidiwa na mwalimu wa shule hiyo kuwapata wasichana, baadaye mwalimu huyo hajulikani yuko wapi
Hapo kwa mwalimu ndio ilileta shaka. Kama ni kweli vipi mwalimu aachiwe huru. Ila hili jambo hakuna anayejuwa ukweli tunatumia kila mtu uwezo wake wakufikiri. Sio jambo la kawaida mtu na family yake wafanye wote ushenzi huu pamoja ni strange real. Tanzania hii isivyokuwa na siri hata hao watoto wangejulikana leo. Ukweli ngumu kuelewa nyuma ya hili janga. Warudi nyumbani wakae kimya tu isije ikawapa matatizo. Mungu anajuwa yote na wao wenyewe.
 
Mtimti,

Bahati nzuri nilikuwa na maoni kama yako, nikaletewa faili, nakala, nzima ya kesi mpaka hukumu. Pamoja na mengine kweli jamaa waliwabaka wale watoto. Kuna vitu ambavyo wale watoto kama walitengenezwa wangeshindwa kuvijua au kuvikumbuka. Kama kabati ipo wapi etc.

Kasome jalada kaka upate ukweli. Hata hayo mmadai unayoleta hapa ni juu juu sana.
Mambo ya kabati liko wapi siyo ushahidi! Katika mazingira hayo polisi wanaweza kwenda huko sehemu inayotajwa wakasoma ramani kisha kuwafundisha watoto!
Mungu ambariki sana rais wetu kwa kutoa msamaha! Kusamehe ni tabia ya Mungu na Mungu anapenda tusamehe! Na wewe ukisamehewa sameheka! Kama kweli ulitenda usirudie tena!
 
Huenda nisieleweke vyema lakini nitajitahidi maana Mimi sio mwandishi mzuri,Toka sakata lao lianze hatimaye kesi kisha hukumu yapo mengi nimekua nikiyasikia kuhusiana na huyu Mzee Pamoja na Wanaye,Ktk Uchaguzi uliomwingiza madarakani Dr.Magufuli Sote tulimsikia aliyekua Mgombea wa Chadema na Ukawa Mh.Lowasa akiahidi kumtoa Papii kocha binafsi ahadi hii ilinifikirisha sana Ukizingatia kua Lowasa amehudumu Serikalini kwa miaka mingi akihudumu ktk Nafasi mbali mbali mpaka kufikia Uwaziri mkuu kwa Wajuvi wa mambo kauli yake haikua yakubeza,Tatizo moja LA Nchi hii Mtu wa Darasa LA saba na Profesa au Dr.mwenye Phd wote wana uelewa sawa,nikatika kipindi hiki Tuliwasikia makada wengi wachama chetu wakitoa kejeri na matusi yakila aina huku wakijipa kazi yakuhukumu,Leo mwaka mmoja na miezi kadhaa Raisi na mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi ametimiza ahadi ya Lowasa,Raisi ni Taasisi naamini kabla yakufanya uamzi huu ameshauriwa na Washauri wake,Nimalizia kwa kumshauri mtu Ndgu yngu mmoja ambae Magazeti yake yamekua yakiuza Mara kwa Mara kwa habari za huyu mzee angalau aandae matamasha na hela itakayopatikana apewe huyu mzee imsaidie ktk kipindi hiki cha mwanzo,Wafuasi wa vyama vya siasa muwe na akiba ya Maneno naomba kuwasilisha
 
Sina hakika kama issue ya Mzee Nguza Viking na wanae iliwahi kukatwa hapa, by then ilipokuwa hot nilikua sija join JF. Kwanza kabisa lazima niseme kwamba sifagilii kabisa vitendo vichafu vya aina yoyote ile kwa watoto na kama kweli walifanya hayo wanayotuhumiwa kufanya- they deserve to rot in jail.

Wikiend hii nilibahatika kukutana na mtu ambaye alitoa ushahidi kwenye hii kesi (Mwanamuziki na rafiki wa karibu wa Papii) na my feelings kwamba hawa jamaa walikua stitched up zimezidi kukua.Baadhi ya mambo aliyoniambia ni pamoja na kwamba baadhi ya tarehe na saa ambazo Papii anatuhumiwa kushiriki kwenye huo ufirauni- hakuwepo kabisa jijini Dar na hata pale alipokuwepo Dar, alikua yuko jukwaani akifanya kile anachopenda kufanya.Jambo jingine la kushangaza pia ni usiri mkubwa wa jinsi ambavyo kesi hiyo iliendeshwa, na chanzo changu cha habari kinaamini kwamba kwa sababu hii ushahidi mkubwa na wa maana umetiwa kapuni.Hadi leo huyu jamaa anamtembelea Papii gerezani na anasema huwa anagoma kula kwa siku kadhaa na kushinda akilia tu, anatamani afe kuliko kuendelea kuishi na machungu ya uonevu aliofanyiwa yeye pamoja na nduguze.

Nimesikia mengi kuhusu hii kesi- ambalo ni common kwa wengi ni kwamba Mzee Nguza aliingia anga fulani za Waziri mmoja wa serekali ya sasa na waziri huyo aliahidi kumkomesha- yeye pamoja na familia yake.Kuna baadhi wanasema sio Waziri ni Balozi fulani. Kwa jinsi nionavyo mimi, inawezekana labda watoto wakafanya kitu kama hiki peke yao bila baba yao and the vice versa is possible.Lakini kweli inaingia akilini kwa mzee mzima wa kiafrika kufanya huo upuuzi mbele ya wanae huku wakipokezana tena kwa kitoto kidogo?

Rumours zimekua nyingi kwenye hii kesi - kuna yeyote anayeujua ukweli wa hii kesi? I understand kwamba hawa jamaa walikata rufaa na ikatupwa, is there any other way anyone can help them?

=====
Kuhusu hukumu, soma Babu Seya, Papii Kocha wafungwa maisha

UPDATE:

Hatimaye waachiliwa kwa msamaha wa Rais. Habari zaidi soma...

Breaking News: - Mwanamuziki Nguza Viking (Babu Seya) na Mwanaye Johnson Nguza (Papii Kocha), watoka jela kwa msamaha wa Rais Magufuli
Kesi ya watoto huendeshwa faragha.Ila kama unataka kujua ushahidi ulikuwaje,nenda mahakamani upate mwenendo mzima pamoja na nakala ya hukumu.
 
Mwaka 2015 Lowassa alivyosema angemtoa Babu Seya gerezani kwa kufuata sheria, vijana wa Lumumba WALIMSHAMBULIA sana.

Mwaka 2017 Mh Rais Magufuli amemtoa Babu Seya gerezani nimeona baadhi ya vijana wa Lumumba wameanza KUSHANGILIA.

Pale Kisutu kuna mtoto mmoja wakati anatoa ushahidi akaambiwa akamuonyeshe kwa kumshika babu Seya akaenda akamshika wakili Tena akafanywa hivyo 3 times! Kesi ilikuwa magumashi na Rais katumia mamlaka kuwaachia ! Ambaye hataki akiwemo Zitto akate rufaa! Hatutaki makelele hapa

Kuna vitu nawaza Kijinga! Hivi ni kweli hawa walioachiwa walistahili msamaha huu? Na kama ni kweli walitenda (makosa)Leo hii wazazi wa watoto wale wanajisikiaje! Na vipi kwa wafungwa wengine waliosingiziwa huku mikoani? Na walishahukumiwa maisha!

Kabisa ninajua na wale mashehe ni wakati sasa wa wao kuwa huru

Kama ningekuwa na uwezo hii kesi ingechunguzwa ili ijulikane kama babu seya alionewa au alistahili kufungwa. Ila ndio hivyo samaki ndani ya maji siku zinaenda

Hii nchi ukitaka kuishi kwa amani basi usiwe na internet na akili timamu.

mr mkiki.
 
Mwaka 2015 Lowassa alivyosema angemtoa Babu Seya gerezani kwa kufuata sheria, vijana wa Lumumba WALIMSHAMBULIA sana.

Mwaka 2017 Mh Rais Magufuli amemtoa Babu Seya gerezani nimeona baadhi ya vijana wa Lumumba wameanza KUSHANGILIA.

Pale Kisutu kuna mtoto mmoja wakati anatoa ushahidi akaambiwa akamuonyeshe kwa kumshika babu Seya akaenda akamshika wakili Tena akafanywa hivyo 3 times! Kesi ilikuwa magumashi na Rais katumia mamlaka kuwaachia ! Ambaye hataki akiwemo Zitto akate rufaa! Hatutaki makelele hapa

Kuna vitu nawaza Kijinga! Hivi ni kweli hawa walioachiwa walistahili msamaha huu? Na kama ni kweli walitenda (makosa)Leo hii wazazi wa watoto wale wanajisikiaje! Na vipi kwa wafungwa wengine waliosingiziwa huku mikoani? Na walishahukumiwa maisha!

Kabisa ninajua na wale mashehe ni wakati sasa wa wao kuwa huru

Kama ningekuwa na uwezo hii kesi ingechunguzwa ili ijulikane kama babu seya alionewa au alistahili kufungwa. Ila ndio hivyo samaki ndani ya maji siku zinaenda

Hii nchi ukitaka kuishi kwa amani basi usiwe na internet na akili timamu.

mr mkiki.
CASE CLOSED ndugu!
Rais kwa mamlaka aliyopewa kikatiba, kawasamehe!!
Maskini Augustine Mrema hapati credit yoyote ktk hili wakati paroles zote zinaanzishwa nae na kupendekeza kwa rais.
 
Back
Top Bottom