Kutokana na huyu mzee maarufu kwenye fani ya muziki kulamba kimada cha mkuu wa kaya, alibambikiziwa kesi ya kubaka na wanaye na matokeo yake kutupwa gerezani. Krismasi ya leo yupo rumande ilhali wakwere wamejazana ikulu wakicheza ngoma. Tunaomba mzee wa watu aachiliwe huru. Hauwezi kumnyima mtu haki yake ya msingi ya kuishi kutokana na tamaa yamwanamke. Tyari unao wanawake kibao na pia kuwazalisha maelfu, sasa kwa nini umuharibie mtu maisha yake?
Fikiria wewe kwenda lupango na Riz1, Miraji, khalfani na wakwere wote utajisikiaje?