mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Serikali inatumia pesa nyingi kusomesha watanzania ila wasomi wenyewe wanashindwa kutumia elimu yao.
Mimi darasa la saba B nilisoma shule ya Msingi Miburani pamoja na Mzee Magoma kuna kitu nimebaini kuhusu mashitaka walioshitakiwa nayo watuhumiwa maafande wa. Ubakaji.
Kwenye mashitaka waliyoshitakiwa nayo hakuna kosa la kurekodi maudhui yasiyofaa wala kosa la kusambaza picha chafu kinyume na sheria ya makosa ya mtandaoni, kifungu gani na sheria yamwaka gani
Pascal Mayalla atadadavua.
Kama wasingejirekodi na kusambaza hakuna ambaye angejua kuwa huyo binti alifanyiwa ukatili,maana huko mitaani matukio ya ulawiti yapo sana iwe kwa kubakwa au kwa hiari kinachokosekana ni ushahidi tu.
Msingi wa kesi hii upo hapo kwenye kurekodi na kusambaza maudhui yasiyofaa.lakini cha kushangaza watuhumiwa wameshitakiwa kwa makosa mawili tu,ubakaji na ulawiti,
Kesi imeshakosa nguvu, Charge sheet isipobadilishwa haki haitaonekana kutendeka,nina hofu simu ikiyorekodi na kusanbaza ni ya untouchable,
Huwezi kuprove kuwa binti alilawitiwa kwa tukio la miezi mitatu nyuma,
Ushahidi wa picha hauoneshi kuwa alikuwa akilawitiwa au kunajisiwa kwa njia ya kawaida , kosa la ulawiti hata bush lawyer analipangua,
La ubakaji hata mimi nalipangua,binti hakuripoti polisi,watasena ilikuwa biashara
Bila charge sheet kuongezewa mashitaka,bila Shangaxi afande kuunganishwa ba watuhumiwa Kwangu hiyo ni kama movie ya ngono tu, Porn stars😇 hakuna kesi hapo
Mwisho wa siku .....ngoja tuone
Mimi darasa la saba B nilisoma shule ya Msingi Miburani pamoja na Mzee Magoma kuna kitu nimebaini kuhusu mashitaka walioshitakiwa nayo watuhumiwa maafande wa. Ubakaji.
Kwenye mashitaka waliyoshitakiwa nayo hakuna kosa la kurekodi maudhui yasiyofaa wala kosa la kusambaza picha chafu kinyume na sheria ya makosa ya mtandaoni, kifungu gani na sheria yamwaka gani
Pascal Mayalla atadadavua.
Kama wasingejirekodi na kusambaza hakuna ambaye angejua kuwa huyo binti alifanyiwa ukatili,maana huko mitaani matukio ya ulawiti yapo sana iwe kwa kubakwa au kwa hiari kinachokosekana ni ushahidi tu.
Msingi wa kesi hii upo hapo kwenye kurekodi na kusambaza maudhui yasiyofaa.lakini cha kushangaza watuhumiwa wameshitakiwa kwa makosa mawili tu,ubakaji na ulawiti,
Kesi imeshakosa nguvu, Charge sheet isipobadilishwa haki haitaonekana kutendeka,nina hofu simu ikiyorekodi na kusanbaza ni ya untouchable,
Huwezi kuprove kuwa binti alilawitiwa kwa tukio la miezi mitatu nyuma,
Ushahidi wa picha hauoneshi kuwa alikuwa akilawitiwa au kunajisiwa kwa njia ya kawaida , kosa la ulawiti hata bush lawyer analipangua,
La ubakaji hata mimi nalipangua,binti hakuripoti polisi,watasena ilikuwa biashara
Bila charge sheet kuongezewa mashitaka,bila Shangaxi afande kuunganishwa ba watuhumiwa Kwangu hiyo ni kama movie ya ngono tu, Porn stars😇 hakuna kesi hapo
Mwisho wa siku .....ngoja tuone