Ambivert88
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 3,609
- 6,388
Hili libibi ni Chakula ya wakubwa nini huko Polisi mboni linaogopeka sana nini shida?Mrs Untouchable
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili libibi ni Chakula ya wakubwa nini huko Polisi mboni linaogopeka sana nini shida?Mrs Untouchable
Sidhani kama wasomi wetu hawalijui hilo , inawezekana imefanyika makusudiWasomi wa nchi yetu Bure kabisa. Tukiwakuta mbinguni itabidi tushangae sana
Sasa si wote watafungwa 🤔Hata kama alitaka...
Tuendelee.Ongezea na
5. Ngono ya makundi (gang rape)
6 kula njama za kutenda kosa
7 shambulio la mwili (walimtishia kwa chupa)
8. utekaji wa binadamu
ila
utasikia DPP hana nia ya kuendelea na kesi
MimiUnanitega bosi niseme ndio uniunganishe kwenye chain ya wasambazaji wa maudhui yasiyofaa?VIdeo imesambaa dunia nzima hakuna mtu hajaiona
Hapo kwa akili ya kawaida hakutaka..sema nimesema tuu kama ingetokea..Sasa si wote watafungwa 🤔
Kwa hio Jamaa hawana kesi basi wawaachie tutamalizana nao mtaani mbinu yetu ni Ile Ile tu kuitia Mwizi anapigwa beto mpaka ije kugundulika sio Mwizi baadae sana Polisi waachieni hao Jamaa huku kuna kitu tunaita 'Mob Justice' tutamalizana nao Wananchi nyinyi si mmeshindwa hata Wezi mkiwaweka mahabusu mkiwaachia wakija kuiba tena tunawanyoosha halafu mnakuja kutoa maelezo huyu alikua mahabusu wa gereza fulani alipoachiwa akaja tena kuiba Wananchi wakapita nae sasa hao wajomba waachieni Sisi tumalizane nao huku mtaaniKuprove kuwa alilawitiwa sio rahisi,mtu kuinamishwa dog style haina maana umelawitiwa,
Kwenye suala la usambazaji anayetafutwa huwa ni original source. Inawezekana simu iliyotekodi na kusambaza video ni ya "afande" asiyekamatika. Hii nchi ina mijitu ya ajabu sana.Unanitega bosi niseme ndio uniunganishe kwenye chain ya wasambazaji wa maudhui yasiyofaa?VIdeo imesambaa dunia nzima hakuna mtu hajaiona
Ndio nauliza hilo libibi ni Chakula cha Polisi nzima au namna gani? Maana linaogopeka sio kawaidaKwenye suala la usambazaji anayetafutwa huwa ni original source. Inawezekana simu iliyotekodi na kusambaza video ni ya "afande" asiyekamatika. Hii nchi ina mijitu ya ajabu sana.
Si nshatoa sababu, kusema tukio lilitokea may.....huo wimbo waliokua wanaplay, may ulikua bado haujatoka.Kwanini?
Kumnyima mtu majiOngezea na
5. Ngono ya makundi (gang rape)
6 kula njama za kutenda kosa
7 shambulio la mwili (walimtishia kwa chupa)
8. utekaji wa binadamu
ila
utasikia DPP hana nia ya kuendelea na kesi
Kwa KESI hii..mpaka iishe,tutakuwa tumejua maujanja ya kutosha.Tukio limetokea miezi minne nyuma kuthibitisha kuwa aliingiliwa kinyume na maumbile ni ngumu sana,inatakiwa ukitoka kulawitiwa breki ya kwanza police na hospitali
kuthibitisha,kesi ndogo sana hii
John sins upo vizuri kwenye maji hapo 😁😁😁Kumnyima mtu maji
Wawaachie tutamalizana nao kwani tabu yote ya nini wao si wanasema hawana makosa wawaachie mtaa utamalizana nao mmoja baada ya mwingine kikubwa si wanajulikanaKwa KESI hii..mpaka iishe,tutakuwa tumejua maujanja ya kutosha.
61 people44 people are here
Active
Na Jaivah naye ana kesi ya kujibu, nyimbo yake imetumika kuhamasisha ubakaji 😹Pale kuna kosa kama 4
Ubakaji
Ulawiti
Kusambaza picha zenye maudhui yasioyofaa
Matumizi ya madawa ya kulevya
Wataalam wq masuala ya kijamii wana kitu kinaitwa "Crimes in the name of honour"
Ni ujanja wa kijinga sana ule.. wanajuta sahiv mana maisha hapo yanaharibika kwa namna nyingi tuBange zikipungua pungua kichwani siku moja watakuja ku regret huo ujinga..