Ambivert88
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 3,609
- 6,388
Yaan Wewe nawe umekaa unaangalia ule usenge kweli Dunia imeishaNa Jaivah naye ana kesi ya kujibu, nyimbo yake imetumika kuhamasisha ubakaji 😹
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaan Wewe nawe umekaa unaangalia ule usenge kweli Dunia imeishaNa Jaivah naye ana kesi ya kujibu, nyimbo yake imetumika kuhamasisha ubakaji 😹
Ohoooo!61 people
Si wameonekanaTukio limetokea miezi minne nyuma kuthibitisha kuwa aliingiliwa kinyume na maumbile ni ngumu sana,inatakiwa ukitoka kulawitiwa breki ya kwanza police na hospitali
kuthibitisha,kesi ndogo sana hii
Sio kuharibika tu kuna njemba zipo mtaani zinasubiria waachie halafu ziikosoe Serikali kua haikua sahihi hawa adhabu yao ilibidi iwe HII na sio vinginevyo sasa wawaachie waone kitakachowakutaNi ujanja wa kijinga sana ule.. wanajuta sahiv mana maisha hapo yanaharibika kwa namna nyingi tu
Sijaona nimesimuliwa mkuu, hata vidéo nilitumiwa sijaifungua kabisa na mchanga nalamba 😹Yaan Wewe nawe umekaa unaangalia ule usenge kweli Dunia imeisha
Wawe huru tu.wananchi tupo tunawasubiri.Hii case iko ktk [emoji821] ya huko huko kwenye system, zitapigwa Dana Dana hadi itaishaa na watuhumiwa watakua huru uraiani. Lol
Wewe unavyopenda Namba za kirumi usiwe umeangalia nakataaSijaona nimesimuliwa mkuu, hata vidéo nilitumiwa sijaifungua kabisa na mchanga nalamba 😹
Halafu eti serikali sikivu.Serikali inatumia pesa nyingi kusomesha watanzania ila wasomi wenyewe wanashindwa kutumia elimu yao.
Mimi darasa la saba B nilisoma shule ya Msingi Miburani pamoja na Mzee Magoma kuna kitu nimebaini kuhusu mashitaka walioshitakiwa nayo watuhumiwa maafande wa. Ubakaji.
Kwenye mashitaka waliyoshitakiwa nayo hakuna kosa la kurekodi maudhui yasiyofaa wala kosa la kusambaza picha chafu kinyume na sheria ya makosa ya mtandaoni,kifungu gani na sheria yamwaka gani
Pascal Mayalla atadadavua.
Kama wasingejirekodi na kusambaza hakuna ambaye angejua kuwa huyo binti alifanyiwa ukatili,maana huko mitaani matukio ya ulawiti yapo sana iwe kwa kubakwa au kwa hiari kinachokosekana ni ushahidi tu.
Msingi wa kesi hii upo hapo kwenye kurekodi na kusambaza maudhui yasiyofaa.lakini cha kushangaza watuhumiwa wameshitakiwa kwa makosa mawili tu,ubakaji na ulawiti,
Kesi imeshakosa nguvu,Charge sheet isipobadilishwa haki haitaonekana kutendeka,nina hofu simu ikiyorekodi na kusanbaza ni ya untouchable,
Huwezi kuprove kuwa binti alilawitiwa kwa tukio la miezi mitatu nyuma,
Ushahidi wa picha hauoneshi kuwa alikuwa akilawitiwa au kunajisiwa kwa njia ya kawaida , kosa la ulawiti hata bush lawyer analipangua,
La ubakaji hata mimi nalipangua,binti hakuripoti polisi,watasena ilikuwa biashara
Mwisho wa siku .....ngoja tuone
Yote hayo ni makosa,gang rapePWameinekana wanampiga doggy style sasa hatujui kana ilikuwa wabamlawiti au wanamnajisi,kuna tofauti hapo,kunajisi mtu mxima sio kosa kisheria labda kana umembaka
Ndio Serikali sikivu itawaachia Wananchi wamalizane nao hao manyang'au kwa mbinu ya 'Mob Justice' km wao walivyofanya 'Mob Justice' kwa yule BintiHalafu eti serikali sikivu.
Kaonekana analazimishwa aombe msamaha kwa afande ,kaonekana akitukanwa matusi huku akitoshiwa kipigwa chupa ,sidhani kama kuna amelewano hayoIkionekana ilikuwa ni makubaliano case closed,maana kunajisi sio kosa
Binti naye atakuwanajesi yakujibu,hii kesi ni tamu sana itajenga orecedent fulani sema inafanyikachamber badala ya open court
Mhmm! Kwa tukio lile watu wengine wakasimamisha kabisa?Wawe huru tu.wananchi tupo tunawasubiri.
Ile clip ilikera watu engine sana hata kwa
Wale waliyoiona then wakadinda....
Bila huyo afande kukamatwa na kuunganishwa na watuhumiwa hamna kesi hapo,ni kama movie ya ngono tu za mitandaoniKaonekana analazimishwa aombe msamaha kwa afande ,kaonekana akitukanwa matusi huku akitoshiwa kipigwa chupa ,sidhani kama kuna amelewano hayo
Wapoo!Mhmm! Kwa tukio lile watu wengine wakasimamisha kabisa?
Basi kuna viumbe wa ajabu sana.!!
Si nshatoa sababu, kusema tukio lilitokea may.....huo wimbo waliokua wanaplay, may ulikua bado haujatoka.
Basi watakuwa na changamoto ya afya ya akiliWapoo!
Yote hayo ni makosa,gang rape
Po vizuri. Amini hivyoBasi watakuwa na changamoto ya afya ya akili