Kesi ya Binti wa Yombo: Hati ya mashitaka imekosewa makusudi kuwaokoa watuhumiwa wa ubakaji?

Kesi ya Binti wa Yombo: Hati ya mashitaka imekosewa makusudi kuwaokoa watuhumiwa wa ubakaji?

Unanitega bosi niseme ndio uniunganishe kwenye chain ya wasambazaji wa maudhui yasiyofaa?VIdeo imesambaa dunia nzima hakuna mtu hajaiona
Sasa kama umesema hakuna kosa la kusambaza maudhui yasiyofaa mtandaoni unaogopa nini mkuu?

Kasome sheria ya Cyber crime Act na regulations zake utagundua ulichoandika ni upupu.
 
Sasa kama umesema hakuna kosa la kusambaza maudhui yasiyofaa mtandaoni unaogopa nini mkuu?

Kasome sheria ya Cyber crime Act na regulations zake utagundua ulichoandika ni upupu.
Charge sheet inaruhusiwa kurekebishwa na kesi haijaisha bado iko mahakamani,think big broo
 
WanaJF, huu mdahalo aisee nauvutia taswira kana kwamba ndio tupo Mahakamani sasa Wakili kanuna halafu mvutano baina ya pande mbili
 
Wawe huru tu.wananchi tupo tunawasubiri.
Ile clip ilikera watu engine sana hata kwa
Wale waliyoiona then wakadinda....
Kumbe dunia hii wewe hauijui!

Unadhani wote wale waliopaza sauti zao kulaani ni watu wema!

Mtu mwingine jaziba zake zinatokana na namna picha lilivyochezwa na hao vibaka, roho inauma kutokana na kujiona kuwa yeye ni dhalili kwa mambo hayo, alishafanya sana umafia lakini si kwa 'ubora' uliofanywa na hao wahuni wenzake.

Kwenye makosa ya wizi ama uzinzi, utasikia jitu linauliza: ... 'kwani alifanya mara ngapi'... Jibu hapo halileti releaf bali ni kuongeza hasira.
Maana kikitajwa kiwango cha juu ambacho yeye hajawahi kukifikia, mama yangu anaua mtu kwa ghadhabu.

Ndiyo maana utakuta mwizi anaua na kuchoma moto mwizi.

Mzinifu anamchukia mgoni na akikamata anaua.

Hakimu mpenda rushwa anamfunga mpokea rushwa nk nk.

Mhalifu yeyote huumia sana kuona aina ya uhalifu ambao huutenda yeye sirini, kumbe kuna wenzake huutenda kwa kumzidi sana yeye kwa viwango.

Ndiyo maana sasa kwa issue hii, vibaka wote Tz nzima wamekasirika na kuungana na Jamhuri kulaani.
 
Ni ujanja wa kijinga sana ule.. wanajuta sahiv mana maisha hapo yanaharibika kwa namna nyingi tu
Ulevi huleta uzembe na kujisahau kwa baadhi ya watu mixer kupuuza Mambo ya msingi wengine HAWAJAWAI ku husler kabisa ndio wanajisahaugi kabisa.

Alaf afande mzima anafanya Mambo ya kitoto (yaan anatafuta wapuuzi wa tano wasio jielewa wajirecord upuuzi then wajiletee matatizo)
 
Serikali inatumia pesa nyingi kusomesha watanzania ila wasomi wenyewe wanashindwa kutumia elimu yao.

Mimi darasa la saba B nilisoma shule ya Msingi Miburani pamoja na Mzee Magoma kuna kitu nimebaini kuhusu mashitaka walioshitakiwa nayo watuhumiwa maafande wa. Ubakaji.

Kwenye mashitaka waliyoshitakiwa nayo hakuna kosa la kurekodi maudhui yasiyofaa wala kosa la kusambaza picha chafu kinyume na sheria ya makosa ya mtandaoni,kifungu gani na sheria yamwaka gani
Pascal Mayalla atadadavua.

Kama wasingejirekodi na kusambaza hakuna ambaye angejua kuwa huyo binti alifanyiwa ukatili,maana huko mitaani matukio ya ulawiti yapo sana iwe kwa kubakwa au kwa hiari kinachokosekana ni ushahidi tu.

Msingi wa kesi hii upo hapo kwenye kurekodi na kusambaza maudhui yasiyofaa.lakini cha kushangaza watuhumiwa wameshitakiwa kwa makosa mawili tu,ubakaji na ulawiti,

Kesi imeshakosa nguvu,Charge sheet isipobadilishwa haki haitaonekana kutendeka,nina hofu simu ikiyorekodi na kusanbaza ni ya untouchable,

Huwezi kuprove kuwa binti alilawitiwa kwa tukio la miezi mitatu nyuma,
Ushahidi wa picha hauoneshi kuwa alikuwa akilawitiwa au kunajisiwa kwa njia ya kawaida , kosa la ulawiti hata bush lawyer analipangua,
La ubakaji hata mimi nalipangua,binti hakuripoti polisi,watasena ilikuwa biashara

Bila charge sheet kuongezewa mashitaka,bila Shangaxi afande kuunganishwa ba watuhumiwa Kwangu hiyo ni kama movie ya ngono tu,.....Porn stars😇 hakuna kesi hapo

Mwisho wa siku .....ngoja tuone

Ongezea kosa la kula njama kufanya uhalifu.
 
Back
Top Bottom