Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio mm mkuu niliwh kusikia mtaalam kwa sheria kayachambua haya. Na kosa dogo hapo lina miaka 7 jela ambalo ni madawa ya kulevya madogo madogo kama bange
Kwenye madawa ya kulevya utathibitisha vipi? Lazima kuwepo na kizibiti halafu ithibitishwe na Ofisi ya mkemia mkuu wa Serikali kua ni madawa ya kulevya na ni aina gani.Pale kuna kosa kama 4
Ubakaji
Ulawiti
Kusambaza picha zenye maudhui yasioyofaa
Matumizi ya madawa ya kulevya
Wataalam wq masuala ya kijamii wana kitu kinaitwa "Crimes in the name of honour"
Mbona mimi sijapata? Mmekuwa wachoyo sanaUnanitega bosi niseme ndio uniunganishe kwenye chain ya wasambazaji wa maudhui yasiyofaa?VIdeo imesambaa dunia nzima hakuna mtu hajaiona
Kuna mama mwingine nimemuona EATV analaumu Mahakama kumuachia mtuhumiwa wa ubakaji.Tukio limetokea miezi minne nyuma kuthibitisha kuwa aliingiliwa kinyume na maumbile ni ngumu sana,inatakiwa ukitoka kulawitiwa breki ya kwanza police na hospitali
kuthibitisha,kesi ndogo sana hii
Mwamba Angu Dkt. Gwajima D anajua hili lakini? Wale wamefanya uhalifu kwa madai ya kumuheshimisha afande wao. Ile ni crimes in the name of honour.
Uwage serious na wewe☺️Huo muda wa tukio kutokea may, hiyo may wimbo wa Jaiva ulikua umetoka kwani?? Kama ulikua bado basi sio tukio la may.
Kwani unafikiri mpaka sasa hivi hawajachukua sampuli kupeleka kwa mkemia?Kwenye madawa ya kulevya utathibitisha vipi? Lazima kuwepo na kizibiti halafu ithibitishwe na Ofisi ya mkemia mkuu wa Serikali kua ni madawa ya kulevya na ni aina gani.
Nipo serious sana tu, huo ni mmoja wa ushahidiUwage serious na wewe☺️
Kwanini?Nipo serious sana tu, huo ni mmoja wa ushahidi
Kwa kosa la kuonekana wakimlawiti binti..au kulawiti sio kosa kisheria? Hata kama alitaka...Kwa kosa lipi
Bange zikipungua pungua kichwani siku moja watakuja ku regret huo ujinga..Sio mm mkuu niliwh kusikia mtaalam kwa sheria kayachambua haya. Na kosa dogo hapo lina miaka 7 jela ambalo ni madawa ya kulevya madogo madogo kama bange
Kama alitaka mwenyewe anaweza kuiambia mahakama na kusema watuhumiwa hawatambui mahakama ikatupilia mbali jalada.. just a jokeKwa kosa la kuonekana wakimlawiti binti..au kulawiti sio kosa kisheria? Hata kama alitaka...
Ndio hivyo hizi mbinu watu waelimishwe,Kuna mama mwingine nimemuona EATV analaumu Mahakama kumuachia mtuhumiwa wa ubakaji.
Bila shaka kosa lilifanyika mwanzo baada ya tukio mtoto alienda kuoga, halafu wakaenda polisi, au alienda polisi halafu hawakwenda hospitali.