Kesi ya Binti wa Yombo: Hati ya mashitaka imekosewa makusudi kuwaokoa watuhumiwa wa ubakaji?

Kesi ya Binti wa Yombo: Hati ya mashitaka imekosewa makusudi kuwaokoa watuhumiwa wa ubakaji?

Ilikuaje watu zaidi ya sita wakawa na akili zinazofanana za kufanya mambo Kama hayo
 
Serikali inatumia pesa nyingi kusomesha watanzania ila wasomi wenyewe wanashindwa kutumia elimu yao.

Mimi darasa la saba B nilisoma shule ya Msingi Miburani pamoja na Mzee Magoma kuna kitu nimebaini kuhusu mashitaka walioshitakiwa nayo watuhumiwa maafande wa. Ubakaji.

Kwenye mashitaka waliyoshitakiwa nayo hakuna kosa la kurekodi maudhui yasiyofaa wala kosa la kusambaza picha chafu kinyume na sheria ya makosa ya mtandaoni, kifungu gani na sheria yamwaka gani
Pascal Mayalla atadadavua.

Kama wasingejirekodi na kusambaza hakuna ambaye angejua kuwa huyo binti alifanyiwa ukatili,maana huko mitaani matukio ya ulawiti yapo sana iwe kwa kubakwa au kwa hiari kinachokosekana ni ushahidi tu.

Msingi wa kesi hii upo hapo kwenye kurekodi na kusambaza maudhui yasiyofaa.lakini cha kushangaza watuhumiwa wameshitakiwa kwa makosa mawili tu,ubakaji na ulawiti,

Kesi imeshakosa nguvu, Charge sheet isipobadilishwa haki haitaonekana kutendeka,nina hofu simu ikiyorekodi na kusanbaza ni ya untouchable,

Huwezi kuprove kuwa binti alilawitiwa kwa tukio la miezi mitatu nyuma,
Ushahidi wa picha hauoneshi kuwa alikuwa akilawitiwa au kunajisiwa kwa njia ya kawaida , kosa la ulawiti hata bush lawyer analipangua,
La ubakaji hata mimi nalipangua,binti hakuripoti polisi,watasena ilikuwa biashara

Bila charge sheet kuongezewa mashitaka,bila Shangaxi afande kuunganishwa ba watuhumiwa Kwangu hiyo ni kama movie ya ngono tu, Porn stars😇 hakuna kesi hapo

Mwisho wa siku .....ngoja tuone
Ni kama yule askari wa Zenji alivyokutwa hana hatia. Yeye alisema tu yule mtu kwenye video clip sio yeye. Sasa una prove vipi ni yeye? Maana watu kufanana ni kawaida..
 
Serikali inatumia pesa nyingi kusomesha watanzania ila wasomi wenyewe wanashindwa kutumia elimu yao.

Mimi darasa la saba B nilisoma shule ya Msingi Miburani pamoja na Mzee Magoma kuna kitu nimebaini kuhusu mashitaka walioshitakiwa nayo watuhumiwa maafande wa. Ubakaji.

Kwenye mashitaka waliyoshitakiwa nayo hakuna kosa la kurekodi maudhui yasiyofaa wala kosa la kusambaza picha chafu kinyume na sheria ya makosa ya mtandaoni, kifungu gani na sheria yamwaka gani
Pascal Mayalla atadadavua.

Kama wasingejirekodi na kusambaza hakuna ambaye angejua kuwa huyo binti alifanyiwa ukatili,maana huko mitaani matukio ya ulawiti yapo sana iwe kwa kubakwa au kwa hiari kinachokosekana ni ushahidi tu.

Msingi wa kesi hii upo hapo kwenye kurekodi na kusambaza maudhui yasiyofaa.lakini cha kushangaza watuhumiwa wameshitakiwa kwa makosa mawili tu,ubakaji na ulawiti,

Kesi imeshakosa nguvu, Charge sheet isipobadilishwa haki haitaonekana kutendeka,nina hofu simu ikiyorekodi na kusanbaza ni ya untouchable,

Huwezi kuprove kuwa binti alilawitiwa kwa tukio la miezi mitatu nyuma,
Ushahidi wa picha hauoneshi kuwa alikuwa akilawitiwa au kunajisiwa kwa njia ya kawaida , kosa la ulawiti hata bush lawyer analipangua,
La ubakaji hata mimi nalipangua,binti hakuripoti polisi,watasena ilikuwa biashara

Bila charge sheet kuongezewa mashitaka,bila Shangaxi afande kuunganishwa ba watuhumiwa Kwangu hiyo ni kama movie ya ngono tu, Porn stars😇 hakuna kesi hapo

Mwisho wa siku .....ngoja tuone
kwahiyo rpc yuko sahihi, ili iwe kesi ya ulawiti lazima mtendewa alalamike, na hakuna alipolalamika
 
kwahiyo rpc yuko sahihi, ili iwe kesi ya ulawiti lazima mtendewa alalamike, na hakuna alipolalamika
Yule binti ana miaka haipungui 18 angekuwa underage sawa,binti mzima anashindwa nini kuripoti uhalifu,na yeye ana kesi ya kujibu
 
Wale hawatapatikana na hatia makosa ya ubakaji ama ulawiti.

Atleast wangeshtakiwa kwa kosa la kusambaza video chafu, hapa wangewapata na hatia.
Watuhimiwa watatuka kisiasa mpaka mtashanga wakati wa uchaguzi mambo magumu yafuatayo yanaweza kutokea 1.
1. Kuachiwa na watakatiwa rufaa theni wakamatwe Tena kwa amri ya Mama ili watu wafurahi
2. Kufungwa ili kuleta trust kuaminiwa kwa viongozi ili wachaguliwe Tena .

Kifupi wakati huu mtu akileta mchezo anakwenda na maji maqna uchaguzi ndo huu utafanywa jukwaa la siasana siasa ndo maisha yetu.
 
Serikali inatumia pesa nyingi kusomesha watanzania ila wasomi wenyewe wanashindwa kutumia elimu yao.

Mimi darasa la saba B nilisoma shule ya Msingi Miburani pamoja na Mzee Magoma kuna kitu nimebaini kuhusu mashitaka walioshitakiwa nayo watuhumiwa maafande wa. Ubakaji.

Kwenye mashitaka waliyoshitakiwa nayo hakuna kosa la kurekodi maudhui yasiyofaa wala kosa la kusambaza picha chafu kinyume na sheria ya makosa ya mtandaoni,kifungu gani na sheria yamwaka gani
Pascal Mayalla atadadavua.

Kama wasingejirekodi na kusambaza hakuna ambaye angejua kuwa huyo binti alifanyiwa ukatili,maana huko mitaani matukio ya ulawiti yapo sana iwe kwa kubakwa au kwa hiari kinachokosekana ni ushahidi tu.

Msingi wa kesi hii upo hapo kwenye kurekodi na kusambaza maudhui yasiyofaa.lakini cha kushangaza watuhumiwa wameshitakiwa kwa makosa mawili tu,ubakaji na ulawiti,

Kesi imeshakosa nguvu,Charge sheet isipobadilishwa haki haitaonekana kutendeka,nina hofu simu ikiyorekodi na kusanbaza ni ya untouchable,

Huwezi kuprove kuwa binti alilawitiwa kwa tukio la miezi mitatu nyuma,
Ushahidi wa picha hauoneshi kuwa alikuwa akilawitiwa au kunajisiwa kwa njia ya kawaida , kosa la ulawiti hata bush lawyer analipangua,
La ubakaji hata mimi nalipangua,binti hakuripoti polisi,watasena ilikuwa biashara

Mwisho wa siku .....ngoja tuone
Chawa at wk
 
Mnavyochambua sheria humu utadhani sio Nchi inayohangaika kuwalipa wahuni mabilioni kila kukicha kwenye mikataba ya kutengeneza..
 
Serikali inatumia pesa nyingi kusomesha watanzania ila wasomi wenyewe wanashindwa kutumia elimu yao.

Mimi darasa la saba B nilisoma shule ya Msingi Miburani pamoja na Mzee Magoma kuna kitu nimebaini kuhusu mashitaka walioshitakiwa nayo watuhumiwa maafande wa. Ubakaji.

Kwenye mashitaka waliyoshitakiwa nayo hakuna kosa la kurekodi maudhui yasiyofaa wala kosa la kusambaza picha chafu kinyume na sheria ya makosa ya mtandaoni, kifungu gani na sheria yamwaka gani
Pascal Mayalla atadadavua.

Kama wasingejirekodi na kusambaza hakuna ambaye angejua kuwa huyo binti alifanyiwa ukatili,maana huko mitaani matukio ya ulawiti yapo sana iwe kwa kubakwa au kwa hiari kinachokosekana ni ushahidi tu.

Msingi wa kesi hii upo hapo kwenye kurekodi na kusambaza maudhui yasiyofaa.lakini cha kushangaza watuhumiwa wameshitakiwa kwa makosa mawili tu,ubakaji na ulawiti,

Kesi imeshakosa nguvu, Charge sheet isipobadilishwa haki haitaonekana kutendeka,nina hofu simu ikiyorekodi na kusanbaza ni ya untouchable,

Huwezi kuprove kuwa binti alilawitiwa kwa tukio la miezi mitatu nyuma,
Ushahidi wa picha hauoneshi kuwa alikuwa akilawitiwa au kunajisiwa kwa njia ya kawaida , kosa la ulawiti hata bush lawyer analipangua,
La ubakaji hata mimi nalipangua,binti hakuripoti polisi,watasena ilikuwa biashara

Bila charge sheet kuongezewa mashitaka,bila Shangaxi afande kuunganishwa ba watuhumiwa Kwangu hiyo ni kama movie ya ngono tu, Porn stars😇 hakuna kesi hapo

Mwisho wa siku .....ngoja tuone
Serikali inalinda turufu zake
 
Ongezea na
5. Ngono ya makundi (gang rape)
6 kula njama za kutenda kosa
7 shambulio la mwili (walimtishia kwa chupa)
8. utekaji wa binadamu

ila
utasikia DPP hana nia ya kuendelea na kesi
9.walimnyima maji kabisa.
 
Muuaji anaweza akasema kaua watu 100 lakini mkawa na ushahidi usio na shaka wa mauaji mawili tu.

Hivyo mnastick na mawili pekee.

Tuache kuingilia fani za watu jamani.

Hiyo charge sheet si imesema kubaka? Binti si ni underage? Kisheria underage si kabakwa hata kama umemtongoza?

Videos si zinaonyesha watekelezaji tukio wakisema kwamba wamemlawiti? Na binti baadaye akasema hivyo?

Sijui unaelewa mzee?
 
Hv yule muhuni aliyesema ikifika zamu yake anaanza topeni au jokeri naye kaunganishwa au ndio huyo aliyesahaulika?
 
Back
Top Bottom