Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Shida itakuja kwenye video maana wameonekana alaf victim awakane kuwatambua..Kazi gani ya ziada akisema hawatambui hapo hapo wanaachiwa huru.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida itakuja kwenye video maana wameonekana alaf victim awakane kuwatambua..Kazi gani ya ziada akisema hawatambui hapo hapo wanaachiwa huru.
Mlalamikaji ndo shahidi wa mwisho hata kama wameonekana akisema hawatambui mahakama inawaachiaShida itakuja kwenye video maana wameonekana alaf victim awakane kuwatambua..
Ni kama yule askari wa Zenji alivyokutwa hana hatia. Yeye alisema tu yule mtu kwenye video clip sio yeye. Sasa una prove vipi ni yeye? Maana watu kufanana ni kawaida..Serikali inatumia pesa nyingi kusomesha watanzania ila wasomi wenyewe wanashindwa kutumia elimu yao.
Mimi darasa la saba B nilisoma shule ya Msingi Miburani pamoja na Mzee Magoma kuna kitu nimebaini kuhusu mashitaka walioshitakiwa nayo watuhumiwa maafande wa. Ubakaji.
Kwenye mashitaka waliyoshitakiwa nayo hakuna kosa la kurekodi maudhui yasiyofaa wala kosa la kusambaza picha chafu kinyume na sheria ya makosa ya mtandaoni, kifungu gani na sheria yamwaka gani
Pascal Mayalla atadadavua.
Kama wasingejirekodi na kusambaza hakuna ambaye angejua kuwa huyo binti alifanyiwa ukatili,maana huko mitaani matukio ya ulawiti yapo sana iwe kwa kubakwa au kwa hiari kinachokosekana ni ushahidi tu.
Msingi wa kesi hii upo hapo kwenye kurekodi na kusambaza maudhui yasiyofaa.lakini cha kushangaza watuhumiwa wameshitakiwa kwa makosa mawili tu,ubakaji na ulawiti,
Kesi imeshakosa nguvu, Charge sheet isipobadilishwa haki haitaonekana kutendeka,nina hofu simu ikiyorekodi na kusanbaza ni ya untouchable,
Huwezi kuprove kuwa binti alilawitiwa kwa tukio la miezi mitatu nyuma,
Ushahidi wa picha hauoneshi kuwa alikuwa akilawitiwa au kunajisiwa kwa njia ya kawaida , kosa la ulawiti hata bush lawyer analipangua,
La ubakaji hata mimi nalipangua,binti hakuripoti polisi,watasena ilikuwa biashara
Bila charge sheet kuongezewa mashitaka,bila Shangaxi afande kuunganishwa ba watuhumiwa Kwangu hiyo ni kama movie ya ngono tu, Porn stars😇 hakuna kesi hapo
Mwisho wa siku .....ngoja tuone
Mbona mi sijaona sasa..?! , inapatikana wapi?!Unanitega bosi niseme ndio uniunganishe kwenye chain ya wasambazaji wa maudhui yasiyofaa?VIdeo imesambaa dunia nzima hakuna mtu hajaiona
kwahiyo rpc yuko sahihi, ili iwe kesi ya ulawiti lazima mtendewa alalamike, na hakuna alipolalamikaSerikali inatumia pesa nyingi kusomesha watanzania ila wasomi wenyewe wanashindwa kutumia elimu yao.
Mimi darasa la saba B nilisoma shule ya Msingi Miburani pamoja na Mzee Magoma kuna kitu nimebaini kuhusu mashitaka walioshitakiwa nayo watuhumiwa maafande wa. Ubakaji.
Kwenye mashitaka waliyoshitakiwa nayo hakuna kosa la kurekodi maudhui yasiyofaa wala kosa la kusambaza picha chafu kinyume na sheria ya makosa ya mtandaoni, kifungu gani na sheria yamwaka gani
Pascal Mayalla atadadavua.
Kama wasingejirekodi na kusambaza hakuna ambaye angejua kuwa huyo binti alifanyiwa ukatili,maana huko mitaani matukio ya ulawiti yapo sana iwe kwa kubakwa au kwa hiari kinachokosekana ni ushahidi tu.
Msingi wa kesi hii upo hapo kwenye kurekodi na kusambaza maudhui yasiyofaa.lakini cha kushangaza watuhumiwa wameshitakiwa kwa makosa mawili tu,ubakaji na ulawiti,
Kesi imeshakosa nguvu, Charge sheet isipobadilishwa haki haitaonekana kutendeka,nina hofu simu ikiyorekodi na kusanbaza ni ya untouchable,
Huwezi kuprove kuwa binti alilawitiwa kwa tukio la miezi mitatu nyuma,
Ushahidi wa picha hauoneshi kuwa alikuwa akilawitiwa au kunajisiwa kwa njia ya kawaida , kosa la ulawiti hata bush lawyer analipangua,
La ubakaji hata mimi nalipangua,binti hakuripoti polisi,watasena ilikuwa biashara
Bila charge sheet kuongezewa mashitaka,bila Shangaxi afande kuunganishwa ba watuhumiwa Kwangu hiyo ni kama movie ya ngono tu, Porn stars😇 hakuna kesi hapo
Mwisho wa siku .....ngoja tuone
kabisa yeye sio mtu wa hovyo hawezi ipataKwenye magroup mnayoita ya ovyo,magroup ya kanisani huwezi kuipata
Walimu/profesa/phd wenyewe wanaokotwa kwenye majalala, kuna shule hapoWasomi wa nchi yetu Bure kabisa. Tukiwakuta mbinguni itabidi tushangae sana
Watuhimiwa watatuka kisiasa mpaka mtashanga wakati wa uchaguzi mambo magumu yafuatayo yanaweza kutokea 1.Wale hawatapatikana na hatia makosa ya ubakaji ama ulawiti.
Atleast wangeshtakiwa kwa kosa la kusambaza video chafu, hapa wangewapata na hatia.
[emoji16][emoji16]Ni kama yule askari wa Zenji alivyokutwa hana hatia. Yeye alisema tu yule mtu kwenye video clip sio yeye. Sasa una prove vipi ni yeye? Maana watu kufanana ni kawaida..
Chawa at wkSerikali inatumia pesa nyingi kusomesha watanzania ila wasomi wenyewe wanashindwa kutumia elimu yao.
Mimi darasa la saba B nilisoma shule ya Msingi Miburani pamoja na Mzee Magoma kuna kitu nimebaini kuhusu mashitaka walioshitakiwa nayo watuhumiwa maafande wa. Ubakaji.
Kwenye mashitaka waliyoshitakiwa nayo hakuna kosa la kurekodi maudhui yasiyofaa wala kosa la kusambaza picha chafu kinyume na sheria ya makosa ya mtandaoni,kifungu gani na sheria yamwaka gani
Pascal Mayalla atadadavua.
Kama wasingejirekodi na kusambaza hakuna ambaye angejua kuwa huyo binti alifanyiwa ukatili,maana huko mitaani matukio ya ulawiti yapo sana iwe kwa kubakwa au kwa hiari kinachokosekana ni ushahidi tu.
Msingi wa kesi hii upo hapo kwenye kurekodi na kusambaza maudhui yasiyofaa.lakini cha kushangaza watuhumiwa wameshitakiwa kwa makosa mawili tu,ubakaji na ulawiti,
Kesi imeshakosa nguvu,Charge sheet isipobadilishwa haki haitaonekana kutendeka,nina hofu simu ikiyorekodi na kusanbaza ni ya untouchable,
Huwezi kuprove kuwa binti alilawitiwa kwa tukio la miezi mitatu nyuma,
Ushahidi wa picha hauoneshi kuwa alikuwa akilawitiwa au kunajisiwa kwa njia ya kawaida , kosa la ulawiti hata bush lawyer analipangua,
La ubakaji hata mimi nalipangua,binti hakuripoti polisi,watasena ilikuwa biashara
Mwisho wa siku .....ngoja tuone
Serikali inalinda turufu zakeSerikali inatumia pesa nyingi kusomesha watanzania ila wasomi wenyewe wanashindwa kutumia elimu yao.
Mimi darasa la saba B nilisoma shule ya Msingi Miburani pamoja na Mzee Magoma kuna kitu nimebaini kuhusu mashitaka walioshitakiwa nayo watuhumiwa maafande wa. Ubakaji.
Kwenye mashitaka waliyoshitakiwa nayo hakuna kosa la kurekodi maudhui yasiyofaa wala kosa la kusambaza picha chafu kinyume na sheria ya makosa ya mtandaoni, kifungu gani na sheria yamwaka gani
Pascal Mayalla atadadavua.
Kama wasingejirekodi na kusambaza hakuna ambaye angejua kuwa huyo binti alifanyiwa ukatili,maana huko mitaani matukio ya ulawiti yapo sana iwe kwa kubakwa au kwa hiari kinachokosekana ni ushahidi tu.
Msingi wa kesi hii upo hapo kwenye kurekodi na kusambaza maudhui yasiyofaa.lakini cha kushangaza watuhumiwa wameshitakiwa kwa makosa mawili tu,ubakaji na ulawiti,
Kesi imeshakosa nguvu, Charge sheet isipobadilishwa haki haitaonekana kutendeka,nina hofu simu ikiyorekodi na kusanbaza ni ya untouchable,
Huwezi kuprove kuwa binti alilawitiwa kwa tukio la miezi mitatu nyuma,
Ushahidi wa picha hauoneshi kuwa alikuwa akilawitiwa au kunajisiwa kwa njia ya kawaida , kosa la ulawiti hata bush lawyer analipangua,
La ubakaji hata mimi nalipangua,binti hakuripoti polisi,watasena ilikuwa biashara
Bila charge sheet kuongezewa mashitaka,bila Shangaxi afande kuunganishwa ba watuhumiwa Kwangu hiyo ni kama movie ya ngono tu, Porn stars😇 hakuna kesi hapo
Mwisho wa siku .....ngoja tuone
9.walimnyima maji kabisa.Ongezea na
5. Ngono ya makundi (gang rape)
6 kula njama za kutenda kosa
7 shambulio la mwili (walimtishia kwa chupa)
8. utekaji wa binadamu
ila
utasikia DPP hana nia ya kuendelea na kesi
La kusambaza maudhui si kosa la wabakaji labda kama walishirikiana pia kwa hiloPale kuna kosa kama 4
Ubakaji
Ulawiti
Kusambaza picha zenye maudhui yasioyofaa
Matumizi ya madawa ya kulevya
Wataalam wq masuala ya kijamii wana kitu kinaitwa "Crimes in the name of honour"
Kosa la nani? Kosa la wabakaji ila watashtakiwa na jmt sio mhangaLa kusambaza maudhui si kosa la wabakaji labda kama walishirikiana pia kwa hilo