EEM M
JF-Expert Member
- May 20, 2022
- 459
- 937
Nakuja Pm unipe moja nirud hapa kutoa maoniWhatapp uko magroup ya kanisani ,shuleni,kazini na ya familia utaionea wapi,join magroup ya kihuni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuja Pm unipe moja nirud hapa kutoa maoniWhatapp uko magroup ya kanisani ,shuleni,kazini na ya familia utaionea wapi,join magroup ya kihuni
Faida ya charges nyingini kuwa defendant anakuwa hana pa kuchomoka,ila hapo wakipangua tuhuma za ubakaji tu ,jioni tuko nao mbadani msalato tunakula nao nyama chomaHapa ndo ukweli ulipo mkuu kushinda kesi ni Sanaa, upande wa jamuhuri mafanikio ni kumtia mtuhumiwa hatiani kwahiyo ni muhimu kuepuka kesi ndogo zisizo za msingi ambazo ushahidi wake ukishindikana kuthibitishwa bila shaka inaweza kuharibu kesi ya msingi.
Watu siyo wajinga hizo ni taaluma za watu.
Mfano utakuta mtu anaanzisha uzi kulaumu kwanini hawakupelekwa mahakamani siku ile ya kwanza walipokamatwa kisa eti ushahidi wa video upo, watu huwa wanadhani mambo ni rahisi rahisi tu hakuna kitu kinahitaji utulivu kama kukamilisha ushahidi, ndo maana watuhumiwa wengi wa mauaji waliuwa kweli ila huwa wanaachiwa huru.
Wapuuzi sana hao jamaaKwq mtu kama mm hata nilipwe kias gan sifanyi ule ujinga. Hawa wanahangaishwa na ile mentality kwamba Mwanajeshi aogopwe tu. Usikute wametumia kigezo cha wao wote wanajeshi so atelier tu...
Hapo kuna makosa watashitakiwa na serikali moja kwa moja sio survivor. Kama bange, matumiz mabaya ya jina la chombo cha ulinzi na usalama cha taifa kama ikileta viashiria viashiria.
Hata Mimi sijaionaNakuja Pm unipe moja nirud hapa kutoa maoni
Sasa bro akishinda kesi hiyo ya gang rape unaweza kumtia hatiani kwa kusambaza video ya ngono? Hapo akikushinda katika kesi ya msingi hata hizo ndogo maana yake anakushinda pia, ndo maana ni bora kufungua hizo kesi mbili za msingi kulawiti na gang rape na kuzitafutia ushahidi ulioshiba ambae shahidi wa kwanza ni victimFaida ya charges nyingini kuwa defendant anakuwa hana pa kuchomoka,ila hapo wakipangua tuhuma za ubakaji tu ,jioni tuko nao mbadani msalato tunakula nao nyama choma
Yeah kuthibitisha kuwa huo wimbo, may alikua bado hajaingia studioUnataka kusema jaiva nae huenda akaisaidia polisi
Victim anaweza kusema hawatambui watuhumiwa hapo mahakama ikapata kazi ya ziada..Sasa bro akishinda kesi hiyo ya gang rape unaweza kumtia hatiani kwa kusambaza video ya ngono? Hapo akikushinda katika kesi ya msingi hata hizo ndogo maana yake anakushinda pia, ndo maana ni bora kufungua hizo kesi mbili za msingi kulawiti na gang rape na kuzitafutia ushahidi ulioshiba ambae shahidi wa kwanza ni victim
Mbona mimi sijaiona sasa🙂….hakuna mtu hajaiona
Yule binti alishafungua kesi ?Ile charge sheet ya mchongo usikute simu iliyorekodi na kusambaza na aliyewatuma Mrs Untouchable
Kuna kosa lingine la kula njama. Halipo kwenye charge sheet pia. Kuna mkono wa watu humo.Serikali inatumia pesa nyingi kusomesha watanzania ila wasomi wenyewe wanashindwa kutumia elimu yao.
Mimi darasa la saba B nilisoma shule ya Msingi Miburani pamoja na Mzee Magoma kuna kitu nimebaini kuhusu mashitaka walioshitakiwa nayo watuhumiwa maafande wa. Ubakaji.
Kwenye mashitaka waliyoshitakiwa nayo hakuna kosa la kurekodi maudhui yasiyofaa wala kosa la kusambaza picha chafu kinyume na sheria ya makosa ya mtandaoni,kifungu gani na sheria yamwaka gani
Pascal Mayalla atadadavua.
Kama wasingejirekodi na kusambaza hakuna ambaye angejua kuwa huyo binti alifanyiwa ukatili,maana huko mitaani matukio ya ulawiti yapo sana iwe kwa kubakwa au kwa hiari kinachokosekana ni ushahidi tu.
Msingi wa kesi hii upo hapo kwenye kurekodi na kusambaza maudhui yasiyofaa.lakini cha kushangaza watuhumiwa wameshitakiwa kwa makosa mawili tu,ubakaji na ulawiti,
Kesi imeshakosa nguvu,Charge sheet isipobadilishwa haki haitaonekana kutendeka,nina hofu simu ikiyorekodi na kusanbaza ni ya untouchable,
Huwezi kuprove kuwa binti alilawitiwa kwa tukio la miezi mitatu nyuma,
Ushahidi wa picha hauoneshi kuwa alikuwa akilawitiwa au kunajisiwa kwa njia ya kawaida , kosa la ulawiti hata bush lawyer analipangua,
La ubakaji hata mimi nalipangua,binti hakuripoti polisi,watasena ilikuwa biashara
Bila charge sheet kuongezewa mashitaka,bila Shangaxi afande kuunganishwa ba watuhumiwa Kwangu hiyo ni kama movie ya ngono tu,.....Porn stars😇 hakuna kesi hapo
Mwisho wa siku .....ngoja tuone
Hata mimi kuna sehemu nimedadavua kama hivyo. Inaelekea matendo haya yanaruhusiwa kwa baadhi ya watu hapa nchini hususani public figures wanaruhusiwa. Ngoja tuone mwisho wa drama hii.Serikali inatumia pesa nyingi kusomesha watanzania ila wasomi wenyewe wanashindwa kutumia elimu yao.
Mimi darasa la saba B nilisoma shule ya Msingi Miburani pamoja na Mzee Magoma kuna kitu nimebaini kuhusu mashitaka walioshitakiwa nayo watuhumiwa maafande wa. Ubakaji.
Kwenye mashitaka waliyoshitakiwa nayo hakuna kosa la kurekodi maudhui yasiyofaa wala kosa la kusambaza picha chafu kinyume na sheria ya makosa ya mtandaoni,kifungu gani na sheria yamwaka gani
Pascal Mayalla atadadavua.
Kama wasingejirekodi na kusambaza hakuna ambaye angejua kuwa huyo binti alifanyiwa ukatili,maana huko mitaani matukio ya ulawiti yapo sana iwe kwa kubakwa au kwa hiari kinachokosekana ni ushahidi tu.
Msingi wa kesi hii upo hapo kwenye kurekodi na kusambaza maudhui yasiyofaa.lakini cha kushangaza watuhumiwa wameshitakiwa kwa makosa mawili tu,ubakaji na ulawiti,
Kesi imeshakosa nguvu,Charge sheet isipobadilishwa haki haitaonekana kutendeka,nina hofu simu ikiyorekodi na kusanbaza ni ya untouchable,
Huwezi kuprove kuwa binti alilawitiwa kwa tukio la miezi mitatu nyuma,
Ushahidi wa picha hauoneshi kuwa alikuwa akilawitiwa au kunajisiwa kwa njia ya kawaida , kosa la ulawiti hata bush lawyer analipangua,
La ubakaji hata mimi nalipangua,binti hakuripoti polisi,watasena ilikuwa biashara
Bila charge sheet kuongezewa mashitaka,bila Shangaxi afande kuunganishwa ba watuhumiwa Kwangu hiyo ni kama movie ya ngono tu,.....Porn stars😇 hakuna kesi hapo
Mwisho wa siku .....ngoja tuone
Kazi gani ya ziada akisema hawatambui hapo hapo wanaachiwa huru.Victim anaweza kusema hawatambui watuhumiwa hapo mahakama ikapata kazi ya ziada..
Mie sijaiona, nielekeze ilipo niifate huko huko nikaipakue.VIdeo imesambaa dunia nzima hakuna mtu hajaiona
Najua charge sheet inaweza kuwa defective na ikafanyiwa amendment/alteration kama defect haijaenda to the root of the case.Charge sheet inaruhusiwa kurekebishwa na kesi haijaisha bado iko mahakamani,think big broo
Sahihi kabisa mkuu.Hapa ndo ukweli ulipo mkuu kushinda kesi ni Sanaa, upande wa jamuhuri mafanikio ni kumtia mtuhumiwa hatiani kwahiyo ni muhimu kuepuka kesi ndogo zisizo za msingi ambazo ushahidi wake ukishindikana kuthibitishwa bila shaka inaweza kuharibu kesi ya msingi.
Watu siyo wajinga hizo ni taaluma za watu.
Mfano utakuta mtu anaanzisha uzi kulaumu kwanini hawakupelekwa mahakamani siku ile ya kwanza walipokamatwa kisa eti ushahidi wa video upo, watu huwa wanadhani mambo ni rahisi rahisi tu, ushahidi wa video peke yake hautoshi na ukikurupuka wanaenda kukushindq lazima uwe na ushahidi mwingine wa kutosha hakuna kitu kinahitaji utulivu kama kukamilisha ushahidi, ndo maana watuhumiwa wengi wa mauaji waliuwa kweli ila huwa wanaachiwa huru.
Lakini ni precedent mbaya kwa nahakama,itaonekana kuwa kujirekodi na kusambaza picha chafu sio criminal offenceSahihi kabisa mkuu.
Kumtia mtu hatiani lazma ufanye kazi ya ziada.
Kitu nilichogundua watz wengi hatujui mambo meng na huwa hatutaki kuuliza tumekaa kishabiki,ki hisia hisia na kulaumu laumu ndo maana issue kama hii mtu haelewi imekaaje.
Kama kungekuwa na issue ya mauaji hiyo kwa namna yoyote isingewekwa kando.
Shukran kwa kujazia nyama na kujenga ufahamu zaidi
Mkuu kutembea na kesi nyingi sana na kuichanganya na kesi nzito unatengeneza mwanya wa watu kuchomoka kiulaini ni kama kuwa na mashaidi lukuki wanaoelezea jambo moja.Lakini ni precedent mbaya kwa nahakama,itaonekana kuwa kujirekodi na kusambaza picha chafu sio criminal offence
Mimi sijaona au mimi siyo ntu?Unanitega bosi niseme ndio uniunganishe kwenye chain ya wasambazaji wa maudhui yasiyofaa?VIdeo imesambaa dunia nzima hakuna mtu hajaiona
Sikia sasa, Charge ina makosa mawili la gang rape na kulawiti, Kuhusu kurecord wakati mnafanya hakuna sheria inazuia hilo kosa lipo kwenye kusambaza na hapa utata upo unawezaje kuthibitisha mahakamani pasi na shaka kwamba wao ndio walisambaza video? Nazani sababu ni hiyo ya kuacha hilo kosa lingineSerikali inatumia pesa nyingi kusomesha watanzania ila wasomi wenyewe wanashindwa kutumia elimu yao.
Mimi darasa la saba B nilisoma shule ya Msingi Miburani pamoja na Mzee Magoma kuna kitu nimebaini kuhusu mashitaka walioshitakiwa nayo watuhumiwa maafande wa. Ubakaji.
Kwenye mashitaka waliyoshitakiwa nayo hakuna kosa la kurekodi maudhui yasiyofaa wala kosa la kusambaza picha chafu kinyume na sheria ya makosa ya mtandaoni, kifungu gani na sheria yamwaka gani
Pascal Mayalla atadadavua.
Kama wasingejirekodi na kusambaza hakuna ambaye angejua kuwa huyo binti alifanyiwa ukatili,maana huko mitaani matukio ya ulawiti yapo sana iwe kwa kubakwa au kwa hiari kinachokosekana ni ushahidi tu.
Msingi wa kesi hii upo hapo kwenye kurekodi na kusambaza maudhui yasiyofaa.lakini cha kushangaza watuhumiwa wameshitakiwa kwa makosa mawili tu,ubakaji na ulawiti,
Kesi imeshakosa nguvu, Charge sheet isipobadilishwa haki haitaonekana kutendeka,nina hofu simu ikiyorekodi na kusanbaza ni ya untouchable,
Huwezi kuprove kuwa binti alilawitiwa kwa tukio la miezi mitatu nyuma,
Ushahidi wa picha hauoneshi kuwa alikuwa akilawitiwa au kunajisiwa kwa njia ya kawaida , kosa la ulawiti hata bush lawyer analipangua,
La ubakaji hata mimi nalipangua,binti hakuripoti polisi,watasena ilikuwa biashara
Bila charge sheet kuongezewa mashitaka,bila Shangaxi afande kuunganishwa ba watuhumiwa Kwangu hiyo ni kama movie ya ngono tu, Porn stars😇 hakuna kesi hapo
Mwisho wa siku .....ngoja tuone