Kesi ya Elizabeth Michael (Lulu), Mke wa Dk. Slaa ahitajika kufika mahakamani kutoa ushahidi

Kesi ya Elizabeth Michael (Lulu), Mke wa Dk. Slaa ahitajika kufika mahakamani kutoa ushahidi

Yani hii haina tofauti na fikra za baadhi ya viongozi wa serikali waliotoa kauli ya kwamba mawakili wakienda polisi kufuatilia kesi za watuhumiwa wakamatwe na wawekwe ndani.
Mkuu leo hii unaweza pita sehemu ukakamatwa kuwa wewe umehusika na ujambazi kisa umekamatwa na gari ambalo limehusika katika tukio.
Watu wote wakaamini wewe ni jambazi, sasa bila wakoli na ushahidi kuletwa mahakamani si unafungwa tu maana jamii nzima itakuwa inaamibi wewe kweli jambazi.
Mkuu you spend your precious time unnecessarily kwa huyu mtu. I just wished to know his knowledge kwa ujumla, acha legal knowledge maana hiyo iko more technical. Tusijekuwa tunahangaika na mtu ambaye matokeo yake ya darasa la saba yametoka juzi
 
Yani hii haina tofauti na fikra za baadhi ya viongozi wa serikali waliotoa kauli ya kwamba mawakili wakienda polisi kufuatilia kesi za watuhumiwa wakamatwe na wawekwe ndani.
Mkuu leo hii unaweza pita sehemu ukakamatwa kuwa wewe umehusika na ujambazi kisa umekamatwa na gari ambalo limehusika katika tukio.
Watu wote wakaamini wewe ni jambazi, sasa bila wakoli na ushahidi kuletwa mahakamani si unafungwa tu maana jamii nzima itakuwa inaamibi wewe kweli jambazi.
Mkuu... hapo nimekuelewa. Lulu bado ni mtuhumiwa.... hakuna mwenye uhakika km aliua kweli. Ngoja mahakama ifanye kazi yake
 
Daah... basi sawa!
Mkuu anachosema jamaa ni sahihi kabisa.Haiwezekani mtu kwa kuwa ametuhumiwa kosa basi atundikwe bila kufuata taratibu na sheria.Tukifanya hivo basi mahakama itakuwa ya kangaroo,mahakama ambayo tayari inaupande hata kabla ya kusikiliza shauri.
 
NYIE MNAOMHUKUMU LULU BILA KUTHIBITISHA MJUE KUWA DUNIA DUARA, KESHO YATAKAPOWAKUTA YA KWENU NDYO MTAJUA.

ILI MRADI TU UNAISH, MAHAKAMA, JELA AU MAHABU IMEWEKWA KWA KILA MTU, LEO YEYE KESHO WEWE

UNAWEZA KULALA NA MKEO, AKAJIUA, UKAWEKWA NDANI WAKATI UCHUNGUZ UNAENDELEA.

UNAWEZA KUWA NA HELA BANDIA BILA KUJIJUA UKAKAMATWA UKAWEKWA MAHABUSU

KWA HYO NI V2 VYA KAWAIDA HUTOKEA.
 
Mirungi ni haramu,ni kosa kisheria,kumtetea Lulu au mtuhumiwa ni haki,ni halali na mahakama haiwezi kuhukumu tuuu.Hata kama Lulu angeenda akakiri kumuua Kanumba bado hatua zote hizi zingefuatwa,angepewa wakili,angepewa dhamana na mashahidi wangeitwa na kila kitu.Ni haki na ni halali.Ukisafirisha mirungi umevunja sheria .

Angepewa dhamana hata kama angekiri kuua? I thought dhamana ni kwa kuua bila kukusudia...nielimishe..
 
Askari Polisi Ameamriwa Kufika Mahakama Kuu Kukabidhi Maelezo Dhidi Ya Kesi Ya Lulu | Elizabeth Michael "Lulu"
 
Baba yake na wengine wanadai amemla na yeye.Halafu si ndo alikuwa anatumia gari ya Kanumba? Walidai anamla na mama Kanumba pia![emoji15]
Cheni anatembea na mama kanumba?ama mimi ndio sijakuelewa?
 
Ndie aliyeshawishi lulu ajiunge kaole,naona nafsi inamsunta kumpeleka lulu kwenye umaarufu akiwa mdogo
Ila Dr Cheni anajitahidi kumsupport lulu..Mungu ambariki
 
Back
Top Bottom