Maserati
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 11,604
- 20,085
Story za mtaani hizo maana wengine wanasema mwanaume wake wa kwanza ni Ali kiba.Cheni anatembea na mama kanumba?ama mimi ndio sijakuelewa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Story za mtaani hizo maana wengine wanasema mwanaume wake wa kwanza ni Ali kiba.Cheni anatembea na mama kanumba?ama mimi ndio sijakuelewa?
Kwa hiyo anafanya haya kama kujifarijiNdie aliyeshawishi lulu ajiunge kaole,naona nafsi inamsunta kumpeleka lulu kwenye umaarufu akiwa mdogo
Hee!mwisho wa siku ukweli anaujua lulu mwenyeweStory za mtaani hizo maana wengine wanasema mwanaume wake wa kwanza ni Ali kiba.
Kwa hiyo anafanya haya kama kujifariji
Kwa hiyo anafanya haya kama kujifariji
Askari Polisi Ameamriwa Kufika Mahakama Kuu Kukabidhi Maelezo Dhidi Ya Kesi Ya Lulu | Elizabeth Michael "Lulu"
Kivipi. Mrithi auIla Dr Cheni anajitahidi kumsupport lulu..Mungu ambariki
Ila Dr Cheni anajitahidi kumsupport lulu..Mungu ambariki
Uzushi amaBaba yake na wengine wanadai amemla na yeye.Halafu si ndo alikuwa anatumia gari ya Kanumba? Walidai anamla na mama Kanumba pia![emoji15]
[emoji85] [emoji85] [emoji85]Baba yake na wengine wanadai amemla na yeye.Halafu si ndo alikuwa anatumia gari ya Kanumba? Walidai anamla na mama Kanumba pia![emoji15]
jesus ila kwa hanshammmBaba yake na wengine wanadai amemla na yeye.Halafu si ndo alikuwa anatumia gari ya Kanumba? Walidai anamla na mama Kanumba pia![emoji15]
YameshaanzaBasi cheni alimpenda kweli kweli lulu
huo ndio utu mkuu..kuna watu wamekaa kutega sikio wasikie lulu kapigwa miaka mingap..inashangaza sana mtu kushabikia matatizo ya mwenzie.Ila Dr Cheni anajitahidi kumsupport lulu..Mungu ambariki
Aliyekudanganya Kibatala analipwa na Lulu ni nani?Daah... kumbe Kibatala anajali hela tuu sio haki. Bongo muvi yetu imekuwa km mwathirika wa UKIMWI alokosa dawa za kupunguza makali kwa sababu ya Lulu. Kuanzia leo simuheshimu tena Kibatala
Huku serikali hiyohiyi ikitowa mawakili wake bure kuwatetea watu wenye kesi za mauwaji.Anasimamia haki ya mtuhumiwa.
Hata kama akikutwa na hatia lakini haki zake za msingi na kila mtuhumiwa ana haki ya kutetewa.
Watu mna mahaba hadi yanafunika reasoning.
Yani hiki mnacholalamika hapa hakina tofauti na viongozi wa serikali kusema mawakili wawekwe ndani kisa wameenda polisi kutetea wale inaowatuhumu na kuamini ni waharifu wakiwemo wanasiasa waliokamatwa.
Mjinga mwingine huyu hapa, ni kwa nini kesi isisikilizwe mfululizo wakati ilifungwa PI kwa miaka? Ulitakaje? Unaelewa kesi za mauwaji zinavyoendeshwa?Hapa nachokiona majaji wanataka wakili wa mshitakiwa ashindwe kwa nguvu zote. kesi hapa ni kati ya wakili na majaji....yangu macho...ila sidhani kama wakili atachomoka hapa na ndio maana kesi ipo mpera mpera.