Ulichoandika ni kweli lakini lazima kuwe na court order. Otherwise pimbi yeyote atatokea akisema mimi ni TISS nataka mawasiliano ya Godo .Hamna kesi hapo,ni takwa la kisheria kwa watoa huduma za mitandao kutoa ushirikiano kwa vyombo vya Dola katika kufanikisha Upelelezi yaani wamiliki wa mitandao ya simu au huduma za mawasiliano au mtoa huduma yeyote hawaruhusiwa kutoa taarifa ya mteja isipokuwa katika kufanikisha Upelelezi.
Nakubaliana na wewe kwa kuwa issue kubwa ambayo Kabendera anadai Vodacom walihusika na kukamatwa kwake ni kwamba siku aliyokamatwa alikuwa anashindwa kufanya mawasiliano including kufanya miamala ya fedha.Hakuna kesi hapo shika haya maneno yangu ...ni mchongo tu
Asante kwa kushirikiwee ndie hakimu?
Uongo utakusaidia nini?Hii safi.
Jamaa alikuwa na software ya Pegasus ambayo inaweza kuipanguwa mitandao na kampuni isifanye lolote. Tutayajuwa mengi.
Sina imani huyo Jaji kilaza..Kama ulidhani jambo hili ni utani, basi ulijidanganya, mambo tayari yako Mahakamani.
Kesi hii yaweza kuwa fundisho kwa mitandao mingine ya simu inayoshirikiana na Watekaji na Wauaji, hata kama watekaji hao ni Watu wa Serikali
Taarifa kamili hii hapa
---
Mchakato wa usikilizwaji wa kesi inavyohusiana na kukamatwa kwa mwanahabari Erick Kabendera, aliyoifungua mwanahabari huyo dhidi ya kampuni ya huduma za Mawasiliano Kwa simu za mkononi ya Vodacom Tanzania Ltd unaanza leo.
Katika kesi hiyo Kabendera anaoimba mahakama hiyo iiamuru kampuni hiyo imlipe fidia ya Dola za Marekani 10 milioni (sawa na Sh28 bilioni) akiituhumu kuwa ndio iliyofanikishwa kukamatwa kwake na askari Polisi, tukio analoliita kutekwa, na kisha kufunguliwa kesi ya uhujumu uchumi, mwaka 2019.
Kesi hiyo imepangwa kusikilizwa na Jaji Mfawidhi Salma Maghimbi na pande zote zimeitwa kufika mahakamani hapo leo Julai 9, 2024.
Kwa mujibu wa hati ya wito wa mahakama kwa wadaawa (pande zote) kufika mahakamani, kesi hiyo namba 12799/2024 imepangwa kutajwa asubuhi hii, huku ikiitaka kampuni hiyo kufika bila kukosa na kuwasilisha nyaraka zake ambazo inatarajia kuzitumia katika utetezi wake.
PIA SOMA
- Mwandishi Eric Kabendera aelezea jinsi Vodacom Tanzania ilivyomkamatisha kwa vyombo vya Usalama
- Madai ya fidia ya dola milioni Moja ya Erick Kabendera dhidi ya Vodacom yakienda mahakamani tutarajie nini?
- Erick Kabendera aitaka Vodacom imlipe Dola Milioni 1 kwa kufanikisha kutekwa kwake 2019
Uongo ni dhambi kwa Muislam, lakini nafahamu wachaga ni jadi yao.Uongo utakusaidia nini?
Umetoka kwenye udini ukafuzu ukaamua kuingia kwenye ukabila, Ngoja tuone utafika wapiUongo ni dhambi kwa Muislam, lakini nafahamu wachaga ni jadi yao.
Umekubaliana nami, hujaipinga hoja kabisa. Hilo mbona linajulikana, uongo na ....Umetoka kwenye udini ukafuzu ukaamua kuingia kwenye ukabila, Ngoja tuone utafika wapi
Takwa la kisheria halafu huweki kifungu cha sheria huku ukithitibisha kwamba ni kweli utaratibu ulifuatwa.Hamna kesi hapo,ni takwa la kisheria kwa watoa huduma za mitandao kutoa ushirikiano kwa vyombo vya Dola katika kufanikisha Upelelezi yaani wamiliki wa mitandao ya simu au huduma za mawasiliano au mtoa huduma yeyote hawaruhusiwa kutoa taarifa ya mteja isipokuwa katika kufanikisha Upelelezi.
Erick yuko nchini au nje, mana at one time aliondoka akaenda ulayaKama ulidhani jambo hili ni utani, basi ulijidanganya, mambo tayari yako Mahakamani.
Kesi hii yaweza kuwa fundisho kwa mitandao mingine ya simu inayoshirikiana na Watekaji na Wauaji, hata kama watekaji hao ni Watu wa Serikali
Taarifa kamili hii hapa
---
Mchakato wa usikilizwaji wa kesi inavyohusiana na kukamatwa kwa mwanahabari Erick Kabendera, aliyoifungua mwanahabari huyo dhidi ya kampuni ya huduma za Mawasiliano Kwa simu za mkononi ya Vodacom Tanzania Ltd unaanza leo.
Katika kesi hiyo Kabendera anaoimba mahakama hiyo iiamuru kampuni hiyo imlipe fidia ya Dola za Marekani 10 milioni (sawa na Sh28 bilioni) akiituhumu kuwa ndio iliyofanikishwa kukamatwa kwake na askari Polisi, tukio analoliita kutekwa, na kisha kufunguliwa kesi ya uhujumu uchumi, mwaka 2019.
Kesi hiyo imepangwa kusikilizwa na Jaji Mfawidhi Salma Maghimbi na pande zote zimeitwa kufika mahakamani hapo leo Julai 9, 2024.
Kwa mujibu wa hati ya wito wa mahakama kwa wadaawa (pande zote) kufika mahakamani, kesi hiyo namba 12799/2024 imepangwa kutajwa asubuhi hii, huku ikiitaka kampuni hiyo kufika bila kukosa na kuwasilisha nyaraka zake ambazo inatarajia kuzitumia katika utetezi wake.
PIA SOMA
- Mwandishi Eric Kabendera aelezea jinsi Vodacom Tanzania ilivyomkamatisha kwa vyombo vya Usalama
- Madai ya fidia ya dola milioni Moja ya Erick Kabendera dhidi ya Vodacom yakienda mahakamani tutarajie nini?
- Erick Kabendera aitaka Vodacom imlipe Dola Milioni 1 kwa kufanikisha kutekwa kwake 2019
Ngoja nicheki kama yupoErick yuko nchini au nje, mana at one time aliondoka akaenda ulaya
Inasemekana washamuagiza Mhasibu wao aanze mchakato wa malipo, hawataki kudhalilika zaidi Mahakamani, Ngoma inogile.Vodacom washindwe kesi wateme mzigo huo.
Takwa gani? Sheria gani inasema hivyo? Kesi lazima iwe mahakamani au upewe barua ya kimahakama ndio uchunguze line otherwise hairuhusiwi, tena sio tu kupewa taarifa ila hadi kumtrack? Na kutoa rekodi za miamala? Hiyo kesi lazima walipe fine.Hamna kesi hapo,ni takwa la kisheria kwa watoa huduma za mitandao kutoa ushirikiano kwa vyombo vya Dola katika kufanikisha Upelelezi yaani wamiliki wa mitandao ya simu au huduma za mawasiliano au mtoa huduma yeyote hawaruhusiwa kutoa taarifa ya mteja isipokuwa katika kufanikisha Upelelezi.
Daaaah!Takwa gani? Sheria gani inasema hivyo? Kesi lazima iwe mahakamani au upewe barua ya kimahakama ndio uchunguze line otherwise hairuhusiwi, tena sio tu kupewa taarifa ila hadi kumtrack? Na kutoa rekodi za miamala? Hiyo kesi lazima walipe fine.
Unakumbuka kesi ya FBI kunyimwa kibali na apple kudukua simu ya mteja? Walikataa sababu sheria hairuhusu.
Kabendera walijua anaishi wapi why wasimpelekee summons ili aende kituoni? Sheria ipi inaruhusu kumteka mtu ambaye yupo available kabisa? Or call it kumkamata bila kufuatilia procedure za kisheria?
Hii nchi acha tuonewe tu maana raia hatujitambui
Kabendera na Madeleka HAWAWEZI kutoboa. Tutarudi hapaKama ulidhani jambo hili ni utani, basi ulijidanganya, mambo tayari yako Mahakamani.
Kesi hii yaweza kuwa fundisho kwa mitandao mingine ya simu inayoshirikiana na Watekaji na Wauaji, hata kama watekaji hao ni Watu wa Serikali
Taarifa kamili hii hapa
---
Mchakato wa usikilizwaji wa kesi inavyohusiana na kukamatwa kwa mwanahabari Erick Kabendera, aliyoifungua mwanahabari huyo dhidi ya kampuni ya huduma za Mawasiliano Kwa simu za mkononi ya Vodacom Tanzania Ltd unaanza leo.
Katika kesi hiyo Kabendera anaoimba mahakama hiyo iiamuru kampuni hiyo imlipe fidia ya Dola za Marekani 10 milioni (sawa na Sh28 bilioni) akiituhumu kuwa ndio iliyofanikishwa kukamatwa kwake na askari Polisi, tukio analoliita kutekwa, na kisha kufunguliwa kesi ya uhujumu uchumi, mwaka 2019.
Kesi hiyo imepangwa kusikilizwa na Jaji Mfawidhi Salma Maghimbi na pande zote zimeitwa kufika mahakamani hapo leo Julai 9, 2024.
Kwa mujibu wa hati ya wito wa mahakama kwa wadaawa (pande zote) kufika mahakamani, kesi hiyo namba 12799/2024 imepangwa kutajwa asubuhi hii, huku ikiitaka kampuni hiyo kufika bila kukosa na kuwasilisha nyaraka zake ambazo inatarajia kuzitumia katika utetezi wake.
PIA SOMA
- Mwandishi Eric Kabendera aelezea jinsi Vodacom Tanzania ilivyomkamatisha kwa vyombo vya Usalama
- Madai ya fidia ya dola milioni Moja ya Erick Kabendera dhidi ya Vodacom yakienda mahakamani tutarajie nini?
- Erick Kabendera aitaka Vodacom imlipe Dola Milioni 1 kwa kufanikisha kutekwa kwake 2019
Hawawezi sababu mahakama hazipo huru, hiyo kesi angefungua Mchengerwa angeshinda!! Ila kusema hawawezi toboa sababu hawana hoja za msingi SIO KWELI. Tena kuna sheria ipo inayolinda usiri wa taarifa za mteja na tayari kuna baraza limeundwa na Maxence Melo ni mjumbe.Kabendera na Madeleka HAWAWEZI kutoboa. Tutarudi hapa