Kesi ya Kabendera dhidi ya Vodacom yaanza rasmi leo

Kesi ya Kabendera dhidi ya Vodacom yaanza rasmi leo

Nakubaliana na wewe kwa kuwa issue kubwa ambayo Kabendera anadai Vodacom walihusika na kukamatwa kwake ni kwamba siku aliyokamatwa alikuwa anashindwa kufanya mawasiliano including kufanya miamala ya fedha.

Sasa itabidi alete switch gear report yeye inayoonyesha simu yake ilibaniwa
NARUDIA TENA HAKUNA KESI HAPO....NI MCHEZO TU WAKUTENGENEZWA WOTE TEAM MOJA
 
Hawawezi sababu mahakama hazipo huru, hiyo kesi angefungua Mchengerwa angeshinda!! Ila kusema hawawezi toboa sababu hawana hoja za msingi SIO KWELI. Tena kuna sheria ipo inayolinda usiri wa taarifa za mteja na tayari kuna baraza limeundwa na Maxence Melo ni mjumbe.

Hivi unakumbuka Max aliwahi katalia kutoa taarifa ya member wake? Kama sheria inaruhusu kwanini Max alikataa kumdukua member wake? Na why Voda wakubali?

Mind you Max alishinda some of mashtaka yake, so why not kabendera?
Swadakta!
 
Hamna kesi hapo,ni takwa la kisheria kwa watoa huduma za mitandao kutoa ushirikiano kwa vyombo vya Dola katika kufanikisha Upelelezi yaani wamiliki wa mitandao ya simu au huduma za mawasiliano au mtoa huduma yeyote hawaruhusiwa kutoa taarifa ya mteja isipokuwa katika kufanikisha Upelelezi.
Lakini office ya upelelezi si ni lazima waombe kibali kwanza mahakamani kama vile search warranty !? Au Bongo mambo hayo hakuna,na office ya upelelezi ina hizo power ya kufanya hivyo bila kupitia mahakamani kwanza!!??
 
Hawawezi sababu mahakama hazipo huru, hiyo kesi angefungua Mchengerwa angeshinda!! Ila kusema hawawezi toboa sababu hawana hoja za msingi SIO KWELI. Tena kuna sheria ipo inayolinda usiri wa taarifa za mteja na tayari kuna baraza limeundwa na Maxence Melo ni mjumbe.

Hivi unakumbuka Max aliwahi katalia kutoa taarifa ya member wake? Kama sheria inaruhusu kwanini Max alikataa kumdukua member wake? Na why Voda wakubali?

Mind you Max alishinda some of mashtaka yake, so why not kabendera?
Kazi ni ku prove before the Jury
 
Hamna kesi hapo,ni takwa la kisheria kwa watoa huduma za mitandao kutoa ushirikiano kwa vyombo vya Dola katika kufanikisha Upelelezi yaani wamiliki wa mitandao ya simu au huduma za mawasiliano au mtoa huduma yeyote hawaruhusiwa kutoa taarifa ya mteja isipokuwa katika kufanikisha Upelelezi.

Utekaji, siyo upelelezi. Na sheria haijasema mitandao ya simu inawajibika kushirikiana na vyombo vya dola kufanikisha utekaji.
 
Hamna kesi hapo,ni takwa la kisheria kwa watoa huduma za mitandao kutoa ushirikiano kwa vyombo vya Dola katika kufanikisha Upelelezi yaani wamiliki wa mitandao ya simu au huduma za mawasiliano au mtoa huduma yeyote hawaruhusiwa kutoa taarifa ya mteja isipokuwa katika kufanikisha Upelelezi.
Wanaruhusiwa kutoa tu hizo taarifa bila kibali cha mahakama??
 
Hamna kesi hapo,ni takwa la kisheria kwa watoa huduma za mitandao kutoa ushirikiano kwa vyombo vya Dola katika kufanikisha Upelelezi yaani wamiliki wa mitandao ya simu au huduma za mawasiliano au mtoa huduma yeyote hawaruhusiwa kutoa taarifa ya mteja isipokuwa katika kufanikisha Upelelezi.
Waliomba kibali mahakamani?
 
Awamu ya Tano wali-introduce LIG(Lawful Interception Gateway) ,RTT(Real Time Triplets),CEIR(Central Equipment Identity Register) na TTMS(Telecommunication Traffic Monitoring System).

Hapo hauchomoki kwa Watu wasiojulikana.
 
ukweli kwamba vodacom ni kibaraka wa serikali ya ccm na TRA msilolijua kiufupi ?.ukitaka kujua kama ni mfanyabiashara usije kujifanya unaweka faragha zako vodacom na miamala kama ni mfanya biashara au kuna mengine unakwisha.
na wanao watumia sana ni ostabey polisi na wasiojulikana
 
Kama ulidhani jambo hili ni utani, basi ulijidanganya, mambo tayari yako Mahakamani.

Kesi hii yaweza kuwa fundisho kwa mitandao mingine ya simu inayoshirikiana na Watekaji na Wauaji, hata kama watekaji hao ni Watu wa Serikali

Taarifa kamili hii hapa

---
Mchakato wa usikilizwaji wa kesi inavyohusiana na kukamatwa kwa mwanahabari Erick Kabendera, aliyoifungua mwanahabari huyo dhidi ya kampuni ya huduma za Mawasiliano Kwa simu za mkononi ya Vodacom Tanzania Ltd unaanza leo.

Katika kesi hiyo Kabendera anaoimba mahakama hiyo iiamuru kampuni hiyo imlipe fidia ya Dola za Marekani 10 milioni (sawa na Sh28 bilioni) akiituhumu kuwa ndio iliyofanikishwa kukamatwa kwake na askari Polisi, tukio analoliita kutekwa, na kisha kufunguliwa kesi ya uhujumu uchumi, mwaka 2019.

Kesi hiyo imepangwa kusikilizwa na Jaji Mfawidhi Salma Maghimbi na pande zote zimeitwa kufika mahakamani hapo leo Julai 9, 2024.

Kwa mujibu wa hati ya wito wa mahakama kwa wadaawa (pande zote) kufika mahakamani, kesi hiyo namba 12799/2024 imepangwa kutajwa asubuhi hii, huku ikiitaka kampuni hiyo kufika bila kukosa na kuwasilisha nyaraka zake ambazo inatarajia kuzitumia katika utetezi wake.

PIA SOMA
- Mwandishi Eric Kabendera aelezea jinsi Vodacom Tanzania ilivyomkamatisha kwa vyombo vya Usalama

- Madai ya fidia ya dola milioni Moja ya Erick Kabendera dhidi ya Vodacom yakienda mahakamani tutarajie nini?

- Erick Kabendera aitaka Vodacom imlipe Dola Milioni 1 kwa kufanikisha kutekwa kwake 2019
Tunaomba Live Updates kama zile za Kesi ya Ugaidi ya Mbowe.

Hii ni Kesi muhimu sana kwa sisi watumia Mitandao ya kijamii na Digital communications
 
Back
Top Bottom