Extra miles
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 3,652
- 4,972
huo mchongo ndio kesi yenyewe ili watu wapige fedha.Hakuna kesi hapo shika haya maneno yangu ...ni mchongo tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huo mchongo ndio kesi yenyewe ili watu wapige fedha.Hakuna kesi hapo shika haya maneno yangu ...ni mchongo tu
Kampuni ya Chama, ngoja tuone kama kuna malipoVodacom washindwe kesi wateme mzigo huo.
Siyo kila mchongo lengo ni kupiga pesa moja kwa moja bali wengine wanatafuta kutisha (kuogopwa)au umaarufu.ili kufanikisha mipango yao dhalimuhuo mchongo ndio kesi yenyewe ili watu wapige fedha.
Nakuelewa....!huo mchongo ndio kesi yenyewe ili watu wapige fedha.
Hujui ulichoandika. Mawasiliano ya simu ni faragha na yanalindwa kikatiba na hairuhusiwi yeyote kuingilia faragha ya mtu nwingine.Hamna kesi hapo,ni takwa la kisheria kwa watoa huduma za mitandao kutoa ushirikiano kwa vyombo vya Dola katika kufanikisha Upelelezi yaani wamiliki wa mitandao ya simu au huduma za mawasiliano au mtoa huduma yeyote hawaruhusiwa kutoa taarifa ya mteja isipokuwa katika kufanikisha Upelelezi.
Yawezekana piaSiyo kila mchongo lengo ni kupiga pesa moja kwa moja bali wengine wanatafuta kutisha (kuogopwa)au umaarufu.ili kufanikisha mipango yoa dhalimu
Niliskia alidondokea pua kaflagUpdate
Nina email yake ya kazi, nikutumie?Nipeni namba ya kabendera nimpe ushahidi ili akishinda kesi anipe hata kamtaji kadogo