Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uislamu unahujumiwa na waislamu wenyeweSijui serikali inaogopa nini kwa upande wa waislamu ama viongozi ambao wapo serikalini upande wa bakwata ndio wajinga sielewi. Katiba ina ruhusu kila mtu kuwa na dini na itikadi zake lakini kwenye uislam serikali inalazimisha waislamu wote wasemewe na bakwata ila kwenye ukristo kila mtu yupo huru na taasisi yake ipo huru
Ndio hili lipo wazi, wao wanaona wameshamaliza mwendo ndio maana wanaona sawa kuhujumu diniUislamu unahujumiwa na waislamu wenyewe
TEC inahusu Kanisa Katoliki pekee (Tanzania Episcopal Conference). Hili ni Baraza linalojumlisha Maaskofu wa majimbo 36 ya Kanisa Katoliki nchini Tanzania. Mbali na Mwamposa, hukuti hata Askofu wa Kilutheri au Kianglikana.Ni kama kumlazimisha Mwamposa awe chini ya TEC
😅😅😅
Sasa Bakwata inataka kuhodhi madaraka ambaya hawana kikatibaTEC inahusu Kanisa Katoliki pekee (Tanzania Episcopal Conference). Hili ni Baraza linalojumlisha Maaskofu wa majimbo 36 ya Kanisa Katoliki nchini Tanzania. Mbali na Mwamposa, hukuti hata Askofu wa Kilutheri au Kianglikana.
Hana taarifa kamili za mgogoroHuyu jamaa ni mjinga au anaamua kupotosha kwa maslahi yake, anazungumza vitu ambavyo havijui wala hana taarifa navyo. Kesi ipo wazi na madai yanaeleweka analeta vitu visivyojulikana. Sijui mambo ya fund ameona wapi hapo taasisi zinadai fund au ilimradi kuchangia mada usizozielewa
Tatizo bakwata ilianzishwa na serikali baada ya kuvunjwa EAMSWA baada ya hofu kadhaa pamoja na nguvu ya Aghakan.Waislam wengi hawakuiunga mkono.Ilibebwa kwa nguvu ya serikaliSasa Bakwata inataka kuhodhi madaraka ambaya hawana kikatiba
Jk alikuwa anawaogopa sanaTatizo bakwata ilianzishwa na serikali baada ya kuvunjwa EAMSWA baada ya hofu kadhaa pamoja na nguvu ya Aghakan.Waislam wengi hawakuiunga mkono.Ilibebwa kwa nguvu ya serikali
Sio EC pekee yao wenye hiyo MOU, Lutheran, Anglican pia. Hiyo hiyo MOU hata Waislamu kwa taasisi yeyote mkijenga hospitals popote Tanzania, ina apply. Sasa wewe unataka MOU wakati huna hospitals, huna shule, hauna vyuo vya maana; serikali I finance ninj? Hili mbona hata Kikwete akilisema vizuri sana kwenye baraza la Idd enzi hizo akiwa raia No 1 pale msikiti wa Gasaff Dodoma? Well; nimefikia hitimisho hilo kwasababu ya maandishi yako mwenyewe hapo ju. Nimalizie hivi; Barukta ilikuaje ikafa/Ikafutwa? Usitupe lawama kwa Serikali bila kuangalia mahali mnapokosea; malalamiko hayajawahi kujenga chochote na popote duniani.Umeona katika hayo malalamiko kuna sehemu wanadai fund kutoka serikalini? Mbona unazungumzia mambo ambayo huyajui?
Hakuna sehemu mimi au hao waliofungua kesi wanadai fund kutoka serikalini wanachodai ni uhuru wa taasisi ambazo nazo zimesajiliwa kama bakwata usibwabwaje vitu usivyovijua.
Mbona wakatoliki wanao MEMORANDUM na serikali? Umeshaona taasisi yoyote ya kiislam ina MOU na serikali na hilo sio tatizo letu sisi. Soma vizuri mzizi wa hiyo kesi acha kushabikia vitu usivyovijua
Nani huaga anachagua viongozi wa Bakwata?Kwenye hoja ya pill ndo pa msingi..Waislamu hawaruhusiwi kuwa na taasisi huru nje ya Bakwata.Taasisi zote za waislmu zinatakiwa kuwa chini ya bakwata.
Hata hivyo ni muislamBi Riziki shomary Ngwali ni TISS huyo
Waislamu hawataki taasisi zao kufadhiliwa na serikali ila serikali imeamua kuifadhili Bakwata kwa lengo mahsusi ili Bakwata iwe Watchdog wa taasisi nyingine za Kiislamu lakini hakuna taasisi nyingine ya Kiislamu inafadhiliwa na serikali na hilo la taasisi za Kikristo kudai eti zinajiendesha zenyewe na kwamba eti serikali ndiyo inajipendekeza siyo kweli,mbona serikali ikitaka kujenga hospitali zake kama za wilaya kwenye maeneo zinapotumika hospitali za kanisa uwa wanakuja juu na kudai eti hakuna haja ya kushindana wakati wao waliingia mikataba na serikali? Hata hospitali za kanda mfano Bugando na KCMC serikali ikigusia kutaka kujenga hospitali zenye hadhi zinazolingana na zile jamaa wanakuja juu sana hii yote ni kwa sababu ya maslahi binafsi tu.Barukta haikuwahi kua chini ya Bakwata bro; unless unachanganya mafaili; halafu umeanza kuonesha kitu nilicho kua nakifikiria, "Na serikali haishirikiani na taasisi zingine...". I think hapa ndio ulipo mzizi wa tatizo lenu Waislamu; sawa tu na mahakama ya kaadhi; shida yenu moja tofauti na Wakristo, nyie mnataka mkianzisha taasisi iwe funded na serikali, why? Umewahi kusikia TEC, CCT, PCT nk zinaendeshwa kwa ruzuku ya serikali? Learn how to manage your institutions, nadhani hata chuo kikuu chenu cha Morogoro ni kama kimepotea kwenye ramani because of this. Jiendesheni, yule anae kulipa ndio mwenye last say kwako, ipo hivo. Taasisi za Kikristo zipo strong, zipo independent hadi serikali yenyewe ndio huaga inajipendekeza kupeleka pesa, hawaombi wale. Wanalipana wenyewe mishahara na posho. Vikanisa vidogo tu Tanzania vinaweza kua na jumuia very strong kuliko Waislamu kwa ujumla wake; why? They don't depend from hazina ya serikali, wanajiendesha kwa michango na sadaka zao. So ushauri wangu pale ju, ubakie hivo hivo; haubadiriki
Sio EC pekee yao wenye hiyo MOU, Lutheran, Anglican pia. Hiyo hiyo MOU hata Waislamu kwa taasisi yeyote mkijenga hospitals popote Tanzania, ina apply. Sasa wewe unataka MOU wakati huna hospitals, huna shule, hauna vyuo vya maana; serikali I finance ninj? Hili mbona hata Kikwete akilisema vizuri sana kwenye baraza la Idd enzi hizo akiwa raia No 1 pale msikiti wa Gasaff Dodoma? Well; nimefikia hitimisho hilo kwasababu ya maandishi yako mwenyewe hapo ju. Nimalizie hivi; Barukta ilikuaje ikafa/Ikafutwa? Usitupe lawama kwa Serikali bila kuangalia mahali mnapokosea; malalamiko hayajawahi kujenga chochote na popote duniani.
Unaijua EAMSWA? Unajua ilikuwa ina miliki nini na nini? Achana na hzo porojo sijui za Kikwete hujui lolote kuhusu madhila ya serikali dhidi ya Dini ya KiislamSio EC pekee yao wenye hiyo MOU, Lutheran, Anglican pia. Hiyo hiyo MOU hata Waislamu kwa taasisi yeyote mkijenga hospitals popote Tanzania, ina apply. Sasa wewe unataka MOU wakati huna hospitals, huna shule, hauna vyuo vya maana; serikali I finance ninj? Hili mbona hata Kikwete akilisema vizuri sana kwenye baraza la Idd enzi hizo akiwa raia No 1 pale msikiti wa Gasaff Dodoma? Well; nimefikia hitimisho hilo kwasababu ya maandishi yako mwenyewe hapo ju. Nimalizie hivi; Barukta ilikuaje ikafa/Ikafutwa? Usitupe lawama kwa Serikali bila kuangalia mahali mnapokosea; malalamiko hayajawahi kujenga chochote na popote duniani.
Hu nao ni uongo tu. Sekoture ya Mwanza sio hospital ya rufaa? Imejengwa lini? Halafu sijui kwanini huaga mnawaonea sana Wakatoliki, kuna Kolandoto pia ipo Shinyanga, specialist kw mgonjwa y ukomaa, yenyewe inamilikiwa na kanisa la AIC. Waislamu mnakwama wapi? Enzi za Magufuli, hiyo Bugando unayoisema, RC walitaka kuachana kabisa na serikali, ni serikali yenyewe iliomba poo. Watazame hata kwenye vyuo vyao, huwasikii wakijipendekeza kumpa sijui nani degree za heshima; hakuna. Sheria ile ile inayovilinda vyuo n hospitals za RC ndio hiyo hiyo ina cover kwenye dini zote, now tell me, kinaendelea nini kwenye chuo cha Bakwata cha Morogoro? Majengo mmepewa bure na serikali, RC na Lutheran waliuziwa kule Iringa, Bakwata ndio mmiliki wa chuo kile kama ilivo TEC kwa Roman Catholic, Bakwata inafadhiliwa na serikali (this is according to you, me sina uhakika ) lakini bado hata wewe huwezi kupeleka mwanao kule, why? Hamjawahi kua serious na mambo ambayo hayana uhusiano na DINI nyie, afya, elimu sio sehemu ya Uislam. Ni rahisi kufundisha vijana kwenda kupigana Jihad lakini haiwezekani ku train vijana wenu kuja kua madaktari au walimu boraWaislamu hawataki taasisi zao kufadhiliwa na serikali ila serikali imeamua kuifadhili Bakwata kwa lengo mahsusi ili Bakwata iwe Watchdog wa taasisi nyingine za Kiislamu lakini hakuna taasisi nyingine ya Kiislamu inafadhiliwa na serikali na hilo la taasisi za Kikristo kudai eti zinajiendesha zenyewe na kwamba eti serikali ndiyo inajipendekeza siyo kweli,mbona serikali ikitaka kujenga hospitali zake kama za wilaya kwenye maeneo zinapotumika hospitali za kanisa uwa wanakuja juu na kudai eti hakuna haja ya kushindana wakati wao waliingia mikataba na serikali? Hata hospitali za kanda mfano Bugando na KCMC serikali ikigusia kutaka kujenga hospitali zenye hadhi zinazolingana na zile jamaa wanakuja juu sana hii yote ni kwa sababu ya maslahi binafsi tu.
Kwa taarifa yako Kanisa ndiyo linabebwa sana na serikali kuliko Waislamu.
Acha uongo,ukiigusa Bugando na Kcmc jamaa wanakuja juu ile mbaya hawataki kabisa kusikia serikali inajenga Hospitali za Kanda huko ili Hospitali zao ziendelee kutumika ili wapate mabilioni ya serikali.Enzi za Magufuli, hiyo Bugando unayoisema, RC walitaka kuachana kabisa na serikali, ni serikali yenyewe iliomba poo.
Anazuia kila mpango wanaopanga Kama unaenda kinyume na maslahi ya taifaKwamba anawajaza upepo wenzie 11??
Nimekuuliza swali rahisi sana; Sekoture ina HADHI gani? I mean ipo class ipi ya hospitali? Mbona swali rahisi sana bro?Acha uongo,ukiigusa Bugando na Kcmc jamaa wanakuja juu ile mbaya hawataki kabisa kusikia serikali inajenga Hospitali za Kanda huko ili Hospitali zao ziendelee kutumika ili wapate mabilioni ya serikali.