Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 20,654
- 35,887
Tunakula nae Mbuzikatoliki.Juma Nassor anatumia udini kupata wateja wa kazi yake ya uwakili wakati hana uislamu wowote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunakula nae Mbuzikatoliki.Juma Nassor anatumia udini kupata wateja wa kazi yake ya uwakili wakati hana uislamu wowote
Ni hospitali ya rufaa ya mkoa,nakuuliza na wewe unataka kusema hiyo Sekoture ina hadhi sawa na Bugando? Maana tusiwe tunabishana vitu tofauti! Mimi Nazungumzia hospitali za Kanda na ndiyo maana nimeitaja pia KCMC najua pia kule kuna Hospitali ya Rufaa ya mkoa Mawenzi lakini wewe unang'ang'ania Sekoture,Sekoture!Nimekuuliza swali rahisi sana; Sekoture ina HADHI gani? I mean ipo class ipi ya hospitali? Mbona swali rahisi sana bro?
JK aliogopa influence ya Prine Aghakan ndani ya jumuiya ya waislmuJk alikuwa anawaogopa sana
Tetea ulicho kiandika; umesema, "serikali ikitaka kujenga hospitali kama hizo, RC wanapiga kelele, hawataki" so kama Bugando ni hospitali ya rufaa na ipo Mwanza, same as Seketure nayo ni ya rufaa huoni kama una ramba matapishi yako mkuu?Ni hospitali ya rufaa ya mkoa,nakuuliza na wewe unataka kusema hiyo Sekoture ina hadhi sawa na Bugando? Maana tusiwe tunabishana vitu tofauti! Mimi Nazungumzia hospitali za Kanda na ndiyo maana nimeitaja pia KCMC najua pia kule kuna Hospitali ya Rufaa ya mkoa Mawenzi lakini wewe unang'ang'ania Sekoture,Sekoture!
Eeehh.... Ndio maana kananenepa siku hiziTunakula nae Mbuzikatoliki.
Ebu onesha hapo uliponukuu wewe kwamba nimeandika Bugando ni hospitali ya rufaa tena soma vizuri kwenye lile andiko ulilojibu usiangalie kwingine ukasema nime edit.Tetea ulicho kiandika; umesema, "serikali ikitaka kujenga hospitali kama hizo, RC wanapiga kelele, hawataki" so kama Bugando ni hospitali ya rufaa na ipo Mwanza, same as Seketure nayo ni ya rufaa huoni kama una ramba matapishi yako mkuu?