Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,322
- 18,609
Wahuni wote hawa watawajibikaMnyeti naye anapelekwa mahakamani na watu wa haki za binadamu, soma gazeti la Jamhuri la leo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wahuni wote hawa watawajibikaMnyeti naye anapelekwa mahakamani na watu wa haki za binadamu, soma gazeti la Jamhuri la leo
Kwa mahakama zipi?Wahuni wote hawa watawajibika
Huyu ndiyo mwalimu mkuu wao wamatapeli, kwanza achunguzwe utajjiri wake wa ghaflaAlexanda mnyeti hawezi kupona. Akipona kwa wanadamu Mungu hatamuacha
... former NSSF DG; former minister for finance; former MP; mwanachama wa CCM akaishi Kilosa? You must be joking Mkuu. Huyu hata ikitokea kwa bahati mbaya kafia Kilosa atapelekwa Dar kwa mazishi.VUTA-NKUVUTE umeeleweka vyema...msalimie sana Mustafa Mkulo hapo Kilosa.
Ndiyo kama hivi MUNGU katusaidia snPale wafanya jinai wana baraka za watawala hakuna kesi yo yote unaweza kufunguliwa hadi utawala huo utakapoondoka madarakani.
Jamaa wanaishi kwenye sayari yao ya tofauti kabisa na sisi... former NSSF DG; former minister for finance; former MP; mwanachama wa CCM akaishi Kilosa? You must be joking Mkuu. Huyu hata ikitokea kwa bahati mbaya kafia Kilosa atapelekwa Dar kwa mazishi.
Nakubaliana na wewe lakini bado haiondoi ukweli kuwa Bw. Mkulo alikuwa Mbunge wa Kilosa na Mzaliwa wa Kilosa. Aliyelipenda jimbo lake upeo😂😂... former NSSF DG; former minister for finance; former MP; mwanachama wa CCM akaishi Kilosa? You must be joking Mkuu. Huyu hata ikitokea kwa bahati mbaya kafia Kilosa atapelekwa Dar kwa mazishi.
Hizo hizo zilizopo zama zimebadilikaKwa mahakama zipi?
Utasubiri snHizo hizo zilizopo zama zimebadilika
Zilizo mfunga sabaya na zinazomshughulikia mbowe.Kwa mahakama zipi?
Poa sister anguZilizo mfunga sabaya na zinazomshughulikia mbowe.
Yote mawili yanawezekana. Lakini kubwa zaidi ni hilo la kumfurahisha kiongozi wa chama linabeba uzito zaidi. Strongmen brook no rivals and they are served by faceless men. That goes the old rule.Wasiojulikana hatimae wajulikana Hadi Sura zao na vyeo vyao. Je walikuwa wakiwafanyia raia unyama Kwa faida ya Chama Tawala au kwa kumfurahisha Kiongozi Mkuu wa Chama kile ili kusaka vyeo???
Jinai haifi, Hakuna aliye juu ya DuniaUtasubiri sn
Haya makatili yanatubuJinai haifi, Hakuna aliye juu ya Dunia
Sawa msemaji wa mbinguAlexanda mnyeti hawezi kupona. Akipona kwa wanadamu Mungu hatamuacha
Hivi Mkulo kumbe bado yupo ?VUTA-NKUVUTE umeeleweka vyema...msalimie sana Mustafa Mkulo hapo Kilosa.
Sina uhakika mkuu. Nimemwomba Vuta-Nkuvute ampe salaam maadam yupo hapo jimboni kwake Kilosa kwa matembezi ya kichamaHivi Mkulo kumbe bado yupo ?
Bila shaka atakuwepoSina uhakika mkuu. Nimemwomba Vuta-Nkuvute ampe salaam maadam yupo hapo jimboni kwake Kilosa kwa matembezi ya kichama