Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,413
- 23,592
Watu wameombwa wasijae sana mahakamani, watahakikisha yeyote yule anaweza kufuatilia kutoka nyumbani kwake kwani wanarusha mubashara...wewe washa tu TV!Simuoni Grand Mullah (SC Ahmed Nassir Abdullah), mahakama ingekua haitoshi!