Kesi ya kutaka Muungano ufutwe yaanza rasmi Znz

Kesi ya kutaka Muungano ufutwe yaanza rasmi Znz

Hapa sio swala la kubishana nan ni nan barubaru ila tunaongelea uhal¨¬sia zanzibar ya sasa inawekwa na muungano vinginevyo nje ya muungano zbar itakua somalia mpya ,ubaguzi mnaendesha zid ya wenyewe kwa wenyewe n¨¬ kiashiria tosha kuwa muungano ukifa tu pemba watataka nchi yao unguja nao vivohivyo.Lakin kwasasa wenyewe aa safi kwel maana mnajifanya wamoja heti mnadai nchi yenu ya zbar ni zbar gan hiyo mnayoidai kama mpemba na muunguja hawakai pamoja? Acha kujidanganya kama ilifikia kubaguana hata kwenye mazishi heti mpemba amzike mpemba mwenzake na muunguja naye hivyo hivyo.Matatizo ya bara hayawez kusababisha heti tubaguane ,kama kwel unataka alshababu wapya waibuke pinga muungano ,kwan somalia kuna wakiristo lakn mbona wanazichapa kila siku?,kuwa na dini mbili sio kwamba ndo watu wazichape,mbona pakistan na afghanstan wanapigana na wote waislam?,kuhusu ukabila bara hiyo ndoto kwasababu hapa nilipo mim n¨¬ mpare na mke wangu mnyamwez sasa nan apigane,tafta lingine zbar ubaguz nje nje
 
Dua la kuku hilo. Je ujua kuhusu memory card kule tarime inayoe ndeshwa na makhirikhiri

Pole sana
 
Sasa utake ustake muungano upo palepale ni lazma tuwasaidie msije mkageuza bara kambi ya wakimbiz .Hakuna uhusiano wa yanayotokea tarme na kuvunjika kwa muungano makiri2 n¨¬ kikundi kidogo cha wahar¨¬fu wenye imani za kishirikina ambao wao hufanya maovu hata kwa ndugu zao wala hawana ubaguz,unguja na pemba mbalimbal bila muungan¨° hamka¨¬ pamoja lakn kwel au sikwel?
 
kama mnauwezo vunjen basi,wew ndo huutak muungano kwa ubaguz wako,wapo wazenji wengi wanataka tuwe pamoja
 
kama mnauwezo vunjen basi,wew ndo huutak muungano kwa ubaguz wako,wapo wazenji wengi wanataka tuwe pamoja

Kuwa pamoja ndio nini?je hapo tanganyika hampo pamoja na wachina na je mmeungana nao?
 
Katibu mkuu wa Un ameingia hapo kwa kosa la kuikubalia tanzania ijiunge na UN na kusajiliwa na katibu huyo na kukifuta kiti cha Zanzibar.

Hivyo kuna umuhimu mkubwa sana ashitakiwe kwani kama walalamikikaji wakishinda kesi basi kiti cha Znz katika UN kitarejeshwa na kile cha tanzania kitafutwa.

Angalia mashitaka hayo kwa jicho la tatu kwani yamekwenda skuli kweli kweli.

Je nani kaomba kiti cha Zanzibar kifutwe UN ?
Kama ni Karume Raisi halali wa wakati huo Zanzibar basi kesi hii itakuwa imeingia doa! Lakini kama hapakuwahi /kufanyika kuchukuliwa hatua kama hiyo basi huu utakuwa mwanzo mzuri wa Kesi hii
 
nadhan kwa wanafunzi wa sheria wamepata pa kujifunzia!! kwenye kura ya maoni kwa nn wazenji walichagua waendelee na muungano????
 
Back
Top Bottom