Ndio hapo tunajiuliza ni kazi gani hiyo ya mahakama yenye kuruhusu vitambulisho vilivyokwisha muda? Kwanini tusiulizie procedures za kuhakiki ili tujuwe ilikuwa vipi? Huyo mtu aliyeiangalia hiyo passport lazima kuna document alizosaini kuwa document hizo ni halali na pia hazijapitwa na wakati,wote na hakimu lazima wanajuwa.
- Sijakuelewa mkuu unachosema hapa, viongozi wamevunja sheria, wamekamatwa na sheria, wakiwa mikononi mwa sheria mmojawapo amepewa dhamana na sheria, sasa ametoroka,
- Now what this has to do na JK na kuwa au kutokwua serious na vita ya mafisadi, bado I do not get it?
- Kwenye hili ninakuelewa sana, lakini bado hujajibu swali langu linalotokana na hoja yako mwenyewe, eti hii ishu nzima inahusika vipi na JK kuwa serious au kutokuwa na vita vya ufisadi?
Hapo pia mimi nimechoka kabisa. How do we elevate AL to such a status kwamba dhamana yake mpaka mkulu ahusike????? Bongo kweli kuna mambo!
Usiparamie issue kwa ushabiki.
Rejea posting zilizopita na utajuwa kuwa issue hii ni muunganiko wa issues....Hii kashfa ya twin towers unaijuwa wewe?
Wewe dogo acha hizo mimi naweza kuwa naijua kuliko wewe maana niliwahi kufanya pale na inter-consult kwa miezi mitano!!
Kungurumweupe,
Afadhali wewe umesema. Hata hii ya akina Mramba na Yona ni kiini macho tu. Baada ya uchaguzi wa 2010 utasikia wanaachiwa kwa kukosekana ushahidi wa kutosha. Hivi hujajiuliza ni kwa nini kesi ya Mahalu imechukua miaka mitatu sasa? Na kila mara ni upande wa prosecution unaoomba kuahirishwa kwa kesi?
Liumba ni core center ya saga zima la BoT, ukiweka ndani Liumba umewaacha uchi mafisadi wengi tuu. So, who knows labda Liumba katekwa in the form of Mafia style? Hahahahaha, haya ni mambo ya kawaida kabisa kwenye panzi scum....Yaani saga la BoT ni kama DeJa Vu, Balali alikwenda kutubiwa mara akafa mara mazishi private, tukaenda jeneza halikufunguliwa..... Ken Lay style baby.
Sasa kuhusu Liumba goodluck na kumsaka... Yaani hapo ndio utajua kwamba Legal system doesnt work all the time... Na system ya usalama ya Tanzania ilivyokuwa mbovu, Liumba anaweza kuwa kwa kimada wake hapo hapo Kigogo dar na msimkate.
Wewe dogo acha hizo mimi naweza kuwa naijua kuliko wewe maana niliwahi kufanya pale na inter-consult kwa miezi mitano!!
Kuhusu JK ni kwamba nyie mnasema inakuwa vipi tulitegema something different kwenye kesi hii, sasa na mimi nikasema ni kwanini mlimsifia JK mara baada ya kesi hizi kuanza? Kusema kuwa sasa anafanya kweli?
Mimi naona tatizo hapa ni
kuchukulia dhana ya kwamba mahakama na serikali ni vitu viwili tofauti.
Harafu dhana nyingine ni kwamba mtu kama Liumba ama Balali anaweza kuzitia kwapani bilioni 200 peke yake .
Ushauri
Haya mambo ya EPA sijui BOT yaachane kama yalivyo tukubalini kushindwa saizi tuelekezeni nguvu kuwanyang'anya hizo nafasi tukiweza hilo hapo baadae ndipo yataibuliwa haya ya EPA na BOT ,tukishindwa hilo bora tukae kimya.
Hivi kunafaida gani kumtuhumu mtu wizi wa EPA wa sh bilion 10 harafu akaundiwa kamati ika cost bilion 2.harafu akatoroshwa?? Harafu fedha hizo akaenda kuzitumia huko aliko?? Mim naona bora waacheni wajenge majumba yao hapo bongo kwa kutumia wizi wao na mda ukifika tutayarudisha majumba yetu maana yapo kwetu.
Mimi naona tatizo hapa ni
kuchukulia dhana ya kwamba mahakama na serikali ni vitu viwili tofauti.
Well, simo bado ni lile lile - WATU na MAZINGIRA..mlitegemea kitu gani nyie mnaozungumzia sheria ktk mazingira ya Kiafrika..
Binafsi nilitegemea hili kutokea laa sivyo kuendelea kuhonga mahakimu na wengine kutumia wa wachawi kutafuta viungo vya watu ili kesi zizimike, ndio option zilizopo..
Nina hakika hata hao walioko nje kina Mramba wanajishughulisha na moja ya hayo hapo juu, sheria na haki haiwezi kusimama kwa Wadanganyika.. kwani NDIVYO TULIVYO!
Una maana ulishiriki kuwa consult ama?
Pointi yangu ni kwamba ccm imeingiza politics kwenye issue hii nyeti ya vita dhidi ya ufisadi na kwahiyo politics hizo ni lazima ziwacost. Wananchi kwa wingi wao wanaweza kupotoshwa lakini hapa JF ni NO.