jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,329
- 25,263
Ndio hapo tunajiuliza ni kazi gani hiyo ya mahakama yenye kuruhusu vitambulisho vilivyokwisha muda? Kwanini tusiulizie procedures za kuhakiki ili tujuwe ilikuwa vipi? Huyo mtu aliyeiangalia hiyo passport lazima kuna document alizosaini kuwa document hizo ni halali na pia hazijapitwa na wakati,wote na hakimu lazima wanajuwa.