Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
....Watoto wa mjini wanasema kala chocho!!!Kwi! kwi!! kwiii........Na yakizidi muone daktari!
LIYUMBA huyoooooooooooooo!!!!!!!!!!
Taarifa za uhakika za hivi punde kutoka mahakamani ni kuwa AL hakufika:
Uamuzi ni kama ifuatavyo
1. Kesi imeahirishwa hadi tarehe 24 ambayo ndiyo ilipangwa awali kwa yeye kufika mahakamani
2. Hati ya kukamatwa wadhamini wake imefutwa. Hivyo watatakiwa tu kuripoti hapa mahakamani siku ya tarehe 24. Iwapo AL hatafika siku hiyo ndipo wanaweza kukamatwa. wameachiwa na wamekwenda makwao.
Habari ndo hiyo
Nafikiri ni mchezo kati ya BOT na Mahakama.
Inasemekana wadhamini wawili ni wafanyakazi wa BOT.
Barua za dhamana zilitolewa na BOT kama ni kweli.
Mtuhumiwa amefanya madudu BOT,then BOT wanamdhamini. 'Unethical in every aspect'
Inamaanisha walikubaliana na hakimu namna ya kulicheza movie,ikitiliwa maanani hakimu hawezi kufanywa lolote kisheria hata angetoa maamuzi mabovu namna gani zaidi ya kupoteza ajira. hakuna issue ya reasonable man dhidi ya hakimu.
Hivyo wakaamua kumtoa na kumpa muda wa kutoroka then watoe warrant ya kurejesha mahakamani ili kufuta soo la dhamana kiduchu, then move inaishia kwa mtuhumiwa kuyeyuka kwenye thin air .....
Good thinking kwa timu iliyobuni movie hii, labda itasaidia kuwaamsha watanzania wajue MH.Sitta aliposema kuhusu mahakama alimaanisha nini...
Good thinking kwa timu iliyobuni movie hii, labda itasaidia kuwaamsha watanzania wajue MH.Sitta aliposema kuhusu mahakama alimaanisha nini...
Na mimi swali langu kwao ni je wanakumbuka jinsi walivyokuwa wakisema hizi kesi hazina usanii? Wakisema JK anafanya kweli?
kwa taarifa yaho hata hawa wadhamini wa BOT ilikuwa ni usanii maana hawakuwa na barua ya mwajiri mbali na vitambulisho!!!
- Eti JK anahusika vipi na dhamana za watuhumiwa mahakamani? I am reading right au nina-miss something hapa?
- Eti JK anahusika vipi na dhamana za watuhumiwa mahakamani? I am reading right au nina-miss something hapa?
Hapo pia mimi nimechoka kabisa. How do we elevate AL to such a status kwamba dhamana yake mpaka mkulu ahusike????? Bongo kweli kuna mambo!
1. Sasa kwanini JK alikuwa analaumiwa kama wewe na kina Mkandara mlijuwa nothing will be done and that we shouldn't expect any diferent results?
2. Si mnasema tulikuwa tunategemea nini cha tofauti?
3. Sasa mmejiumbuwa,kwasababu inaelekea maamuzi yote haya ni ya kisiasa,changa la macho....
4. Kama mlijuwa kuwa hakuna kitakachofanyka then kwanini mlimsifia JK kuwa kafanya kweli.
5. Yani unamjeruhi mtu kwasababu una pesa ya kwenda kumtibu na kwahiyo wakati wa matibabu tumshukuru aliyetujeruhi....Am i the one missing something?