Kesi ya Liyumba, Utata na Maendeleo yake

Status
Not open for further replies.
kwa hiyo jk sio rais wa kwanza katika historia kumpeleka kiongozi wa juu kwa pilato.
Mkuu mkandara nafikiri atakuwa katereza kidogo...
lakini kulingana na record ya nchi yetu hakuna kionmgozi ambaye amewahi kufanya alofanya Kikwete - Kuwapeleka mawaziri na viongozi wa ngazi za juu ktk sheria...
 
Waungwana near the scene!!!!!!!!!!!
Is Liyumba still at large? new development pls??
 

Sio lazima kuchangia kila kitu. Soma, elewa, tafakari, halafu toa hoja. Hivi ndugu yangu kati ya vigogo wote wenye kesi za ufisadi mahakamani ni kwa nini iwe ni Liumba tu ndio atoroshwe, tena kwa mtindo huo wa kipumbavu hivyo? Jaribu kujiuliza maswali magumu kabla ya kutoe hisia zako za chuki. Otherwise utabaki kuanika udhaifu wako tu hapa, na kuzidi kujidharaulisha mbele za watu.
 
They got him? Mbona TBC saa mbili usiku wamesema hajaonekana?

wanaojua hilo wachache... Hawawezi kutangaza wanaye wakati mahakama imempa dhamana. Kesi yake ni Jumanne.. atakuja mwenyewe na mtashangaa hakuna lolote watakalofanya.
 
wanaojua hilo wachache... Hawawezi kutangaza wanaye wakati mahakama imempa dhamana. Kesi yake ni Jumanne.. atakuja mwenyewe na mtashangaa hakuna lolote watakalofanya.

....nilishaacha kushangaa siku nyingi nchi hii😕kwani itabidi nishangae tu kila siku. Kwa Nchi yetu kila kitu kinawezekana, even the unexpected😕
 
....nilishaacha kushangaa siku nyingi nchi hii😕kwani itabidi nishangae tu kila siku. Kwa Nchi yetu kila kitu kinawezekana, even the unexpected😕

Mkuu itakubidi ushangae. Kwa sababu kuna evidence ya kutosha kuwa huyu jamaa ni hatari kwa jamii( kwa kueneza virusi makusudi, nakuna sheria moja ilitungwa dhidi yake), na kama ni kweli alikwenda kinyume na matakwa ya dhamana yake, basi kuna kila sababu ya kumuweka huyo jamaa rumande bila nafsi ya bail mpaka kesi yake itakapokwisha.
Lakini utaona kama kweli hilo litatokea, hapo itabidi uanze tena kushangaa!!
 
wanaojua hilo wachache... Hawawezi kutangaza wanaye wakati mahakama imempa dhamana. Kesi yake ni Jumanne.. atakuja mwenyewe na mtashangaa hakuna lolote watakalofanya.

Mzee Mwanakijiji,

Si mahakama ilitoa amri ya kumkamata baada ya yeye kutojitokeza? Kama hivyo ndivyo, iweje basi useme hawawezi kumkamata wakati amepewa dhamana?
 
Mzee Mwanakijiji,

Si mahakama ilitoa amri ya kumkamata baada ya yeye kutojitokeza? Kama hivyo ndivyo, iweje basi useme hawawezi kumkamata wakati amepewa dhamana?

Nadhani tarehe ambayo alitakiwa kufika mahakamani bado haijafika, haieleweki kwanini walianza kumtafuta jana.
 

Nilichokwambia wewe na wewe unageuka unaniambia the same thing, changia hoja acha kufata fata watu....Sio lazima uchangie everything,sometimes mie hutoa asante tu na kusoma kwani kuna wengi tu tunashare same ideas so no point ku type,hivyo nakuelewesha kuwa huwa sichangii tu kila thread nyingine huwa nasoma tu.... Eti kujidharaulisha mbele za watu.... Tunajadili issue hapa na nashangazwa kwanini unawaka kisa eti tunasema JK yuko responsible. Hisia za chuki nilizotoa ni zipi hizo? Eti ametoroshwa kwa mtindo wa kipumbavu....Ndio maana nikasema si lazima u type tuu! Kalale ukiamka utaelewa trust me.
 
wanaojua hilo wachache... Hawawezi kutangaza wanaye wakati mahakama imempa dhamana. Kesi yake ni Jumanne.. atakuja mwenyewe na mtashangaa hakuna lolote watakalofanya.


Afadhali kama amekamatwa.
Lakini
MMM hii imekaa kisanaa(Kisanii?) zaidi.
Kina nani hawawezi kutangaza wanaye huyo Liumba?
Na hawa unaosema kwamba hakuna lolote watakalo fanya ni nani hawa?
 



Mushi umeongea point, na kumuelimisha ndugu yetu Nurujamii

Kuna watu tunasoma tu lakini tukitoka hapa tunaenda kuwahubiri wanakijiji juu ya hali halisi ya nchi yetu, japo hatuchangii sana humu JF kutoka na mazingira ya kazini au vinginevyo lakini tunamchango mkubwa sana kwenye mabadiliko ya fikra, amini usiamini kuna kundi kubwa la watanzania ambao tuseme hawajabahatika, hawajui cha gazeti, radio, TV, Sim, Internet ndio usiseme kabisa, lakini wanahaki ya kupata habari,

Kwa hiyo nawapongeza sana mnaochangia sana, na nawashauri msianze kurumbana na kutukanana, jengeni hoja inatosha, wote tunapigania nchi yetu.


regards,
 
mwenzenu keshanaswa jana usiku hamsikii tu.

Mzee Mwanakijiji tunasikia ila hatuelewi, inamaana mafisadi wamemkamata na kumhifadhi salama ili kumfunda?
 
Yeye peke yake hawezi kufanikiwa bila kukamatwa, vinginevyo vyombo vya dola, Mahakama ikiwemo vinahusika.

we wasema hawezi toroka lakini ukweli ni kwamba hati aliyotoa ya kusafiria ilisha isha muda wake lakini kwa UPOFU WA HAKIMU HAKUONA WALA KUSIKIA WALILOSEMA PP.
Tungoje tuone maana hata wadhamini wake hawakuwa na nyaraka zinazo kubalika kisheria kwa mtu kumdhamini
 

Ahsante Mushi kwa Ushauri. Na kweli nimelala nikaamka na mawazo tofauti. Kwa sasa nakubaliana na wewe kwa 100%. Ni kweli kabisa Kikwete amemtorosha Liumba.

Tena nimegundua kwamba kwa muda huu Liumba kafichwa Ikulu! Tusubiri kidogo nasikia kuna njama nyingine zinafanywa na Kikwete kumtorosha yule aliyebaki, .... Kweka, i think!

Kikwete bwana, anatuzuga sana aisee Mushi. Mimi naona dawa ni kumshambulia hapa JF kwa kila aina ya tusi, mpaka aache huu usanii wake! Anatuona sisi hatuna akili kabisa aisee!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…