Huna haja ya kuniaminia wala huna haja ya kuupongeza uwezo wangu wa kufikiri.
Hivi unadhani movie ni live event? Ama we unafikiri mafisadi wakipanga wanapanga kama wewe? We hujui kuna mipango ya kisiasa,na mwenye kutunga movie anajuwa mwisho wake kabla hata hujajuwa title yake, sasa wewe ndio uko theatre.
Kama alivyosema MKJJ kuwa uamuzi ni kuchagua,sasa nani alichaguwa Liyumba atoroke?
Tunapenda laini laini sana,shirikisha ubongo wako la sivyo utapitwa na mjadala,na kama umepitwa na mjadala take your time and read through. Na kama hujaelewa si lazima uchangie saa hiyo hiyo...Nenda kalale kesho unaweza ukaamka umeelewa.