Kesi ya Lulu: Mke wa Dr. Slaa asema Kanumba alikuwa na sumu mwilini, upungufu wa hewa na maumivu kwenye ubongo

Hii case imeenda ndivyo sivyo,mistrial,

yaani hadi upande wa mashitaka umemaliza kujitetea hakuna ripoti ya doctor aliempasua na kuona nini kimeua huyu mtu?,

anaweza kuwa alicollapse baada ya kutoa mapovu mengi ,akapata heart attack akafa
kipindi kile ilitoka taarifa kuwa mapafu ya marehemu yalikutwa dizaini kama yameiva..yaani yalikosa hewa
 
Tuangalie watu tunawaachia watoto wetu wa kike. Jamaa alitakiwa ashitakiwe yeye kwa kumfundisha huyo mtoto mambo ya kikubwa mapema.[emoji22][emoji22]
Unamuonea tu alitakiwa ashtakiwe mama wake kwa kumlea kimjini mjini
 
Kumbe huyu mama ni mtoa Sumu??

Kumbe ndo maana padre wetu kapotea njia....

Macho mkoma. Majanjamajanja kuzingulia watu na imani zao na kisha kuasi viapo.
Picha ya mwaka gani hii, mbona huyo mama anaonekana msichana mbichi, wakati ni mmama tu mtu mzima?
 
Wakuu.
Aina ya mawakili wa serikali ndio maana hua hata serikali inashindwa kesi, kesi ya mauaji wakili anauliza eti taulo haikudondoka wakati unakimbizwa na kanumba? Sasa akishajua ilidondoka au haikudondoka alitaka kufanyeje labda?
 
Wakuu.
Aina ya mawakili wa serikali ndio maana hua hata serikali inashindwa kesi, kesi ya mauaji wakili anauliza eti taulo haikudondoka wakati unakimbizwa na kanumba? Sasa akishajua ilidondoka au haikudondoka alitaka kufanyeje labda?
ulitaka aulize swali gani?
 
Heheheheeeee....kwenye hii kesi jaji ndo kageuka wakili .
 
Wakuu.
Aina ya mawakili wa serikali ndio maana hua hata serikali inashindwa kesi, kesi ya mauaji wakili anauliza eti taulo haikudondoka wakati unakimbizwa na kanumba? Sasa akishajua ilidondoka au haikudondoka alitaka kufanyeje labda?
Wafungwa wote waliojaa mpk magereza zinakuwa ndogo nchi nzima upande gani ulishinda kesi?
 
Hahaha. Bongo muvi bana,
jambazi anavua viatu kabla ya kuingia ndani . jini anaangalia kushoto na kulia kabla hajavuka barabara
 
Ni kweli lkn bado zipo ambazo zilikuwa na mawakili wa utetezi na jamhuri ikashinda.
Waliojaa jela ni hawa wa kesi za kuvunja na kuingia wake wa kesi za mawakili ni wachache
 
jf bwana! watu sasa hivi wanajadili hospitali ya kutoa sumu, kesi ya lulu hawana time nayo tena! kuja kutahamaki lulu keshakula mvua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…