Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Majaji wana mashaka ila wakili wa serikali hajapambana hata kidogo kuupinga huu ushahidi wa kipuuzi.Nitashangazwa sana mahakama kukubali ushahidi huu wa kijinga....hivi mke wa Slaa alikuwa Dr wa hospitali gani? na alimchukua vipimo Kanumba?
Hiki ni kituko cha karne.