Kesi ya Lulu: Polisi asema alikuta chupa ya Jack Daniel na Panga kwenye tendegu la kitanda

Kesi ya Lulu: Polisi asema alikuta chupa ya Jack Daniel na Panga kwenye tendegu la kitanda

ditopile aliua..kwa kukusudia
alikua anajitetea hivo tu ili adhabu ipungue..chezea kifungo cha maisha!
alikua barabaran foleni ndefu sasa dereva wa daladala aliovateki na kujikuta anapiga pasi(kulikwaruza) gari la ditopile..mzee nae alikua na jazba..si unajua uheshimiwa...nahos dereva alimjibu vibaya..dito akachomoa bastola fasta puuuh!kamshuti dereva wa daladala kichwani.
na konda alikuwepo kashuhudia..
dito katelekeza gari na bastola kakimbia..ila walimwona.
alihukumiwa kifungo cha maisha akajinyonga jela.
Acha uongo mkuu.

Ditopile hakutelekeza gari na wala hakukimbia....Yeye mwenyewe ndio alijipeleka polisi baada ya tukio.

Ditopile hakuwahi kuukumiwa na wala hakujinyonga.
 
Naomba kuuliza waungwana. Hivi kesi hii kuchukua muda mrefu hivyo kusikilizwa ni kwamba ni ushahidi tu ndo unaotafutwa au ni intelijensia yetu kuwa dhaifu katika masuala mazima ya kimahakama?? Tafadhali kwa mwenye uelewa na hili naomba majibu?
Nina ndg yangu alikuwa na murder case. Tukio la 2001, amekujahukumiwa 2011.
 
Acha uongo mkuu.

Ditopile hakutelekeza gari na wala hakukimbia....Yeye mwenyewe ndio alijipeleka polisi baada ya tukio.

Ditopile hakuwahi kuukumiwa na wala hakujinyonga.
Ditto aliua bila kukusudia,alikuwa provoked na Mbonde jalafu wote wandengereko.Kifo cha Ditto kilitokea hotelin Morogoro,hakujinyonga.
 
Ushahidi usipotosha kumtia hatiani ataachiwa.
Na ninafikiri pia kwa kesi kuchukua muda mrefu moja upo uwezekano wa ushahidi mwingi kupotea hasa kifo kinaeza changia kama shahidi/mashahidi kufariki. Au kupotea kwa nyaraka mbalimbali kama sehemu ya ushahidi mwisho wa siku mtuhumiwa anaamka kidedea. Si ajabu jumatatu au siku ya hukumu ukamsikia hakimu akisema kutokana na uchunguzi usiokuwa na shaka na kupata maelezo toka pande zote mbili. Uamuzi wa Mahakama pasipokuwa na shaka kabisa umemuona mtuhumiwa Lulu Michael hana kosa la kumtia hatiani hivyo basi Lulu Michael yuko huruuuu! Anagonga meza Coooooooooootttt[emoji375]!!! Hawa mahakimu wetu nao si wakuwaamini aseee!
Hapo lazima [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126]
 
Mmmhh hii kasi ya 4G nahisi Lulu anaenda kula mvua.
 
Na ninafikiri pia kwa kesi kuchukua muda mrefu moja upo uwezekano wa ushahidi mwingi kupotea hasa kifo kinaeza changia kama shahidi/mashahidi kufariki. Au kupotea kwa nyaraka mbalimbali kama sehemu ya ushahidi mwisho wa siku mtuhumiwa anaamka kidedea. Si ajabu jumatatu au siku ya hukumu ukamsikia hakimu akisema kutokana na uchunguzi usiokuwa na shaka na kupata maelezo toka pande zote mbili. Uamuzi wa Mahakama pasipokuwa na shaka kabisa umemuona mtuhumiwa Lulu Michael hana kosa la kumtia hatiani hivyo basi Lulu Michael yuko huruuuu! Anagonga meza Coooooooooootttt[emoji375]!!! Hawa mahakimu wetu nao si wakuwaamini aseee!
Hapo lazima [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126]
Akiamua hivyo ujue kwelibushahidi hautoshi,serikali itakata rufaa.Nahisi pia jaji anaweza sema ,mwendesha mashtaka akamlete mtuhumiwa sahihi kwakuwa imethibitika Lulu siyo muhusika wa kesi husika.
 
Watu walikuwa wanapariiiiii[emoji7] [emoji7] [emoji7]
Vipi kuhusu kitanda kuvurugika?
Vipi uchunguzi wa kina kwa marehemu kufanyika tofauti na kukutwa na uvimbe kichwani? (kwa kiswahili cha kizungu prosmotamu)
Kabla mtuhumiwa kupigiwa simu, Je marehemu na mtuhumiwa walikuwa wapi?
Je marehemu akufahamu kuwa mpenzi wake aliyemfunza sanaa alikuwa chini ya miaka 15?
Je familia za pande zote zilifahamu mahusiano ya kimapenzi ya vijana wao?
Kama familia zilifahamu ni hatua gani zilichukua ili kuondoa aibu na mkono wa sheria, lakini pia kwanini familia ya mtuhumiwa iliridhika binti yao kuwa huru kiasi kile?
 
Vipi kuhusu kitanda kuvurugika?
Vipi uchunguzi wa kina kwa marehemu kufanyika tofauti na kukutwa na uvimbe kichwani? (kwa kiswahili cha kizungu prosmotamu)
Kabla mtuhumiwa kupigiwa simu na Je marehemu na mtuhumiwa walikuwa wapi?
Mbona kuna wakati mwanzoni ilisemekana marehemu alisukumwa akaanguka sasa sjui aliangukia kisogo au kwambele maana alishagida JackDaniel yake sasa huenda alikuwa keshalewa..... lkn lulu anajua ukweli halisi.[emoji17]
 
Hivi bashite alikuwa wapi kipindi hicho wakuu

Nahisi hili LA panga lingemhusu
 
Mbona kuna wakati mwanzoni ilisemekana marehemu alisukumwa akaanguka sasa sjui aliangukia kisogo au kwambele maana alishagida JackDaniel yake sasa huenda alikuwa keshalewa..... lkn lulu anajua ukweli halisi.
emoji17.png

Mbona kuna wakati mwanzoni ilisemekana marehemu alisukumwa akaanguka sasa sjui aliangukia kisogo au kwambele maana alishagida JackDaniel yake sasa huenda alikuwa keshalewa..... lkn lulu anajua ukweli halisi.[emoji17]
Aisee
Yawezekana mtuhumiwa alikuwa hampendi marehemu kimapenzi bali sanaa, lakini marehemu alimpenda mtuhumiwa kimapenzi.
Hivyo pengine matumizi ya pombe na vitisho vya panga ndivyo vilivyomsababisha mtuhumiwa labda kumsukuma marehemu kwa namna ya kujitetea kubakwa.?
Finger print za pombe na panga vingelichukuliwa wakati ule.
 
Mkuu mbona huyu miaka mitano ni michache ukienda magerezani kuna watu wana kesi za mauaji toka mwaka 2000 na mpaka Leo hawajaukumiwa.

Tatizo ni wapelelezi wetu kuwa slow huku mahakama kuu kukiwa na majaji wachache wanaosimamia kesi za mauaji.

kuna vitu vingi vinachangia kesi kuchelewa kumizika na kutolewa hukumu.kama kukosekana ushahidi,mashahidi kutotokea mahakamani hivo kesi kuhairishwakutokamilika kwa upelelezi..kukosekana uahahidi,mlundikano wa kesi nyingi mhakamani hivo utaskia kesi inapigwa kalenda hadi miezi miwili ijayo au mitatu ndo itasikilizwa tena nk.

ila keai ya huyu dada kuna mambo mengi yalijitokeza..ni haya
-alidanganya umri..akikuwa jila ataopoulizwa anasema ana miaka 18..tangu akiwa na miaka 15.anaingia club na kulewa huko..amaenda uhamiaji anapewaje sihui passport eti ana miaka 18,visa anapewa,gari anaendesha.na mengineyo
so siku alivopatwa na huu msala na kukamatwa akiandikiahwa polis akasema ana miaka 18.
akapelekwa mahakama.ghafla babake akaibuka akasema mwanangu ni mtoto..ashtakiwe kama mtoto hajafika 18..nimemzaa1995..2012 hiyo ana miaka 16 na ndo anakaribia kufikisha 17.
so ukaibuka mvutano..ashtakiwe wapi..mahakama ya watoto au watu wazima!?
mahakama na polis wanasema tunamtambua kama mtu mzima wa miaka 18..baba mtu na wakili kibatala wanamtambua kama mtoto na kuweka pingamizi...so badala ya kusikiliza kes ya mauaji wakaanza kwanza kesi ya wapi akaahtakiwe..kama mtoto au mtu mzima..hii ilipelwkea hata yeye lulu kukaa segerea kama mahabusu kwa miezi tiaa hadi alipoombeqa dhamana akapata kwa million 20 ndo akarudi uraiani kwa masharti...uongo qake ulimcost mwnyewe.
-pili akiwa uraiani alikuwa anapewa tarehe anahudhuria.tukashangaa ghafla kimyaa..inaaemekana alipata tajiri wa madini aliwnda kuhonga pesa za kutosha kesi ipotezewe..na ikawa hivo lakini faili bado lilikuwepo.

hivi majuzi magufuli aliteua jaji mkuu mpya..huyu jaji alivoingia kazini akakuta mlundikano wa kesi nyingi.haikufurahisha.halafu mahakimu,mawakili na wafanyakazi wengineo ndo walikua wanatarajia kuingia likizo.huku kuna kesi si chini ya mia nne..na kuna mahabusu wana hata miaja mitano wako jela wanasubiri keai ziishe ..akawapiga atop hakuna cha likizo wala mjomba ake likizo..mpaka mmalize hivo viporo vya kesi.
wakapewa na budget..kazi ikaanza..
so kwa sasa ni bampa to bampa hadi kesi zote ziishe..hakuna kiporo.
kila siku zinasomwa kesi nyingi tu sema hazina umaarufu..
hii ndo imefika..na ukiangalia ilianza alhamis..ikaaikilizwa tena ijumaa..inatarajiwa tena jtatu..hii inamaanisha keai itaisha ndani ya mwez huu huu na hukumu itatolewa.

kama aio amri ya huyu jaji kesi ingeskilizwa miaka kumi ijayo.
 
Back
Top Bottom