kuna vitu vingi vinachangia kesi kuchelewa kumizika na kutolewa hukumu.kama kukosekana ushahidi,mashahidi kutotokea mahakamani hivo kesi kuhairishwakutokamilika kwa upelelezi..kukosekana uahahidi,mlundikano wa kesi nyingi mhakamani hivo utaskia kesi inapigwa kalenda hadi miezi miwili ijayo au mitatu ndo itasikilizwa tena nk.
ila keai ya huyu dada kuna mambo mengi yalijitokeza..ni haya
-alidanganya umri..akikuwa jila ataopoulizwa anasema ana miaka 18..tangu akiwa na miaka 15.anaingia club na kulewa huko..amaenda uhamiaji anapewaje sihui passport eti ana miaka 18,visa anapewa,gari anaendesha.na mengineyo
so siku alivopatwa na huu msala na kukamatwa akiandikiahwa polis akasema ana miaka 18.
akapelekwa mahakama.ghafla babake akaibuka akasema mwanangu ni mtoto..ashtakiwe kama mtoto hajafika 18..nimemzaa1995..2012 hiyo ana miaka 16 na ndo anakaribia kufikisha 17.
so ukaibuka mvutano..ashtakiwe wapi..mahakama ya watoto au watu wazima!?
mahakama na polis wanasema tunamtambua kama mtu mzima wa miaka 18..baba mtu na wakili kibatala wanamtambua kama mtoto na kuweka pingamizi...so badala ya kusikiliza kes ya mauaji wakaanza kwanza kesi ya wapi akaahtakiwe..kama mtoto au mtu mzima..hii ilipelwkea hata yeye lulu kukaa segerea kama mahabusu kwa miezi tiaa hadi alipoombeqa dhamana akapata kwa million 20 ndo akarudi uraiani kwa masharti...uongo qake ulimcost mwnyewe.
-pili akiwa uraiani alikuwa anapewa tarehe anahudhuria.tukashangaa ghafla kimyaa..inaaemekana alipata tajiri wa madini aliwnda kuhonga pesa za kutosha kesi ipotezewe..na ikawa hivo lakini faili bado lilikuwepo.
hivi majuzi magufuli aliteua jaji mkuu mpya..huyu jaji alivoingia kazini akakuta mlundikano wa kesi nyingi.haikufurahisha.halafu mahakimu,mawakili na wafanyakazi wengineo ndo walikua wanatarajia kuingia likizo.huku kuna kesi si chini ya mia nne..na kuna mahabusu wana hata miaja mitano wako jela wanasubiri keai ziishe ..akawapiga atop hakuna cha likizo wala mjomba ake likizo..mpaka mmalize hivo viporo vya kesi.
wakapewa na budget..kazi ikaanza..
so kwa sasa ni bampa to bampa hadi kesi zote ziishe..hakuna kiporo.
kila siku zinasomwa kesi nyingi tu sema hazina umaarufu..
hii ndo imefika..na ukiangalia ilianza alhamis..ikaaikilizwa tena ijumaa..inatarajiwa tena jtatu..hii inamaanisha keai itaisha ndani ya mwez huu huu na hukumu itatolewa.
kama aio amri ya huyu jaji kesi ingeskilizwa miaka kumi ijayo.