Kaamua kwa kufuata vifungu vya sheria na sio busara......Mwanasheria/ Jaji mzuri ni yule anae paswa kutazama sheria kama inavyo paswa kuwa na sio kama ilivyo andikwa.
Lakini hii haipo kwa wanasheria wa Tanzania. Wengi hawana busara. Wanakariri vifungu vya sheria na procedures tu.
KWA mfano:
Kwa mujibu wa sheria za Tanzania. Mtu mzima ananzia miaka 18. Chini ya hapo ni mtoto.
Kijana wa kiume mwenye umri wa miaka kumi na saba akimnajisi mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja anahukumiwa kifungo cha nje cha mwaka mmoja au miwili na faini ya shilingi laki moja au laki 2..
Kijana wa miaka 18 akimpa mimba binti wa miaka 17, anafungwa miaka 30 au maisha..
Umeona jinsi nchi yetu ilivyo na wanasheria wasio na uwezo kichwani.
Kesi ya Magoma sasa. Yani kashindwa kabisa kujua outcome za maamuzi yake katika nchi na katika jamii nzima ya watanzania.
Kashindwa kufanya fact analysis.
Kaamua kwa kufuata vifungu vya sheria na sio busara..
Sasa kama wametumia rules of statute interpretarion, busara inatoka wapi tena? You have to confine yourself to the laid down regulation/rules of statute interpretation, short of that unapindisha sheria.
unalaumu while sailing in the same boat of flawed rules of interpretation!