Kesi ya Matumizi mabaya ya Madaraka inayomkabili Paulo Makonda inatajwa Leo Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni

Kwenye sheria ulifeli miserably, umebakia kuwa a spent cartridge pen pusher!
 
vipi lile gaidi katili na tapeli la Tanzania kesi ya lenyewe inaendelea lini maana litahukumiwa kunyongwa life vibaya kwa sababu limeua wengi sana yaani mikono ya lenyewe inanuka damu tulikuwa na lipinzani mbooye zero brain
Jikite kwenye mada
 
Kama haumo jua wewe siyo mtu
 
Pascal unaweza kuthibitisha hii?
Hakuna binaadam yoyote anayeweza kuthibitisha the karma operatives, ila matokeo ndio pekee huthibitisha kuwa hiyo ni karma.

Ukifanya kitu kiovu hata sirini, kama wale waliomshambulia Lissu, na kujificha wasijulikane na kweli hawajulikani, ila karma inawajua na imewashughulikia mmoja mmoja.

Sasa kwa vile tangu Lissu ameshambuliwa na muda mrefu umepita, hapa katikati kuna watu kibao wamechomoka kiajabu ajabu, hivyo it's presumably ni karma imekula vichwa na not necessarily ni karma ya shambulio la Lissu bali ni karma ya matendo yao yote, shambulio la Lissu inclusive.

Karma is bad!, haina mswalie Mtume ya who is who, ikifika muda ya kula kichwa, karma inakula kichwa.
P
 
Siku hizi umepoteza kabisa uwezo wa kufikiri..
Ikiwa mtu kafanya tukio la uhalifu lkn hakuna mtu aliyemshuhudia maana yake uchunguzi hauwezi kufanyika?

Leo nikiona wewe unafanyia uovu sitakiwi kushitaki kwa niaba yako? Kwamba hakuna uhalali wa mashitaka kisa wewe hujaonyesha nia ya kushitaki?
Kwa level yako sikuwahi kufikiria unaweza kuwa mwepesi kiasi hiki.
 
Kwenye kura za maoni za chama chake ccm alipata sifuri yenye masikio , ukikataliwa na watu duni kama wa chama chakavu ujue wewe ni furushi
 
Subiri uone ,hata yule dogo wa Arusha mlisema hivyo hivyo
 
Update mkuu?? Hakimy kala nduki?? Au anaumwa?
 
Kwahiyo Paul Makonda afungue kesi dhidi ya Raia mwema kwa kusema uongo.
 
Kesi ya aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salam imetajwa Leo katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni na Hakimu Mkazi wa Mahakama hiyo kuamuru kufanyiwa marekebisho hati ya mashitaka ili kuondoa udhaifu katika mashitaka yaliyowasilishwa mbele ya mahakama hiyo.

Wengine wanaolalamikiwa katika hati hiyo ni mkurugenzi wa mashitaka nchini na Mkurugenzi wa upelelezi nchini Tanzania.
 
Imefika wapi.
 
Hivi hati ya mashtaka ikiwa na udhaifu haitakiwi kutupiliwa mbali?......
 
Leo naona mkuu akili imekurudia, kunakipindi huwa unaakili Sana..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…