Hapana, ila ni lazima uwe na leseni halali ya udereva!Kwani kuendesha gari lazima uwe na miaka 18?
Sawa Lulu mimi mngese, ila jua lazima ukanyee NDOOAcha ungese
Wote uliowaorodhesha ni watu wazima, so walikua wakimraghai mtoto (Lulu) kwa nguvu ya pesa na umaarufu wao,
Jaribu kukumbuka ufaham uliokua nao wew ukiwa 17yrs na ufaham ulionao sasa, over
Na ndio maana Lulu alimgomea marehemu kwenda Band (akamwambia siendi band bcoz kule zinapigwa nyimbo za kizee badala yake akataka kwenda club na rafik zake wa rika lake (dogodogo wenzie)
Hapo utambeba umaarufu na umri wake kipindi tukio linatokea na si kwa utetezi huo ambao unaonekana wa kufinyanga kbsKwa utetezi huu inaonyesha kiasi fulani ali plan kama self defence fulani.
Band uwa zinapigwa nyimbo za kizee, dogo alitaka kwenda club kula bata na rika lake,Kama ufahamu ulikuwa mdogo aliwezaje kugoma kwenda Band?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sawa Lulu mimi mngese, ila jua lazima ukanyee NDOO
Do you know the meaning of Examination by the Court? if no then I advise you go n read even through google assistance.That's the role of the prosecutor! The judge is not the prosecutor!
We unasoma sheria za wapi?Hakuna kitu kama hicho duniani. Hivi nyinyi mnasoma sheria za wapi hizi?
Unaua mtu halafu upate nafuu kwa vile marehemu alikuwa mkali mkali?
Na muuaji alikuwa mtoto? Basi asingeshitakiwa.
Wakishasema you are competent to stand trial hawawezi ku back pedal na kusema ulikuwa mtoto au mgonjwa n.k n.k....
Haaaaaa vyuo vya mkabala hivyo......................Do you know the meaning of Examination by the Court? if no then I advise you go n read even through google assistance.
Docter alifatwa au alipigiwa simuKumbuka dogo kwa kipind kile alikua na 17yrs old, baada ya Sert kwenda kumfata Dr, it means lulu akabak alone ndan ya nyumba, akaona endapo kanumba angeamka angempiga, akaona bora asepe.
Jaribu kuwaza wew kipind una 17yrs old ulikua na akiri gan japo sifaham umri wako wa sasa?
Lulu is innocent
Ana kesi ya ajili ya gari kwaniAman iwe nanyi wapendwa
Niko hapa mahakaman nikifatilia kwa karibu hii kes ya lulu
Moja ya vitu vinavyoniacha hoi ni maswali ya majaji wa hapa mahakam
Jaji lumanyika anaonekana kumukazia sana lulu tofaut na majaji wengine nahis huyu jaji atakuwa msukuma
Kamtwanga swali lulu kuhusu lesen ya gar lulu kasema alikuwa na lesen kipindi hicho
Akamurudia tena ieleze mahakama kama lesen yako ilikuwa halal, lulu akajichanganya akasema sikuwa na lesen
Mtanange bado unaendelea
Kwa kes ninanyoiona lulu lazima ale miala si chin ya kumi na tano
Bado niko hapa makaman mazee
LONDON BABY
Kwani kuna kesi ya ajali ya gari,mbona unahoji leseniAliendeshaje gari? Alikua na leseni kwa umri huo?
Kwahyo ana trafic case inabidi akalipe fine buku 30 kama sikoseibaba hujaelewa..mushkeli upo kwenye kuwasha gari..
ni gari la nani?
kama ni lake basi alikua anaendesha akiwa chini ya miaka 18?
alikua na leseni ya udereva?
Usiku watu wanaendesha tu hakuna traficMushkeli ni Lulu kuendesha gari akiwa na umri chini ya miaka 18...
inaonyesha kama anaidanganya mahakama maana assumption ni aisngepata leseni akiwa under age..so waki clear la umri kesi ya msingi itasonga
Kwani gia haziingiiNgoja tu ale hizo mvua..
Atasemaje kuwa aliendesha gari wakati alikuwa ni under age?
Punguza jazba mkuuKujichanganay huko ni UTHIBITISO WA UWONGO!. MTU MWONGO SIKU ZOTE KUJICONTRADICT. ANGELIKUWA ANASEME UKWELI ANGE FLOW SAWA SAWA NA WANGELIONA HAKUNA MAHALA ANAJICHANGANYA.
KUJICHANGANYA KWAKE HASA NDICHO KINACHOTHIBITISHWA KWAMBA TAARIFA IMEANDIKWA KWENYE SCRIPT AKAFUNDISHWA KUSEMA ASIJUE KWAMBA ANAOKUTANA NAO SIYO BONGO MOVIE NI WASOMI WANAOJUA KAZI YAO.
TATIZO KUBWA LA HAKA KATOTO NI KAONGO KAONGO TU, HUWEZI KUKAAMINI KWA LOLOTE.
MFANO, KUKATAA KWAMBA HAKUWA NA UHUSIANO NA MAREHEMU KOMBA WAKATI SISI NI MASHAHIDI HATA ALIVYOKUWA AKIMFUATA HADI MBINGA KULE, NA KANAWEKWA HOTELINI TUNAFAHAMU BILA HAYA KANAKUWA NA YULE MZEE HADHARANI. LEO KANASEMA HAKAKU DATE NAYE. KASHENZI TU! UMALAYA UMEKAJAA!
Case ya lesenï ni ndogo tu cjuï kwann mnaikomalia.fine 30,000 tuThere's so much to dig deep...
Hayo maelezo yake ya sijui alipigiwa simu hakupokea, mara SMS etc vyote hivyo kwa mawakili wazuri wa serikali wanapaswa wavifuatilie katika kampuni za simu husika maana ni sehemu ya ushahidi...
Anasema aliendesha gari, je alikuwa na umri sahihi wa kuhold driving license(if not hii ni kesi nyingine)...
Eneo gani litamtia hatiani. Nafasi ya Lulu katika kifo cha marehemu ilikuwa wapi?? Ataachiwa Hutu bila mawaa!Atapigwa mvua kama tano hivi mitigation factors zitamsaidia,umri wake kuwa mdogo,tabia ya ukali ya marehemu,ni kosa la kwanza na atakavyojitetea