KESI YA MAUAJI: Utetezi wa Elizabeth Michael (Lulu) ndani ya mahakama kuu

Kwa kesi hii ni vigumu kuthibitisha pasipo kuacha shaka yeyote kwamba Lulu alimuua Kanumba. Kwakuwa hakuna aliyona (eye witness) wala ushahidi wa silaha au ushahidi wa kimazingira (umri, udogo, uanamke wa Lulu ni Mazingira tosha ya kumlinda).

Kanumba katangulia, mambo haya yafike mwisho yaishe sasa.
 
Duuh! kama kanumba alikuwa freemason kama watu wanavyosema basi itabidi akawaombe msaada hao hao freemason.

Ni wazo tu kama ataona case inamzidi uwezo
 

Kama ufahamu ulikuwa mdogo aliwezaje kugoma kwenda Band?
 
Kama ufahamu ulikuwa mdogo aliwezaje kugoma kwenda Band?
Band uwa zinapigwa nyimbo za kizee, dogo alitaka kwenda club kula bata na rika lake,
Alafu kwann marehemu alikua na anakabonda katoto! Wivu gan uo
Angekua anakapiga miti then anakaruhusu kaondoke tu, ila ukitaka kum'control mtoto yatakukuta haya ya kanumba, (mm kipind fulan nshawai kuwa nakagonga katoto cha 18yrs so navifaham tabia zao, kwanza hata siku za hatari hawazifaham, inaitaj umakin sana ila nivitamu balaa, jins papuchi yao inavyobana unaunganisha bao aisee)
 
We unasoma sheria za wapi?
huyo ulomjibu kajaribu kuelezea kitu kinaitwa Mitigating Factor...sasa wewe usichoolewa hapo ni kitu gani.na ameeleza mtizamo wake kuwa kutokana na hiyo principle ya mitigation anaweza kupunguziwa adhabu.

All in all,kwa mujibu wa sheria za Tanzania under 18 hawezi kupatiwa adhabu sawa kama adult kwa kosa lolote lile...na kinachoangaliwa ni wakati tukio linatokea alikuwa na umri gani,kama alikuwa ni mtoto atakuwa na haki zote za kimahakama/proceedings kama mtoto,this is basing on principle of the best interest of the child.
 
Docter alifatwa au alipigiwa simu
 
Ana kesi ya ajili ya gari kwani
 
baba hujaelewa..mushkeli upo kwenye kuwasha gari..
ni gari la nani?
kama ni lake basi alikua anaendesha akiwa chini ya miaka 18?
alikua na leseni ya udereva?
Kwahyo ana trafic case inabidi akalipe fine buku 30 kama sikosei
 
Mushkeli ni Lulu kuendesha gari akiwa na umri chini ya miaka 18...
inaonyesha kama anaidanganya mahakama maana assumption ni aisngepata leseni akiwa under age..so waki clear la umri kesi ya msingi itasonga
Usiku watu wanaendesha tu hakuna trafic
 
Punguza jazba mkuu
 
Case ya lesenï ni ndogo tu cjuï kwann mnaikomalia.fine 30,000 tu
 
Atapigwa mvua kama tano hivi mitigation factors zitamsaidia,umri wake kuwa mdogo,tabia ya ukali ya marehemu,ni kosa la kwanza na atakavyojitetea
Eneo gani litamtia hatiani. Nafasi ya Lulu katika kifo cha marehemu ilikuwa wapi?? Ataachiwa Hutu bila mawaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…