atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Je marafiki zake alioenda nao kwa Kanumba waliondoka muda gan?,kama sikosei kwenye utetezi wake amedai alikuwa na mtoko wa usiku na baadhi ya ya marafiki zakeNikiwa coco beach,meseji zilianza kusambaa zikiniuliza kwamba kanumba kafa......zilisambaaje? Ulijuaje kwamba meseji zinasambaa?
Ndio hapo ss cha kujiuliza,eti mtt mdogo wakati huo huo ana mpnzHalafu mimtu inasema alikuwa na akili za kitoto!
Haka katoto kanaweza kwenda kuwa chakula ya maafande na manyampala wa jela ni suala la muda tuu
Yeye ni Lulu...Kwani yy ni nan asifungwe?
Swali la kuendesha gari lilikuwa too technical to understand.Sawa, inawezekana muongo, lakini muongo kuhusu nini?
Inawezekana alikuwa na leseni ya bandia, akasema alikuwa na leseni, akajishtukia leseni haikuwa halali, akachomoa, akadanganya kuhusu leseni.
Hilo halimaanishi kadanganya kuhusu kuua.
Kwamba kakataa alikuwa namahusiano na Komba inawezekana anadanganya, huyu mtoto mdogo, Komba mtu mzima alikuwa na mkewe na watoto wakubwa kuliko Lulu. Sasa msichana kama Lulu akikataa ukweli kwamba alikuwa na uhusiano na jibaba inawezekana anadanganya, lakini je, kudanganya kuhusu uhusiano huo kunamaanisha kwamba yeye ni muuaji?
Ningeona contradiction ina nguvu zaidi kama ingeweza kuhusishwa moja kwamoja na kesi ya mauaji, siyo habari za kumharibia character tu. Mtu yeyote ukimuweka katika microscope utakuta mapungufu, huyu ana mchepuko, huyu hajalipa kodi, huyu anampiga mkewe, huyu mlevi mbwa, lakini, kama tunazungumzia kesi ya mauaji, kitu muhimu ni ushahidi wa kesi ya mauaji, si hizi habari nyingine. Unless zinaingia moja kwa moja katika kesi ya mauaji.
Kama Kanumba angefariki katika ajali ya gari ambalo Lulu alikuwa anaendesha, hapo habari za leseni ya Lulu ingekuwa very relevant.
Lakini haikuwa ajali ya gari, suala la leseni ya Lulu linakuja vipi? Sisemi kwamba halihusiki, inawezekana linahusika (sijafuatilia kesi kwa karibu). Ningependa kujua tu, linahusikaje?
Ukimchukua mtu yeyote na kuanza kumdai risiti za nguo zake zote alizonunua katika miak 10 iliyopita, utakuta kuna nguo kibao hana risiti.
Je, hilo linatosha kusema huyu ni mkwepa kodi na hivyo anaweza kuua tu?
We unasoma sheria za wapi?
huyo ulomjibu kajaribu kuelezea kitu kinaitwa Mitigating Factor...sasa wewe usichoolewa hapo ni kitu gani.na ameeleza mtizamo wake kuwa kutokana na hiyo principle ya mitigation anaweza kupunguziwa adhabu.
All in all,kwa mujibu wa sheria za Tanzania under 18 hawezi kupatiwa adhabu sawa kama adult kwa kosa lolote lile...na kinachoangaliwa ni wakati tukio linatokea alikuwa na umri gani,kama alikuwa ni mtoto atakuwa na haki zote za kimahakama/proceedings kama mtoto,this is basing on principle of the best interest of the child.
Hata angekuwa chini ya miaka 18,bado sheria haimpi kinga,knga ni miaka 10 na mtoto wa kiume hawezi kuadhibiwa kwa kubaka akiwa chini ya miaka 12.Unachemka!
Wanafunzi wa mchovu Kabudi nyinyi!
Lulu hakuwa mtoto wakati anaua, kama anavyotuhumiwa.
Hilo lilishakataliwa mahakamani kwenye pre-trial petitions.
Mkuu sijamfananisha, nimemuuliza tu, umri wake kama Lulu au kama Maimartha?[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]Mkuu ujue Maimartha wa Jesse anakimbiza 45 so usimfananishe kbs na bibie Joanah...
Hata angekuwa chini ya miaka 18,bado sheria haimpi kinga,knga ni miaka 10
Ili kupima ukweli ya anayosema, kama innocent atasema ukweli kama nunda atakataa na kujipanga.Kutoka kusababisha kifo hadi masuala ya leseni duuuuh
Makosa yoteMtoto wa miaka 10 ana kinga ya kuua?