Kesi ya Mbowe imetufanya kuparaganyika. Lissu amebakia kulalama Twitter, Bavicha wanazurura kwenye vijiwe vya kahawa. Hakuna dira kabisa

Kesi ya Mbowe imetufanya kuparaganyika. Lissu amebakia kulalama Twitter, Bavicha wanazurura kwenye vijiwe vya kahawa. Hakuna dira kabisa

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Ubaya ya kuwa na chama ambacho mwenyekiti ndio one man band. Yaani ndio master minder, mpanga mikakati na hata mhamasishaji.

Kesi imevuruga mipango ya chama chetu kabisa. Uongozi umeyumba kabisa na inaonekana hakuna mikakati kabisa ya kujikwamua. Zimebaki ngonjera tu spacin huko Twita.

Bavicha ndio webaki kuzurura tu huku Mnyika akiwa hana hata mkakati wa kisiasa kujikwamua. Leo hii Mwenyekiti na watuhumiwa wenzake wake wanalilia Chakula.
 
Ubaya ya kuwa na chama ambacho mwenyekiti ndio one man band. Yaani ndio master minder, mpanga mikakati na hata mhamasishaji...
Wewe na timu bambikizi ya goodluck&co ndio mlio paraganyika, wengine tuko O'Mara zaidi ya Simba.
 
Ukishakuwaa ccm unakuwa n mtu wakujisahau na unaonekana unautindio wa ubongo lkn ukitokaa ccm km vile akilii inafungukaa na kuwa mtu na unakuwa na utu ,
 
Mbowe akilewa konyagi huwa anasema maneno haya "CHADEMA ni mali yangu" si mara moja au mbili amesisitiza hili, sasa si unajua Africa mwenye mali akifa kinatokea nini?
 
Ubaya ya kuwa na chama ambacho mwenyekiti ndio one man band. Yaani ndio master minder, mpanga mikakati na hata mhamasishaji.

Kesi imevuruga mipango ya chama chetu kabisa. Uongozi umeyumba kabisa na inaonekana hakuna mikakati kabisa ya kujikwamua. Zimebaki ngonjera tu spacin huko Twita.

Bavicha ndio webaki kuzurura tu huku Mnyika akiwa hana hata mkakati wa kisiasa kujikwamua. Leo hii Mwenyekiti na watuhiwa wake wanalilia Chakula.
Pamoja na chuki za kisiasa lakini usifurahi pale mwenzako anapokutwa na matatizo. Mbowe na wenzake ni WATUHUMIWA wapo katika changamoto, jela ni kwa kila mtu.

Hoja ya chakula umeiweka kwa chuki na dhihaka kubwa, hujui maisha ya jela na pengine hujui madhira ya njaa na pengine pia hujui HAKI za mahabusu na wafungwa.

Ukisikiliza ushahidi wa mashahidi upande wa Jamuhuri, moyo unakufa ganzi na unaona jinsi STATE imejipanga kuhakikisha Mbowe na wenzake WANASOTA gerezani kwa ushahidi wa KUBUMBA.

Mungu wetu ni mwema wakati wote, hajawahi kumuacha mwenye HAKI.

Warumi 12 :12
Muwe na furaha katika tumaini lenu, na katika dhiki muwe na subira. Ombeni wakati wote.
 
..elimu anayoitoa TL ktk mitandao kwa kweli haina mfano.
nani anae mfatilia huko mtandaoni? hapa ndipo chadema inapoferi kila siku, mambo ya msingi mnatolea ufafanuzi mtandaoni...mtaishia kulalamika tu
 
Back
Top Bottom